Dodoma FM

Recent posts

18 January 2021, 1:52 pm

Mvua yachangia miwa kupanda bei sokoni

Na,Shani Nicholous, Dodoma. Changamoto ya usafirishaji wa miwa imetajwa kama moja ya sababu inayochangia zao hilo kupanda bei ukilinganisha na hapo awali.Miwa husafirishwa kutoka Mkoa mmoja hadi mwingine na kwa Dodoma wafanyabiashara wengi wamekuwa wakizipata kwa wingi Mkoani Tanga.Wakizungumza na…

18 January 2021, 1:40 pm

TAKUKURU Dodoma yaanza na taasisi na mashirika 2021

Na,Mindi Joseph,                                 Dodoma. Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa TAKUKURU Mkoani Dodoma imesema katika robo ya kwanza ya mwaka 2021 kuanzia January hadi machi itaweka mkazo katika  kuchunguza ubadhilifu wa fedha za umma na taasisi binafisi. Akizungumza na…

18 January 2021, 1:28 pm

CVT yatoa huduma ya uchunguzi wa macho bure

Na,Alfred Bulahya, Dodoma. Hospitali ya macho ya CVT iliyopo Uzunguni jijini Dodoma imeanza kampeni ya uchunguzi na kupima macho bure kuanzia leo Januari 28 mwaka huu, kwa lengo la kuwawezesha watu wenye vipato vya chini kupata huduma hiyo.Akizungumza na taswira…

13 January 2021, 9:02 am

Meya:Wekeni utaratibu kwa wajasiriamali kufanya shughuli zao

Dodoma. Halmashauri ya Jiji la Dodoma imemwagiza Meneja wa Kituo Kikuu cha Mabasi Dodoma, kuweka utaratibu mzuri kwa ajili ya wajasiriamali kufanya shughuli zao kituoni hapo.Agizo hilo limetolewa na Meya wa Jiji hilo, Profesa Davis Mwamfupe, alipotembelea kituo hicho kwa…

12 January 2021, 1:23 pm

Sita wapandishwa kizimbani kwa tuhuma za wizi

Na,Zakia Ndulute, Dodoma. Mahakama ya Hakimu Wilaya ya Dodoma imewapandisha kizimbani washtakiwa sita wakazi wa Dodoma kwa kosa la unyang’anyi wa kutumia silaha.Mahakama imemshikilia Mtuhumiwa PIUS JOSEPH YOHANA (20), ALOYCE ISSACK(18), LUCK PAULO(18), RAMADHANI MUSA(20), MUSTAPHA ABUU(20) pamoja na ONESMO…

12 January 2021, 12:46 pm

Mafuriko yakata mawasiliano Vijiji vya Mahama na Nzali

Na,Alfred Bulahya, Dodoma. Wananchi wa Vijijini vya Mahama na Nzali katika Kata ya Chilonwa Wilayani Chamwino Mkoani Dodoma, wametakiwa kuacha kutumia barabara inayopita katika mto Nyasungwi unaounganisha Vijiji hivyo ili kuepusha hatari ya kusombwa na maji yaliyojaa kutokana na mvua…

12 January 2021, 9:39 am

Jezi Dodoma Jiji Fc zawasili

Dodoma. Jezi za timu ya Dodoma Jiji Fc tayari zimewasili jijini Dodoma.Kwa mujibu wa katibu Mkuu wa Klabu hiyo Fortunatus John ‘Foty” jezi hizo zilichelewa kuwasili nchini kutokana janga la Covid-19 lililotokea nchini China ambapo ndipo zilipokuwa zikitengenezwa. “Tumeleta mzigo…

12 January 2021, 8:16 am

Baobab Queens ni wa moto kweli kweli

Dodoma Timu ya Baobab Queens ya Dodoma imeibuka na ushindi wa bao 6-1 dhidi ya TSC Queens ya Mwanza katika mechi ya ligi kuu soka ya Wanawake iliyopigwa katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza. Ikiwa na kikosi cha wachezaji…

12 January 2021, 7:48 am

TBS na WMA watakiwa kufanya kazi kwa uadilifu

Dodoma. Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe.Geoffrey Mwambe amewataka watumishi wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) na Wakala wa Vipimo (WMA) kufanya kazi kwa uadilifu na kuwafikiria wafanya biashara wakati wakitoa huduma ili kuendelea kutengeneza taswira nzuri ya bidhaa  za…

11 January 2021, 2:02 pm

Ubovu wa barabara Mazae wakwamisha maendeleo

Na,Benard Filbert Dodoma. Ubovu wa miundombinu ya barabara katika Kata ya Mazae Wilayani Mpwapwa imetajwa kuwa kero hali ambayo inasababisha kushindwa kufanyika kwa shughuli za kimaendeleo.Mmoja wa mkazi wa mtaa wa mazae akizungumza na taswira ya habari amesema hivi sasa…