Dodoma FM

Recent posts

2 March 2021, 1:41 pm

Wakulima Kondoa wanufaika na taarifa za hali ya hewa

Na, Benard Filbert, Dodoma. Imeelezwa kuwa baada ya Halmashauri ya Mji wa Kondoa kuunganishwa katika mfumo wa taarifa wa mamlaka ya hali ya hewa nchini imesaidia wakulima kuendesha shughuli zao kuendana na mabadiliko ya hali ya hewa. Hayo yameelezwa na…

2 March 2021, 1:25 pm

Ole Gabriel:Elimu juu ya thamani ya mazao ya mifugo bado tatizo

Na, Mariamu Matundu, Dodoma. Serikali imesema licha ya kuendelea kutoa elimu juu ya umuhimu wa minyororo mitano ya thamani ya mazao ya mifugo, bado Jamii imeendelea kupata changamato katika mnyororo wa mtaji watu pamoja na gharama. Hayo yamesemwa na katibu…

2 March 2021, 1:07 pm

Wananchi Hombolo Makulu walia na fidia ndogo

Na, Alfred Bulahya, Dodoma. Wananchi wa mtaa wa Mkoyo Makulu Kata ya Hombolo Bwawani wameiomba Serikali, kuwaongezea pesa za fidia zinazotolewa kwa ajili ya kupisha upanuzi wa eneo la hifanyi ya Kinyami iliyopo Kijijini hapo. Hatua hiyo inakuja wakati wananchi…

26 February 2021, 9:15 am

Tumieni teknolojia vizuri kukuza uchumi

Na, Benard Philbert, Dodoma. Jamii imeshauriwa kutumia teknolojia ipasavyo ili kutambua fursa mbalimbali zitakazo changia katika ukuaji wa uchumi. Hayo yameelezwa na mhandisi Eliponda Hamir kutoka taasisi ya Teknolojia Tanzania Community network, wakati akizungumza na taswira ya habari kuhusu matumizi…

25 February 2021, 6:46 am

Mvua zakwamisha ukarabati miundombinu ya maji

Na,Benard Philbert, Dodoma. Mvua zinazoendelea kunyesha nchini zimetajwa kuwa kikwazo cha kutokukamilika kwa marekebisho ya miundombinu ya maji katika mtaa wa Mahomanyika jijini Dodoma. Miezi mitatu iliyopita baadhi ya wakazi wa mtaa huo walinukuliwa wakilalamika ukosefuwa huduma ya maji kutokana…

23 February 2021, 3:11 pm

Wafanyabiashara Gulio la Chilonwa walilia vyoo bora

Na, Selemani Kodima, Dodoma. Usemi wa Nyumba ni choo! ambao umekuwa ukitumika katika kampeni ya kitaifa ya kuhamasisha vyoo bora umekuwa tofauti katika gulio la Chilonwa Wilaya ya Chamwino Dodoma, ambapo wananchi wengi wa eneo hilo hawalipi uzito unaopaswa. Baadhi…

19 February 2021, 2:58 pm

RALEIGH:Vijana tumieni mitandao kuhamasisha utunzaji wa mazingira

Na, Benard Filbert, Dodoma. Vijana wameshauriwa kutumia teknolojia ya uwepo wa mitandao ya kijamii katika kuhamasisha utunzaji wa mazingira ili kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi. Akizungumza na taswira ya habari afisa mazingira kutoka jumuiya ya vijana RALEIGH ambayo inajihusisha…

17 February 2021, 1:31 pm

80 wakosa masomo Chamwino kwa uhaba wa madarasa

Na, Benard Filbert, Dodoma. Zaidi ya wanafunzi 80 wa kidato cha kwanza mwaka 2021 wameshindwa kuripoti shuleni, kutokana na uhaba wa vyumba vya madarasa uliyopo katika shule ya Sekondari Membe Wilaya ya Chamwino Mkoani Dodoma. Hayo yameelezwa na Diwani wa…

17 February 2021, 6:28 am

Wananchi Makanda walia na ubovu wa barabara

Na,Mariam Matundu, Dodoma. Wakazi wa kata ya makanda Wilayani Manyoni wameiomba serikali kufanya ukarabati wa barabara ya Makanda –Kintiku iliyopeteza mawasiliano tangu mwezi desemba mwaka jana 2020.Wakizungumza na Taswira ya habari baadhi ya wananchi hao wamesema kuharibika kwa barabara hiyo…

11 February 2021, 2:25 pm

Muda huu utumike kutoa elimu kwa wakulima

Na,Mariam Matundu, Dodoma. Kutokana na kusitishwa kwa maonesho ya Nanenane mwaka huu,wito umetolewa kutumia muda huu kutoa elimu kwa wakulima juu ya umuhimu wa nane nane na nini wanapaswa kufanya katika maonesho hayo ili yawanufaishe kwa miaka ijayo. Hayo yameelezwa…