Dodoma FM

Recent posts

12 April 2021, 9:13 am

Wanawake na nafasi za juu katika uongozi

Na; Mariam Kasawa. Tanzania ni miongoni mwa Nchi ambayo imekuwa ikiwapa kipaumbele wanawake hasa katika nyaja ya uongozi. Akizungumza leo katika kipindi cha Dodoma live Bi. Gloria Mafole wakili mchambuzi wa sera kutoka katika Jumuiya ya kikristo Tanzania amsema wanawake…

9 April 2021, 1:02 pm

ATCL yashauriwa kuajiri watu wenye ufanisi

Na; Pius Jayunga. Serikali kupitia shirika la ndege Tanzania ATCL imeshauriwa kuajili watu wenye taaluma ya maswala ya anga ili kuleta ufanisi katika utendaji kazi ulio bora ikiwa ni pamoja na kubadili mfumo wa manunuzi ndani ya Serikali. Ushauri huo…

9 April 2021, 9:59 am

Vijiji vyote kupatiwa umeme katika awamu ya tatu ya REA

Na; Yussuph Hans. Serikali imesema inawahakikishia Wananchi wa maeneo yote ya Vijijini  yaliyokuwa hayajapata Umeme katika awamu zilizopita kuwa, yatapata Umeme katika awamu ya Tatu ya mzunguko huu wa pili wa REA . Hayo yamebainishwa leo Bungeni Jijini Dodoma na…

9 April 2021, 9:21 am

Wananchi waombwa kutoa ushirikiano ili kukomesha mwendokasi

Na; James Justine. Mamlaka ya udhibiti usafiri  ardhini LATRA imetoa ombi kwa wananchi kuendelea kutumia namba za simu zilizopo kwenye mabasi endapo dereva  ataendesha  gari kwa mwendo kasi wakiwa safarini. Taarifa hiyo imetolewa na afisa mfawidhi mamlaka ya udhibiti usafiri…

9 April 2021, 8:37 am

Nkonko wakomesha mimba shuleni, kwa kujenga bweni

Na; Seleman Kodima. Uongozi wa  Kijiji cha Nkonko kilichopo Wilayani Manyoni Mkoani Singida umefanikiwa kujenga bweni la wasichana katika Secondari ya Kijiji hicho ili kupunguza tatizo la mimba shuleni. Hayo yamesemwa na  Diwani wa Kata ya Nkonko Bw.Ezekiel Samwel ambapo…

8 April 2021, 1:46 pm

Tanzania kujenga uchumi shindani wa viwanda

Na; Mindi Joseph Serikali imesema inaendelea na maandalizi ya mikakati ya utekelezaji wa mpango wa 3 wa maendeleo wa Taifa kwa kipindi cha miaka 5 unaolenga kujenga uchumi shindani wa viwanda kwa maendeleo ya watu. Mapendekezo ya mpango huo yamesomwa…

8 April 2021, 12:00 pm

ATCL yatengeneza hasara, ripoti ya CAG

Na; Yussuph Hans. Imeelezwa kuwa kwa Miaka Mitano mfululizo shirika la Ndege Tanzania ATCL imetengeza hasara ambapo kwa mwaka huu limesababisha hasara ya shilingi Bilioni sitini (60 ) na Milioni miambili arobaini na sita (246). Hayo yamebainishwa  mbele ya waandishi…

8 April 2021, 9:28 am

Marufuku ya vifungashio kufika tamati Kesho Aprili 9

Na; Mariam Matundu Ikiwa leo ni  siku ya mwisho ya kuwepo kwa vifungashio visivyokidhi viwango vya ubora sokoni ,vifungashio vipya vinavyokidhi viwango vya ubora tayari vimeanza kupatikana sokoni. Hayo yamezungumzwa na Afisa mazingira kutoka ofisi ya makamu wa rais muungano…