Dodoma FM

Recent posts

1 April 2022, 14:17

Wakazi Jijini Dodoma watakiwa kuwa waadilifu juu ya matumizi ya maji

Na;Yussuph Hassan. Wakazi Jijini Dodoma wameshauriwa kuwa waadilifu katika matumizi ya Maji na kutoa taarifa panapotokea changamoto yoyote ya upatikanaji wa huduma hiyo. Ushauri huo umetolewa na Meneja Ufundi wa Duwasa Emmanuel Mwakabore wakati  akizungumza na kituo hiki kufatia kuwepo…

30 March 2022, 15:25

Wananchi wahitaji Elimu juu ya zoezi la anuani za makazi

Na; Neema Shirima.   Wananchi Mkoani Dodoma wameiomba serikali kutoa elimu zaidi juu ya zoezi la anuani za makazi maarufu kama postkodi ambalo linaendelea kwa sasa katika kata zote za mkoani hapa. Taswira ya habari imefika katika katika mtaa wa Itega…

28 March 2022, 15:14

Wanafunzi watakiwa kuacha kujihusisha na mapenzi

Na; Neema Shirima. Wanafunzi wa kike wameshauriwa kuachana na kujihusisha na mapenzi ili kuepuka kupata magonjwa mbalimbali ya zinaa kama vile ukimwi Haya yamezungumwa ikiwa imesalia mwezi mmoja wanafunzi wa kidato wa sita kufanya mitihani yao ya mwisho ya kuhitimu…

28 March 2022, 14:30

Watoto wenye upungufu wa damu na maumivi ya viungo wametakiwa kupelekwa hospital…

Na;Yussuph Hassan.                                             Wito umetolewa kwa Wazazi na Walezi Jijini Dodoma kuwapeleka vituo vya afya watoto wenye upungufu wa damu na maumivu ya viungo mara kwa mara, kwani inawezekana ikawa moja wapo ya dalili ya ugonjwa wa seli mundu (siko…

23 March 2022, 14:53

Uhaba wa madawati bado ni changamoto katika sekta ya elimu

Na ;Victor Chigwada . Mbali na changamoto ya vyumba vya madarasa pamoja na walimu katika shule za msingi na sekondari lakini uhaba wa madawati nao umeongeza changamoto katika sekta ya elimu     Kata ya Mpalanga Wilaya ya Bahi ni miongoni mwa…

23 March 2022, 14:39

Hali ya ugonjwa wa kifua kikuu yaendelea kudhibitiwa

Na;Yussuph Hassan.   Kuelekea siku ya kifua kikuu Duniani march 24, imeelezwa kwa Serikali Mkoani  Dodoma katika kutokomeza ugonjwa huo ilipanga kila baada ya miezi mitatu kuibua wagonjwa Elfu Moja, Mitatu Sitini na Mbili, kila baada ya miezi mitatu. Lengo…

23 March 2022, 14:19

Serikali yawajengea bweni wanafunzi wa kike  wenye ulemavu Bahi

Na; Mariam Matundu. Wanafunzi wenye ulemavu wanaosoma katika shule ya msingi Bahi sokoni wameishukuru serikali kwa kujengewa bweni  la wasichana shuleni hapo kwani hatua hiyo itaongeza ari kwa wazazi ya kuwapeleka watoto shule. Baadhi ya wanafunzi hao wamesema iwapo bweni…

22 March 2022, 14:11

Wananchi watakiwa kuitumia[…

Na; Seleman Kodima Wito umetolewa kwa wananchi kutumia mwezi huu wa mfungo wa kwaresma kutenda matendo ya huruma  kwa jamii ikiwemo kuwajali na kuwapa mahitaji watu wasiojiweza . Hayo yamesemwa na Vijana wa Kanisa la waadventista wa sabato kutoka kanisa…

21 March 2022, 14:17

Imani potofu zina didimiza mapambano dhidi ya kifua kikuu

Na; Yussuph Hassan .  Dhana ya kuhusisha ugonjwa wa kifua kikuu na imani potofu, imeelezwa kuwa dhana hiyo kwa kiasi kikubwa imekuwa ikididimiza juhudi za serikali katika mapambano dhidi ya ugonjwa huo. Dhana hii ni kufatia baadhi ya jamii kuamini…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger