Dodoma FM
Dodoma FM
8 June 2022, 15:10
Na; Benard Filbert. Jamii imeshauriwa kutumia nishati mbadala hali itakayosaidia kuepuka uharibifu wa mazingira hivyo kuchangia mabdailiko ya tabia ya nchi. Ushauri huo umetolewa na meneja wa mamlaka ya hali ya hewa kanda ya kati bwana Isdory Kilenga wakati akizungumza…
8 June 2022, 14:59
Na; Victor Chigwada. Wakazi wa Kata ya Pwaga Wilaya ya Mpwampwa wameiomba Serikali kuwafikishia huduma ya umeme. Wakizungumza na taswira ya habari wameleza changamoto hiyo imekuwa ya muda mrefu licha ya wao kujaribu kutuma maombi ya kuunganishiwa umeme. Mwenyekiti wa…
8 June 2022, 14:28
Na; Lucy Lister . Vijana jijini Dodoma wametakiwa kuwa mstari wa mbele katika kuchangamkia fursa mbalimbali zinazojitokeza na kuacha tabia ya kuchagua kazi. Akizungumza na Dodoma fm Bw. Charles Mathias ambaye anajishughulisha na suala la kuongeza thamani kupitia biashara ya…
8 June 2022, 13:36
Na;Mindi Joseph . Vyuo vinavyosajili Bunifu Hapa Nchini na Sekta Binafsi zimeombwa kuendelea kuwawezesha na kuwaendeleza wabunifu ili waweze kuuza kazi zao ndani na nje ya nchi. Akizungumza na Taswira ya Habari Mwenyekiti wa Baraza la Elimu ya Ufundi na…
1 June 2022, 15:04
Na;Mindi Joseph. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameigiza Wizara ya ofisi ya waziri mkuu ,na katibu wa ofisi ya waziri mkuu ,bunge na uratibu kwa kushirikiana na timu ya wataalamu wanaosimamia ujenzi wa mji wa kiserikali kuhakikisha wanaujenga mji huo…
1 June 2022, 14:50
Na;Mindi Joseph. Katika kuendelea kukabiliana na mabadiliko ya Tabianchi Mfuko wa uhifadhi wa milima ya Tao la mashariki umesema utaendelea kuhakikisha mimea,wanyama na vyanzo vya maji katika maeneo ya Hifadhi vinatunzwa. Akizungumza katika mahojiano na Dodoma Fm Afisa Miradi Kanda…
31 May 2022, 13:30
Na;Mindi Joseph . Wananchi Kijiji cha Suguta wilayani kongwa wameiomba serikali kuwatatulia changamoto ya maji ambayo inawakabili kwa Muda mrefu. Taswira ya habari imezungumza na Baadhi ya wanawake ambapo wamesema wamekuwa wakilazimika kukaa kisima kwa muda mrefu wakisubiria kuchota maji.…
31 May 2022, 13:16
Na; Fred Cheti Katika kuendelea kuimarisha usafi wa mazingira jijini hapa halmsahauri ya jiji la Dodoma kwa kushirikiana na wadau mabalimbali wa mazingira imeanzisha mpango wa kufanya usafi siku ya jumamosi katika kata mabalimbali zilizopo jijini hapa. Afisa Mazingira jiji…
30 May 2022, 17:01
Na ;Victor Chigwada. Matokeo ya mabadiliko ya Hali ya hewa nchini na hata dunia kwa ujumla yamekuwa yakichangiwa na shughuli za uchafunzi wa mazingira ikiwa ni pamoja ukataji wa misitu ovyo Suala la matumizi ya mikaa nchini limekuwa chachu ya…
30 May 2022, 16:45
Na;Mindi Joseph . Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Dkt. Seleman Jafo amesema eneo la msitu la Iyumbu Park likihifadhiwa ipasavyo linaweza kuwa chanzo cha utalii. Eneo hilo lina zaidi ya hekari 3000 limekuwa eneo maalum…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-