Dodoma FM

Recent posts

8 December 2020, 3:14 pm

Rais wa Zanzibar Dkt.Alli Mwinyi amuapisha makamu wa kwanza wa Rais

Na Pius Jayunga. Rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dr.Hussen Ali Mwinyi amemwapisha makamu wa kwanza wa Rais Mh.Maalimu Seif Sharif Hamad na kuwataka viongozi wa vyama vya siasa pamoja na wananchi kuunguna pamoja kuyaendeleza maridhiano.Rais. Dr.…

8 December 2020, 2:51 pm

Mfumuko wa bei wa Taifa washuka

Na,Mindi Joseph, Dodoma. Mfumuko wa bei wa Taifa umepungua kutoka asilimia 3.1 hadi 3.0 kwa mwezi Novemba kufuatia kasi ya mabadiliko ya bidhaa nchini Kupungua.Kupungua kwa mfumuko wa bei kwa mwaka ulioishia mwezi Novemba 2020 imechangiwa na kupungua kwa bei…

8 December 2020, 7:55 am

Baloteli ajiunga na Monza ya daraja la pili Italia

Monza, Italia. Mshambuliaji wa Kimataifa wa Italia, Mario Balotelli ambaye amekuwa bila klabu tangu majira ya joto, Sasa anarejea Katika Soka akijiunga na klabu cha daraja la pili huko Italia AC Monza inayomilikiwa na Silvio Berlusconi na Adriano Galliani. Klabu…

7 December 2020, 12:51 pm

Africa CDC:Idadi ya maambukizi ya virusi vya Corona yakaribia milioni 2.25

Adis Ababa, Ethiopia. Kituo cha Kukinga na Kudhibiti Magonjwa cha Afrika (Africa CDC) kimesema hadi kufikia Jumapili alasiri, idadi ya jumla ya maambukizi yaliyothibitishwa ya virusi vya Corona barani humo imekaribia milioni 2.25, huku idadi ya vifo ikifikia 53,543. Kwa…

7 December 2020, 9:06 am

Ntibazonkiza aishuhudia Yanga ikiondoka na pointi tatu

Dar Es Salaam. Mshambuliaji mpya wa klabu ya soka ya Yanga Said Ntibazonkiza hapo jana alikaa jukwaani kuishuhudia timu yake ikiibuka na ushindi wa bao 2-1 dhidi ya maafande wa Ruvu Shooting. Ntibazonkiza anatarajia kuanza kuitumikia Yanga kuanzia Sesemba 15…

5 December 2020, 11:53 am

TAWOMA watakiwa kujenga masoko mapya ya madini

Na Alfred Bulahya, Dodoma. Serikali imekitaka Chama Cha wachimba Madini Wanawake Tanzania (TAWOMA) kuendelea na juhudi za kujenga masoko mapya ya Madini ili kuhamasisha upatikanaji wa soko la Madini hasa Yale yasiyo na thamani.Kauli hiyo imetolewa leo Jijini Dodoma na…

5 December 2020, 10:56 am

Apandishwa kizimbani kwa tuhuma za kuua

Na Zakia Ndulute, Dodoma. Mkazi wa Railway katika Wilaya ya Dodoma HAMALA DALA(32) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Dodoma kwa shitaka la kuua kwa kukusudia.Akisomewa shitaka lake mbele ya Hakimu wa Wilaya ya Dodoma PASCHAL MAYUMBA na mwendesha…

5 December 2020, 10:50 am

Vieira atimuliwa Nice

Nice, Ufaransa. Klabu ya Nice imemfuta kazi kiungo wa zamani wa Ufaransa na Arsenal, Patrick Vieira kama kocha wao Mkuu baada ya miaka miwili na nusu ndani ya Klabu hiyo ya Ligue 1.Klabu hiyo ya Ufaransa imepoteza michezo mitano mfululizo,…

4 December 2020, 10:33 am

Bozizé akosa sifa ya kuwania Urais C.A.R

Bangui, C.A.R. Mahakama ya Katiba imethibitisha uamuzi wa Tume huru ya uchaguzi nchini humo kuwa rais wa zamani wa nchi hiyo François Bozizé , hana nafasi ya kuwania urais katika uchaguzi wa Desemba 27 nchini humo. François Bozizé anashtumiwa kwa…