Dodoma FM

Recent posts

11 January 2021, 12:45 pm

Bei ya mafuta ya alizeti yapaa

Na,Shani, Dodoma Imeelezwa kuwa kupanda kwa bei ya mafuta ya kula hususan ya alizeti kumechangiwa na mvua kubwa iliyonyesha msimu uliopita.Hayo yameelezwa na wafanyabasara katika soko la Majengo jijini Dodoma wakati wakizungumza na Dodoma Fm ambapo wamesema alizeti imeadimika kutokana…

5 January 2021, 3:21 pm

Wananchi Chilonwa waomba kukarabatiwa daraja

Na,Mariam Matundu, Dodoma. Wakazi wa kijiji cha Mahama Kata ya Chilonwa Wilayani Chamwino wameiomba Serikali kufanya ukarabati wa daraja lililopo kati ya kijiji cha mahama na Nzali ili kuondoa adha ya usafiri wanayokutana nayo kipindi cha mvua za masika.Wakizungumza na…

22 December 2020, 12:41 pm

Uhaba wa mbegu za maboga wapunguza matumizi

Na,Timotheo Chiume, Dodoma. Upatikanaji mdogo wa mbegu za maboga jijini Dodoma umezifanya kutotumiwa kwa wingi na watu wanaozihitaji kwa ajili ya chakula na lishe.Pamoja na changamoto hiyo uhitaji na watumiaji wanaongezeka kila siku kutokana na kutambua faida zitokanazo na mbegu…

22 December 2020, 12:23 pm

Waiomba Serikali kuwatengenezea mazingira rafiki

Na,Thadey Tesha, Dodoma Baadhi ya wafanyabiashara wa kuku katika soko la Changombe jijini hapa wameiomba  Serikali kuwatengenezea mazingira rafiki ya kuuzia bidhaa zao kutokana na eneo lililopo kutotosheleza mahitaji. Wakizungumza na Taswira ya habari wafanyabiashara hao wamesema kwa sasa mazingira…

21 December 2020, 2:47 pm

Waziri wa Maji afanya ziara ya kushtukiza kukagua uchimbaji visima

Na,Mindi Joseph, Dodoma. Waziri wa Maji Jumaa Aweso ameridhishwa na utekelezaji wa mradi wa maji wa Mzakwe wenye thamani zaidi ya milioni 200 unaotarajiwa kuzalisha maji lita laki nne kwa saa katika kuendelea kupunguza adha ya maji kwa Mkoa wa…

19 December 2020, 7:20 am

Abdulaziz Makame kuondoka Yanga

Dar es Salaama. KIUNGO mkabaji wa Klabu ya Yanga Abdulaziz Makame yupo kwenye mpango wa kutua kwa mkopo ndani ya Klabu ya Polisi Tanzania.  Taarifa zinadai kuwa mpaka sasa ni timu mbili zinahitaji kupata huduma yake ikiwa ni Polisi Tanzania …

18 December 2020, 3:52 pm

Adha ya maji Matumbulu kuwa Historia

Na, Benard Filbert, Dodoma. Ili kuondokana na changamoto ya upatikanaji wa maji katika Kata ya Matumbulu Mkoani Dodoma Serikali imeelekeza nguvu zake katika kutatua adha hiyo ili kuleta unafuu kwa wananchi.Akizungumza na taswira ya habari afisa mtendaji wa Kata hiyo…

18 December 2020, 3:41 pm

Kila Halmashauri ipande miti milioni moja na laki tano

Na,Mindi Joseph, Dodoma. Serikali imewataka maafisa mazingira wa Mikoa yote Nchini kuhakikisha Halmshauri zote zilizopo katika Mikoa yao zinapanda miti milioni moja na laki tano kila mwaka ili kuhifadhi mazingira kwa vizazi vya sasa na vijavyo.Akizungumza na Waandishi wa habari…

17 December 2020, 2:28 pm

Waziri Jafo atangaza waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza 2021

Na,Mariam Matundu, Dodoma. Waziri wa Tamisemi Selemani Jafo amewaagiza viongozi wa mikoa kwa kushirikiana na wadau wa elimu kuhakikisha wanakamilisha miundombinu ili wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza waweze kuripoti shule mapema Januari mwaka 2021.Waziri Jafo ameyasema hayo leo…

16 December 2020, 3:06 pm

PROF.Nchembe:Idadi ya vyoo bora nchini yaongezeka 2020

Na,Mindi Joseph, Dodoma. Idadi ya vyoo bora nchini imeongezeka kutoka asilimia 62.4 kwa mwaka 2019 hadi asilimia 64 kwa mwaka 2020. Hali hii imechangiwa na usimamizi bora uliofanyika kupitia kampeni ya nyumba ni Choo ambayo inafanyika nchi Nzima kwa lengo…