Recent posts
20 April 2021, 11:27 am
Migogoro ya ardhi yapelekea Ndachi kukosa huduma nyingi za Msingi
Na; Mariam Matundu Wakazi wa mtaa wa Ndachi jijini hapa wamekuwa na kilio cha muda mrefu juu ya migogoro ya ardhi pamoja na kukosekana kwa miradi ya maendeleo katika mtaa huo. Taswira ya habari imezungumza na baadhi ya wananchi wa…
19 April 2021, 2:01 pm
(UDART) Mkurugenzi wa Fedha na Maendeleo ya Biashara asimamishwa kazi na Waziri…
Na;Mindi Joseph Chanzo Waziri Mkuu Mh.Kassim Majaliwa amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Fedha na Maendeleo ya Biashara wa Wakala wa Mabasi yaendayo haraka nchini (UDART) Bi.Suzana Chaula. Hayo yanajiri baada ya kufanya ziara ya kushtukiza katika kituo cha karakana ya mabasi…
19 April 2021, 1:23 pm
Changamoto ya Maji safi na salama kijiji cha Banyibanyi bado yakosa ufumbuzi
Na; Selemani Kodima Licha ya Jitihada mbalimbali kuendelea kufanyika ,Bado kijiji cha Banyi banyi wilayani Kongwa kimeendelea kukabiliwa na Changamoto ya ukosefu wa maji safi na salama. Hili limeendelea kujiri baada ya Kupitia zaidi ya Mwezi mmoja tangu Uongozi wa…
19 April 2021, 12:48 pm
Serikali yatenga fedha kuimarisha usimamizi na uratibu wa lishe
Na; Mariam Matundu Serikali kupitia Halmashauri nchini imetenga shilingi elfu moja(1000) kwa kila mtoto mwenye umri chini ya miaka mitano ili kutekeleza afua mbalimbali za lishe ikiwemo kuanzisha kamati elekezi yenye lengo la kuimarisha usimamizi na uratibu wa suala la…
19 April 2021, 12:19 pm
Ushirikiano watakiwa kukomesha wizi wa maji Dodoma
Na; Benard Filbert. Wenyeviti wa mitaa katika jiji la Dodoma wametakiwa kutoa ushirikiano kwa mamlaka ya maji DUWASA ikiwepo kutoa taarifa za watu wanaojiunganishia maji kinyume na sheria. Hayo yanajiri kufuatia agizo la mkuu wa Mkoa Dkt.Binilith Mahenge alilolitoa hivi…
19 April 2021, 11:43 am
Serikali yaombwa kupunguza bei nishati mbadala
Na; Thadei Tesha. Gharama kubwa za nishati rafiki kwa mazingira ikiwemo gesi, zimetajwa kuchangia uharibifu wa mazingira kutokana na wananchi wengi kutozimudu. Hali hii imechangia wananchi wengi kuendelea kutumia nishati ya mkaa na kuni ambazo zinasababisha uharibifu wa mazingira. Wananchi…
19 April 2021, 5:41 am
Rais Samia awashukia wabunge kuhusu mijadala isio na tija kwa taifa
Na ; Mariam kasawa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan amesikitishwa na mijadala inayoendelea bungeni ya kumlinganisha na mtangulizi wake, hayati John Magufuli. Akizungumza jana Jumapili Aprili 18, 2021 katika kongamano la viongozi wa dini, …
16 April 2021, 12:42 pm
Waandishi tumieni kalamu zenu kuhamasisha maendeleo ya Nchi.
Na; Benard Filbert. Wito umetolewa kwa waandishi wa habari nchini kutumia kalamu zao ili kuhamasisha maendeleo ya Nchi na si vinginevyo. Wito huo umetolewa na msemaji mkuu wa serikali na mkurugenzi wa idara ya habari maelezo Mh. Gerson Msigwa wakati…
16 April 2021, 12:02 pm
Wakazi Chilonwa waomba uongozi wa Chamwino kuhamisha Dampo ambalo limekuwa kero…
Na; Selemani kodima Dampo la kutupia taka lililopo katikati ya mpaka wa Kijiji cha Chamwino ikulu na Chilonwa Wilayani Chamwino limetajwa kuhatarisha afya za wananchi wa eneo hilo.. Hayo yamefahamika baada ya Taswira ya habari kuzungumza na baadhi ya wakazi…
16 April 2021, 11:13 am
Wadau wa mazingira waipongeza Serikali kwa hatua ya kutokomeza mifuko ya plasti…
Na; Mariam Matundu. Wadau wa mazingira wanasema wanafurahi kuona jitihada zao za kutaka kutokomezwa matumizi ya plastiki zinaendelea kufanikiwa kutokana na athari zake katika mazingira. Hayo yamesemwa na mdau wa mazingira kutoka taasisi ya Fudeco Bakari Mntembo na kuongeza kuwa…