Dodoma FM

Recent posts

21 March 2022, 13:54

Serikali kuanza utelekelezaji wa mradi wa maji bwawa la Farkwa

Na; Mariam Matundu. Katika kukabiliana na changamoto ya upatikanaji wa maji mkoani Dodoma serikali imesema iko mbioni kuanza utekelezaji wa mradi wa maji wa bwawa la Farkwa . Akizungumza na  taswira ya habari mkurugenzi wa bonde la wamiruvu kutoka wizara…

16 March 2022, 14:06

Faundation for civil society yajadili utoaji huduma bora za kijamii

Na;Mindi Joseph . Taasisi ya Foundation for civil society Leo imekutana na wadau wa habari Kujadili namna ya kuimarisha na kuboresha utoaji wa huduma bora za kijamii kwa wananachi. Akizungumza na Taswira ya Habari Afisa Program Mwandamizi Nicolaus Mhozya amesema lengo…

16 March 2022, 13:57

Watu wenye ulemavu waomba elimu juu ya umuhimu wa sensa

Na; Mariam Matundu. Watu wenye ulemavu wameiomba serikali kuwaelimisha juu ya umuhimu wa sense kwa kundi hilo ili waweze kushiriki kikamilifu kuhesabiwa pindi zoezi litakapoanza. Wakizungumza na taswira ya habari baadhi ya watu wenye ulemavu wamesema sense ni muhimu kundi…

16 March 2022, 13:43

Ukosefu wa ajira chanzo cha matumizi ya dawa za kulevya

Na; Elizabeth Japhet. Ukosefu wa ajira unatajwa kuwa moja ya sababu inayosababisha baadhi ya vijana kujihusisha na utumiaji wa  dawa za  kulevya. Bwana Swaleh ni miongoni mwa wahanaga wa dawa za kulevya na mfanyabiashara  wa soko kuu la majengo jijin…

15 March 2022, 14:07

Wazazi watakiwa kusimamia Afya ya kinywa ya watoto wao

Na;Yussuph Hassan. Katika kuhakikisha Mtoto anapata makuzi bora ya afya ya kinywa, imeelezwa kuwa Mzazi ana wajibu wa kumsimamia Mtoto wake kuanzia umri wa Mwaka mmoja hadi kufikia umri wa miaka Tisa. Usafi wa kinywa hujumuisha usafi wa meno, fizi,…

15 March 2022, 13:40

Wazazi acheni kushinikiza watoto wajifelishe.

Na;Mindi Joseph .                                     Wazazi Wilayani Chamwino Mkoani Dodoma wametakiwa kuachana na tabia ya kuwashinikiza watoto kujifelisha katika masomo yao. Kauli hiyo imetolewa na Afisa Elimu Michezo Wilayani humo Nicholaus Achimpota ambapo amesema hali hiyo inapelekea kurudisha nyuma maendeleo ya elimu…

10 March 2022, 15:14

Jamii yatakiwa kuacha imani za kishirikina juu ya uchangiaji damu

Na; Thadei Tesha. Jamii imetakiwa kuachana na imani za kishirikina juu ya suala la kuchangia damu ili kupunguza idadi ya wagonjwa wanaofariki kutokana na kukosa damu. Akizungumza katika mahojiano maalum na kipindi cha taswira ya habari Daktari kutoka katika hospitali…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger