Dodoma FM

Recent posts

9 February 2022, 14:58

Wakulima watakiwa kuendelea na shughuli za kilimo bila kuhofia mvua

Na; Benard Filbert. Licha ya mvua kuwa chini ya wastani msimu huu imeelezwa bado kuna uwezekano mkubwa wa kupata mazao yakutosha kwa wakulima wa mazao mbalimbali kanda ya kati. Hayo yanajiri kufuatia baadhi ya wakulima kuwa na wasiwasi wa kupata…

8 February 2022, 16:45

Ukosefu wa chakula shuleni wapelekea wanafunzi kutofanya vizuri

Na; Neema Shirima. Hali ya ukosefu wa chakula kwa wanafunzi katika baadhi ya shule za msingi jijini Dodoma inachangia wanafunzi kutofanya vizuri darasani pamoja na utoro Akizungumza na taswira ya habari mwalimu mkuu msaidizi wa shule ya msingi Chitabuli iliyopo…

7 February 2022, 16:26

Ubovu wa barabara Chitabuli wapelekea akina mama wajawazito kujifungulia njiani

Na; Neema Shirima.              Baadhi ya wananchi wa kijiji cha Chitabuli kilichopo katika wilaya ya Chamwino jijini Dodoma wameiomba serikali iwaboreshee miundombinu ya barabara ambayo imekuwa ni changamoto kubwa kwao. Wakizungumza na taswira ya habari wananchi hao wamesema ubovu wa…

7 February 2022, 15:44

Vyombo vya sheria vyaombwa kusimamia haki

Na; Benard Filbert. Vyombo vinavyosimamia sheria nchini vimeombwa kusimamia haki pale inapobainika mtu yeyote kufanya vitendo vya kikatili ili kukomesha  hali hiyo. Hayo yamebeinishwa na afisa miradi Bi Stella Matei kutoka taasisi ya ACTION FOR COMMUNITY CARE ambayo inajihusisha na…

4 February 2022, 15:55

Ubovu wa barabara wakwamisha baadhi ya shuguli za maendeleo

Na; Victor Chigwada. Kutokana na mvua zinazo endelea kunyesha Jijini hapa maeneo mengi yenye barabara za kawaida hususani vijijini yamekuwa yakiathirika kwa kiasi kikubwa na hata kukwamisha baadhi ya shughuli za maendeleo. Wananchi wa Kata ya Loje ni miongoni mwa…

2 February 2022, 16:20

Wakazi wa Zuzu waomba serikali iboreshe miundombinu ya barabara.

Na; Neema Shirima. Wananchi wa mtaa wa Pinda katika kata ya Zuzu jijini Dodoma wameiomba serikali iwaboreshee miundombinu ya barabara katika mtaa huo . Wamesema hali ya barabara hasa kwa kipindi cha mvua imekuwa changamoto kwani wakati mwingine wanashindwa kupita…

2 February 2022, 16:05

Wafanyabiashara wa vyakula watakiwa kufuata sheria ya Afya ya jamii

Na; Benard Filbert. Idara ya afya katika jiji la Dodoma imeanza oparesheni ya ukaguzi wa maeneo yanayotumika kuuzia vyakula na vinywaji  katika kata zote lengo ikiwa kuwataka wauzaji hao kufuata sheria ya afya ya jamii ya mwaka 2009. Hayo yameelezwa…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger