Dodoma FM

Recent posts

30 Julai 2024, 18:26

NIRC yatarajia kuchimba visima 60,000 nchini

Mpango huu unalenga kuwa na visima vyenye uwezo wa kuhudumia wakulima na umelenga kuinua sekta ya Kilimo cha Umwagiliaji na kuchochea ukuaji wa uchumi nchini. Na Mindi Joseph. Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) kupitia Wizara ya Kilimo inatarajia  kuchimba…

29 Julai 2024, 20:07

Jamii yaomba elimu zaidi ugonjwa wa homa ya ini-Makala

Jamii imetakiwa kuchukua tahadhari na kupata vipimo au chanjo. Na Steven Noel.Jamii imeombwa kuendelea kuelimishwa juu ya ugonjwa wa homa ya ini ili iendelee kuchukua tahadhari na kupata vipimo au chanjo. Akiongea na Dodoma FM daktari bingwa na mbobezi wa…

29 Julai 2024, 19:53

Umeme wa REA waimarisha huduma za afya Hombolo Bwawani

Mikoa mingine inayotekelezwa na mradi huo ni Mwanza, Kagera, Simiyu, Arusha, Pwani, Lindi na Mtwara. Na Mindi Joseph.Baadhi ya Wananchi kutoka katika Mitaa ya Kolimba na Hombolo Bwawani Kata ya Hombolo Jijini Dodoma wamesema uwepo wa huduma ya Umeme wa…

29 Julai 2024, 19:18

Jamii yatakiwa kudumisha kampeni ya mtu ni afya

Ikumbukwe kuwa kampeni ya Mtu ni Afya yenye kaulimbiu inayosema Fanya kweli, Usibaki nyuma ilizinduliwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango tarehe 9 Mei, 2024 . Na Mariam Kasawa.Wananchi wametakiwa kuendelea…

29 Julai 2024, 18:45

Jamii yakumbushwa kumpa nafasi mwanamke

Nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Dkt. Samia Suluhu Hassan ni maono mema yenye kubeba taswira ya mabadiliko kwa jamii kutambua wanawake wanaweza kuongoza. Na Victor Chigwada.Jamii imekumbushwa kuona umuhimu wa kumpa nafasi mwanamke kwenye nyanja…

24 Julai 2024, 17:25

Shule ya Sekondari Bihawana tunu ya kata ya Mbabala

Yussuph Hassan ameongea na Diwani wa kata ya Mbabala Mh Pascazia Charles Mawala ambapo anaielezea shule hii. Na Yussuph Hassan.Shule ya Sekondari Bihawana ni Shule ya bweni inayodahili wanafunzi wavulana wa Kidato cha Tano na Sita tu. Shule inatoa Elimu…

24 Julai 2024, 17:07

Ukarabati shule ya msingi Michese wasaidia kupunguza utoro

Shule ya Msingi Michese ina zaidi ya wanafunzi 2000, walimu wakiwa ni 40 na madarasa 16 huku ikiwa na uhitaji wa madarasa 44 ili kukidhi mahitaji ya wanafunzi. Na Mindi Joseph.Zaidi ya Shilingi Milioni 100 zimetumika katika Ukarabati wa Miundombinu…

24 Julai 2024, 16:40

Wananchi watakiwa kutoa ushirikiano polisi vitendo vya ukatili

Kanisa la Pentecostal Convent Faith lililopo Njedengwa Dodoma limesimika Viongozi mbalimbali wa Kanisa hilo ikiwemo Wachungaji zaidi ya watano na Wainjilisti. Na Yussuph Hassan.Wananchi Mkoani Dodoma wametakiwa kutoa ushirikiano kwa Jeshi la Polisi dhidi ya vitendo vya ukatili ikiwemo matukio…

24 Julai 2024, 16:19

Vijana watakiwa kuchangamkia fursa za kiuchumi zitokanazo na uchaguzi

Ni fursa zipi za kiuchumi ambazo vijana wanaziona katika chaguzi zijazo na zinazoweza kuwanufaisha. Na Fred Cheti.Vijana wameshauriwa kuzichangamkia fursa za kiuchumi kwa njia halali ambazo zitatokana na ujio wa chaguzi zijazo ikiwemo uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka huu…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger