Dodoma FM

Recent posts

12 January 2021, 7:48 am

TBS na WMA watakiwa kufanya kazi kwa uadilifu

Dodoma. Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe.Geoffrey Mwambe amewataka watumishi wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) na Wakala wa Vipimo (WMA) kufanya kazi kwa uadilifu na kuwafikiria wafanya biashara wakati wakitoa huduma ili kuendelea kutengeneza taswira nzuri ya bidhaa  za…

11 January 2021, 2:02 pm

Ubovu wa barabara Mazae wakwamisha maendeleo

Na,Benard Filbert Dodoma. Ubovu wa miundombinu ya barabara katika Kata ya Mazae Wilayani Mpwapwa imetajwa kuwa kero hali ambayo inasababisha kushindwa kufanyika kwa shughuli za kimaendeleo.Mmoja wa mkazi wa mtaa wa mazae akizungumza na taswira ya habari amesema hivi sasa…

11 January 2021, 12:45 pm

Bei ya mafuta ya alizeti yapaa

Na,Shani, Dodoma Imeelezwa kuwa kupanda kwa bei ya mafuta ya kula hususan ya alizeti kumechangiwa na mvua kubwa iliyonyesha msimu uliopita.Hayo yameelezwa na wafanyabasara katika soko la Majengo jijini Dodoma wakati wakizungumza na Dodoma Fm ambapo wamesema alizeti imeadimika kutokana…

5 January 2021, 3:21 pm

Wananchi Chilonwa waomba kukarabatiwa daraja

Na,Mariam Matundu, Dodoma. Wakazi wa kijiji cha Mahama Kata ya Chilonwa Wilayani Chamwino wameiomba Serikali kufanya ukarabati wa daraja lililopo kati ya kijiji cha mahama na Nzali ili kuondoa adha ya usafiri wanayokutana nayo kipindi cha mvua za masika.Wakizungumza na…

22 December 2020, 12:41 pm

Uhaba wa mbegu za maboga wapunguza matumizi

Na,Timotheo Chiume, Dodoma. Upatikanaji mdogo wa mbegu za maboga jijini Dodoma umezifanya kutotumiwa kwa wingi na watu wanaozihitaji kwa ajili ya chakula na lishe.Pamoja na changamoto hiyo uhitaji na watumiaji wanaongezeka kila siku kutokana na kutambua faida zitokanazo na mbegu…

22 December 2020, 12:23 pm

Waiomba Serikali kuwatengenezea mazingira rafiki

Na,Thadey Tesha, Dodoma Baadhi ya wafanyabiashara wa kuku katika soko la Changombe jijini hapa wameiomba  Serikali kuwatengenezea mazingira rafiki ya kuuzia bidhaa zao kutokana na eneo lililopo kutotosheleza mahitaji. Wakizungumza na Taswira ya habari wafanyabiashara hao wamesema kwa sasa mazingira…

21 December 2020, 2:47 pm

Waziri wa Maji afanya ziara ya kushtukiza kukagua uchimbaji visima

Na,Mindi Joseph, Dodoma. Waziri wa Maji Jumaa Aweso ameridhishwa na utekelezaji wa mradi wa maji wa Mzakwe wenye thamani zaidi ya milioni 200 unaotarajiwa kuzalisha maji lita laki nne kwa saa katika kuendelea kupunguza adha ya maji kwa Mkoa wa…

19 December 2020, 7:20 am

Abdulaziz Makame kuondoka Yanga

Dar es Salaama. KIUNGO mkabaji wa Klabu ya Yanga Abdulaziz Makame yupo kwenye mpango wa kutua kwa mkopo ndani ya Klabu ya Polisi Tanzania.  Taarifa zinadai kuwa mpaka sasa ni timu mbili zinahitaji kupata huduma yake ikiwa ni Polisi Tanzania …

18 December 2020, 3:52 pm

Adha ya maji Matumbulu kuwa Historia

Na, Benard Filbert, Dodoma. Ili kuondokana na changamoto ya upatikanaji wa maji katika Kata ya Matumbulu Mkoani Dodoma Serikali imeelekeza nguvu zake katika kutatua adha hiyo ili kuleta unafuu kwa wananchi.Akizungumza na taswira ya habari afisa mtendaji wa Kata hiyo…

18 December 2020, 3:41 pm

Kila Halmashauri ipande miti milioni moja na laki tano

Na,Mindi Joseph, Dodoma. Serikali imewataka maafisa mazingira wa Mikoa yote Nchini kuhakikisha Halmshauri zote zilizopo katika Mikoa yao zinapanda miti milioni moja na laki tano kila mwaka ili kuhifadhi mazingira kwa vizazi vya sasa na vijavyo.Akizungumza na Waandishi wa habari…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger