Storm FM

Recent posts

31 May 2021, 8:08 pm

Ushindani UMITASHUMTA Waongezeka Geita.

Na Joel Maduka: Afisa michezo Mkoa wa Geita, Carol Steven amesema kwa kiasi kikubwa ushindani kwa halmashauri sita zilizopo ndani ya Mkoa wa Geita ni mkubwa zaidi ukilinganisha na miaka ambayo wameshaendelea na michuano ya michezo ya UMITASHUMTA ambao umekuwa…

31 May 2021, 7:51 pm

Wakimbiza Baiskeli (Daladala) Washauriwa Kutumia Lugha Za Staha.

Na Zubeda Handrish: Waendesha Baiskeli maarufu kwa jina la (Daladala) Mkoani Geita wamewashauriwa kutumia lugha za staha na kuzingatia suala la usafi na utunzaji wa mazingira wawapo katika vituo au vijiwe vyao vya kazi Ushauri huo umetolewa na Mwenyekiti wa…

30 May 2021, 2:00 pm

Watoto 4 wakamatwa kwa kukesha wakicheza PS

Watoto Wanne(4) Akiwemo  Ramadhani Hasani   Wakazi Wa  Kata Ya Nyankumbu Halmashauri Ya Mji Wa Geita Mkoani Geita Wamekutwa Wamefugiwa Ndani Ya Chumba Cha Mchezo  wa Game za Play Statio PS. Akielezea Mmoja Wa Wazazi Wa Watoto Hao Bi Amina Jumanne  Amesema…

28 May 2021, 2:10 pm

Wanaume watakiwa kujitokeza kufanyiwa tohara Geita

Wanaume ambao hawajafanyiwa tohara Mkoani Geita wameshauriwa kujitokeza katika vituo vya afya kupatiwa huduma hiyo kwani inasaidia kujikinga na magonjwa mbalimbali ikiwemo kupunguza 60% ya maambukizi ya virusi vya Ukimwi. Rai  hiyo imetolewa na Mratibu wa kuthibiti  Ukimwi Mkoani Geita …

27 May 2021, 2:22 pm

Wanawake tujishughulishe na kazi kuepuka utegemezi

Wanawake katika kata ya Mgusu wilayani Geita wameshauriwa kujishughulisha na biashara ndogo ndogo za halali ili kuepuka utegemezi katika jamii. Rai hiyo imetolewa na wanawake wanaofanya kazi katika mgodi wa uchimbaji wa madini ya dhahabu wa mgusu miners wakati wakizungumza…

26 May 2021, 2:17 pm

Mkoa wa Chato wapendekezwa kuundwa na wilaya 5

Kikao cha kamati ya ushauri cha mkoa wa Geita (RCC) kimekubaliana kwa pamoja kuwa mkoa mpya  wa Chato  utakaomegwa kutoka katika mkoa wa Geita na mikoa jirani za kagera na kigoma utaundwa na wilaya tano za Chato,Bukombe,Ngara,Bihalamulo na kakonko. Kikao…

21 May 2021, 5:52 pm

Wachimbaji Watakiwa Kuondoa Migogoro Kazini

Na Joel Maduka: Wachimbaji wadogo   ambao wamekuwa wakifanya shughuli zao kwenye  Mikoa  ya Kanda ya ziwa  wametakiwa  kuondoa tofauti  ambazo zimekuwa zikisababisha migogoro ya mara kwa mara  hali inayochangia  kushindwa kuungana ili  kuweza kukuza uzalishaji wao na kuufanya kuwa…

20 May 2021, 8:05 pm

Wazazi na Walezi Wagomea Chanjo Nyankumbu, Geita

Na Mrisho Sadick: Wazazi na walezi katika mtaa wa uwanja kata ya Nyankumbu mjini Geita  wameshauriwa  kuwaruhusu watoto wao kupatiwa dawa  za kinga tiba ya kichocho  na minyoo ili kuwakinga na changamoto hiyo. Rai hiyo imetolewa na Mganga mfawidhi wa…

20 May 2021, 7:51 pm

Vituo Vya Kutolea Huduma Za Afya Vyatakiwa Kuhakiki Vipimo

Na Mrisho Sadick: Hospitali za wilaya na vituo vya kutolea huduma za Afya Mkoani Geita zimetakiwa kufanya uhakiki wa vipimo ili kuondoa utata katika utoaji wa huduma kwa Wananchi.Rai hiyo imetolewa na Meneja wa wakala wa Vipimo Mkoani Geita Bw…

STORM FM OVERVIEW

Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.

Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.

Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.

OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.

ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.