Storm FM
Storm FM
10 October 2024, 11:57 am
Wakala wa vipimo nchini Tanzania wameendelea kutoa elimu juu ya vipimo sahihi kwa wananchi na wafanyabiashara ili kuondoa changamoto mbalimbali. Na: Ester Mabula – Geita Kaimu meneja wa wakala wa vipimo mkoa wa Geita amesema kwa sasa wanaendelea kutoa elimu…
10 October 2024, 11:10 am
Leo ni siku ya 9 tangu kuanza kwa maonesho ya 7 ya teknolojia ya madini mkoani Geita ambayo yameendelea kufanyika kila mwaka yakiwakutanisha watu mbalimbali. Na: Ester mabula – Geita Kampuni ya Njema Labs inayojihusisha na upimaji wa sampuli za…
10 October 2024, 10:41 am
Kampuni ya Geita Gold Minning Limited inayojihusisha na uchimbaji madini ya dahabu mkoani Geita imeendelea kurejesha kwa jamii kupitia utoaji na uwezeshaji wa huduma mbalimbali zinazowalenga wananchi. Na: Ester Mabula – Geita Kampuni ya GGML ikishirikiana na shirika la ICAP…
9 October 2024, 10:29 am
Waziri wa Madini Antony Mavunde ameendelea na ziara za ndani ya mkoa wa Geita akitembelea maeneo mbalimbali sambamba na kuzungumza na wachimbaji wadogowadogo. Na: Edga Rwenduru – Geita Waziri wa madini Anthony Mavunde ameiagiza Taasisi ya kuzuia na kupambana na…
9 October 2024, 9:48 am
Matukio ya ajali zinazosababishwa na mwendokasi wa baadhi ya madereva yawakera wananchi waishio maeneo ya Msufini mtaa wa Msalala road mjini Geita. Na: Amon Mwakalobo – Geita Baadhi ya wananchi wa maeneo ya Msufini Mtaa wa Msalala Road Halmashauri ya…
8 October 2024, 2:55 pm
Baadhi ya watoto waishio katika mazingira magumu na kaya duni wamekuwa wakipitia changamoto mbalimbali ikiwemo ukosefu wa mahitaji ya shule. Na: Evance Mlyakado – Geita Wanafunzi 46 kutoka shule za msingi na sekondari tano ndani ya wilaya ya Geita wamepokea…
7 October 2024, 10:10 am
Mgodi wa Geita Gold Minning Limited umekabidhi nyumba 6 na pikipiki 50 kwa Jeshi la polisi mkoani Geita ikiwa ni sehemu ya urejeshaji wa Jamii (CSR). Na: Evance Mlyakado – Geita Naibu waziri mkuu na waziri wa nishati Dkt. Doto…
7 October 2024, 9:52 am
Uwepo wa daraja la Katundu ambalo linatumiwa na wananchi mbalimbali umepelekea hofu kwa baadhi ya wananchi kutokana na baadhi ya vijana kukaa hasa nyakati za usiku. Na: Amon Mwakalobo – Geita Baadhi ya wananchi halmashauri ya mji wa Geita wanaoutumia…
3 October 2024, 9:43 am
Mwenge wa uhuru umeendelea kutembelea, kukagua na kuzindua miradi mbalimbali ya maendeleo mkoani Geita tangu ulipokabidhiwa rasmi Septemba 30, 2024. Na: Kale Chongela – Geita Mbio za Mwenge wa uhuru zimeridhishwa na mradi wa maji wenye thamani ya 2,050,923,546.11 uliopo…
2 October 2024, 10:55 am
Ziara ya katibu mkuu wa ACT Wazalendo Ado Shaibu katika maeneo mbalimbali mkoani Geita imetamatika kwa kutembelea halmashauri ya wilaya ya Bukombe. Na: Ester Mabula – Geita Katibu mkuu wa ACT Wazalendo Ado Shaibu Ado Septemba 30, 2024 amehitimisha ziara…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.