Storm FM

Recent posts

20 December 2024, 4:12 pm

RTO Geita atoa rai kwa madereva kipindi cha sikukuu

Watumiaji wa vyombo vya moto mkoani Geita wameaswa kuzingatia sheria za usalama barabarani katika kipindi cha sikukuu za mwisho wa mwaka ili kupunguza ajali za barabarani. Na: Kale Chongela – Geita Mkuu wa kikosi cha usalama barabarani mkoa wa Geita…

19 December 2024, 8:43 pm

Vitendo vya ukatili bado changamoto Geita

Elimu yahitajika zaidi kwa wananchi ili kuendelea kupambana na vitendo vya ukatili katika jamii kwakuwa hali bado si shwari. Na Kale Chongela: Wakazi wa Geita mjini wameiomba serikali kuendelea kutoa elimu ya namna ya kukabiliana na vitendo vya ukatili na…

19 December 2024, 9:49 am

Tazama lori lilivyopata ajali eneo la round about Geita

Mkuu wa kitengo cha usalama barabarani mkoa wa Geita ametoa rai kwa watumiaji wa vyombo vya moto kuzingatia sheria za usalama barabarani ili kupunguza ajali zinazotokana na ukiukwaji wa sheria hizo. Na: Evance Mlyakado – Geita Gari kubwa la mizigo…

18 December 2024, 2:28 am

Wasiojulikana wavamia na kuharibu mazao shambani Kanyala

Katika hali ya kushangaza watu wasiojulikana wamevamia na kufanya uharibifu wa mazao katika shamba lenye ukubwa wa ekari mbili. Na: Kale Chongela – Geita Tukio hilo limetokea katika mtaa wa Mkangala kata ya Kanyala halmashauri ya mji wa Geita  ambapo kwa mujibu…

14 December 2024, 10:57 am

Wananchi mtaa wa Shilabela walia wimbi la vibaka

Uwepo wa vitendo vya wizi wa mali umeendelea kuwa mwiba kwa wakazi wa mtaa wa Shilabela kata ya Buhalahala mjini Geita ambapo wananchi wameeleza adha wanayopitia. Na: Edga Rwenduru – Geita Wananchi wa mtaa wa shilabela kata ya Buhalahala halmashauri…

13 December 2024, 1:57 pm

CCM yalaani mtoto kuchomwa moto Kasota

Kufuatia tukio la mtoto Disemba 02, 2024 la mtoto kushambuliwa na kuchomwa moto na mama yake mzazi likatika kijiji cha Kasota wilayani na mkoani Geita, CCM mkoa wa Geita yalaani tukio hilo. Na: Evance Mlyakado – Geita Jumuiya ya wazazi…

13 December 2024, 12:04 pm

Wafanyabiashara soko la Lwamgasa watoa ombi kwa Serikali

Lwamgasa ni miongoni mwa kata 37 zilizopo katika halmashauri ya wilaya ya Geita ambapo shughuli kuu inayofanyika katika kata hiyo ni uchimbaji wa madini ya dhahabu. Na: Paul William – Geita Wafanyabiashara mbalimbali katika soko kuu la kata ya Lwamgasa…

9 December 2024, 3:54 pm

Askari magereza alalamikiwa kuharibu mali za ndani Geita

Licha ya kampeni ya kimataifa ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia, bado vitendo vya ukatili vimeendelea kujitokeza katika Jamii ambavyo vinasababisha athari mbalimbali kwenye Jamii. Na: Evance Mlyakado – Geita Mwanaume mmoja ambaye ni Askari wa Jeshi la…

9 December 2024, 3:40 pm

Madereva Geita waonywa kutii sheria za barabarani

Jeshi la polisi nchini kitengo cha usalama barabarani limeendelea kujiimarisha kwa kufanya ukaguzi kwa madereva na vyombo vya moto ili kubaini makosa mbalimbali na kuyachukulia hatua. Na: Kale Chongela – Geita Jeshi la Polisi kitengo cha usalama Barabarani nchini limewaonya…

6 December 2024, 4:54 pm

DC Geita atoa maelekezo ya utendaji kwa wenyeviti

Mkuu wa wilaya ya Geita ametoa mwongozo wa kiutendaji kwa wenyeviti kutoka kata 13 za halmashauri ya mji wa Geita na kata 37 za halmashauri ya wilaya ya Geita. Na: Ester Mabula – Geita Mkuu wa Wilaya ya Geita, Hashim…

STORM FM OVERVIEW

Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.

Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.

Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.

OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.

ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.