Storm FM
Storm FM
7 January 2025, 10:56 am
Wananchi waeleza changamoto zitokanazo na matengezo na ujenzi wa barabara zenye urefu wa KM 17 kupitia mradi wa TACTIC unaofadhiliwa na benki ya dunia. Na: Edga Rwenduru – Geita Wananchi wanaoishi maeneo unapofanyika ujenzi wa mradi wa barabara zenye urefu…
6 January 2025, 3:47 pm
Kufuatia changamoto ya muda mrefu ya kutokuwa na shule ya msingi katika mtaa wa Nshinde, hatimaye serikali ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania imkamilisha ujenzi wa shule katika mtaa huo. Na: Kale Chongela – Geita Wakazi wa Mtaa wa Nshinde…
6 January 2025, 10:53 am
Licha ya serikali, wadau na wanaharakati wa haki za binadamu kuendelea kukemea vikali juu ya matukio ya ukatili, bado vitendo hivyo vinaendelea kujitokeza huku waathirika wakiwa ni watoto. Na: Edga Rwenduru – Geita Mtoto mwenye umri wa miaka 8 mkazi…
3 January 2025, 9:46 am
Kufuatia changamoto ya ubovu wa miundombinu ya barabara katika baadhi ya maeneo mjini Geita, hatimaye marekebisho ya baadhi ya barabara hizo yameanza kutekelezwa. Na: Kale Chongela – Geita Wakala wa barabara nchini TANROADS mkoa wa Geita yaanza kufanya maboresho na…
30 December 2024, 4:03 pm
Licha ya maeneo ya visiwani kuwa na idadi kubwa ya watu kutokana na shughuli za uzalishaji mali kama uvuvi bado maeneo hayo yanakumbana na changamoto ya ukosefu wa nyumba za ibada. Na: Edga Rwenduru- Geita Kufuatia changamoto hiyo, kanisa la…
30 December 2024, 10:48 am
Kwa zaidi ya miaka sita imeelezwa kuwa nyani waliopo katika mtaa wa Nyanza mjini Geita wameendelea kuleta changamoto ikiwemo udokozi wa vitoweo kwa wakazi wa eneo hilo. Na: Evance Mlyakado – Geita Wakazi wa mtaa wa Nyanza, eneo la Kagera,…
27 December 2024, 9:50 pm
Wakati ligi ya Championship ikielekea katika mzunguko wa pili timu ya Biashara United inakabiliwa na changamoto ya kiuchumi. Na Mrisho Sadick: Wachezaji zaidi ya 20 na benchi la ufundi la timu ya Biashara United ya mkoani Mara wameikimbia timu hiyo…
23 December 2024, 4:20 pm
Jeshi la polisi kitengo cha usalama barabarani mkoani Geita limetoa rai kwa wananchi kutotumia vilevi kupitiliza katika msimu huu wa mwisho wa mwaka. Na: Edga Rwenduru – Geita Kikosi cha usalama barabarani mkoa wa Geita kimewataka wananchi wanaolewa kupita kiasi…
23 December 2024, 4:06 pm
Baadhi ya miundombinu ya barabara katika mitaa na maeneo mbalimbali mkoani Geita imeendelea kuharibika kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha. Na: Kale Chongela – Geita Wakazi wa mtaa wa Nshinde kata ya Nyankumbu mjini Geita wamelalamikia ubovu wa miundombinu ya barabara hali…
20 December 2024, 6:56 pm
Kutokana na umuhimu wa tasnia ya habari kuwa nyeti , waandishi wameendelea kusisitizwa kufanya kazi zao kwa weledi kwakuwa jamii inawategemea. Na Mrisho Sadick: Mwenyekiti wa klabu ya waandishi wa Habari Mkoa wa Geita Renatus Masuguliko amewataka waandishi wa habari…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.