Storm FM

Recent posts

25 April 2021, 2:27 pm

Shule za Msingi Geita zatakiwa kufanya mijadala

Walimu shule za msingi  katika halmashauri ya mji wa Geita wameshauriwa kuandaa mijadala shuleni baina ya shule jirani ili kuwajengea uwezo wanafunzi wa kujieleza kitaaluma . Ushauri huo umetolewa na Afisa tawala Wilaya ya  Geita  Bw Inocent Mabiki  ambaye alikuwa…

23 April 2021, 6:37 pm

Mtoto azaliwa bila mikono

Na Joel Maduka: Baraka Marko mkazi wa Nemba Wilaya ya Biharamulo amewaomba watanzania wenye mapenzi mema kumsaidia kupata baiskeli  ndogo ya magurudumu matatu ambayo itamsaidia mtoto wake ambaye anaitwa Faraja Baraka aliyemzaa bila ya kuwa na mikono kutokana na sasa…

23 April 2021, 6:15 pm

Vijana washauriwa kutobagua kazi za kufanya Geita

Na Ester Mabula: Vijana mkoani Geita wameshauriwa kujiajiri na kuacha dhana ya kubagua kazi ili kuweza kujipatia maendeleo  na kuendesha maisha yao. Hayo yamebainishwa na baadhi ya vijana walioamua kujiajiri kwa kuunda kikundi cha  kutengeneza bidhaa mbalimbali kwa kutumia vyuma…

23 April 2021, 6:07 pm

Ngo’mbe wawili wamekufa baada ya kunywa maji yenye sumu Geita

Na Kale Chongela: Ng’ombe wawili wamekufa baada ya kunywa maji yenye sumu kutokana na kutapakaa kwa maji yenye sumu yanayo toka katika eneo la uchenjuaji wa madini ya dhahabu    katika mtaa wa Samina Kata ya Mtakuja Halmashauri ya mji wa Geita…

21 April 2021, 12:00 pm

Wagoma kulinda usiku kwa kuhofia kukamatwa

Na Mrisho Sadick: Mtaa wa Nyamakale uliyopo halmashauri ya mji wa Geita Mkoani Geita unakabiliwa na changamoto ya ulinzi shirikishi  kutokana na baadhi ya wakazi wa eneo hilo kushindwa kushiriki kwa madai ya kuogopa kupata matatizo. Wakizungumza na Storm FM…

21 April 2021, 11:48 am

Mtoto wa miezi 7 atupwa kichakani Geita

Na Mrisho Sadick: Mtoto mchanga anaekadiriwa kuwa na umri wa miezi (7) amekutwa ametupwa kwenye kichaka huku akiwa  amefariki katika Mtaa Mtaa wa Nyanza halmashauri ya mji wa Geita Mkoani Geita. Baadhi ya wananchi waliojitokeza kushuhudia tukio hilo wameiambia Storm…

21 April 2021, 11:30 am

Mama avunja nyumba ya mume wake wa zamani

Na  Nichoras Paul Lyankando: Mwanamke mmoja mkazi wa kijiji cha nyamalulu  katika halmashauri ya wilaya ya Geita amefanya uharibifu wa kubomoa nyumba ya aliekuwa mmewake wa zamani huku ikielezwa kuwa ni wivu wa kimapenzi. Akizungumza na Storm FM  Charles Katisho…

21 April 2021, 11:15 am

Wanasoka Geita waomba kujengewa uwanja wa kisasa

Na William Petro: Mashabiki na wapenzi wa wa soka mkoni Geita wameuomba uongozi wa mkoa kuangalia namna ya kukamilisha ujezi wa uwanja wa kisasa wa mpira wa miguu kwani miundombinu ni sehemu ya maendeleo ya soka. Wapenzi na mashabiki hao…

21 April 2021, 10:46 am

GGML yapewa ruhusa uchimbaji wa wazi

Na Joel Maduka: Kampuni ya uchimbaji wa madini ya Anglo Gold Ashanti Kupitia mgodi wake wa Geita Gold Mining Limited (GGML) imepokea ruhusa ya mpango wa uchimbaji madini wa mwaka 2021 unaohusisha uchimbaji wa wazi na wa chini kwa chini…

19 April 2021, 6:34 pm

Wanafunzi wasifu ujenzi wa shule Mpya Geita

Wanafunzi Wa Shule Ya Sekondari Ya Evarist Iliyopo Kata Ya Nyarugusu Wilayani Geita Wameipongeza Serikali Kwa Kushirikiana Na Wadau Wa Maendeleo Katika Eneo Hilo Kwa Kufanikisha Ujenzi Wa Shule Hiyo. Wakizungumza Katika Shule Hiyo Ambayo Imeanza Kutoa Elimu Ya  Kidato…

Kwanini utangaze nasi?

Storm FM Radio ni Kituo cha Matangazo kilichopo Mkoani Geita ambacho kinasikika maeneo yote ya Mkoa wa Geita pamoja na Mikoa jirani kwa masafa ya 88.9.

Tunasikilizwa na makundi ya rika zote kwakuwa tumejipambanua kwa kuifikia jamii moja kwa moja kupitia Radio, Matamasha na mitandao ya kijamii ikiwemo Instagram,Twitter,Facebook na radiotadio.co.tz/stormfm.