Storm FM

Recent posts

14 April 2021, 7:41 pm

Wasahau mwili wa marehemu ndani nakwenda kuzika jeneza tupu Geita

Na Mrisho Sadick: Katika hali isiyokuwa ya kawaida wakazi wa mtaa wa Nyantorotoro Kata ya Nyankumbu mjini Geita wamelazimika kuzika mara mbili mwili wa mtoto aliefariki baada ya kutoka kuzika na kuukuta mwili nyumbani. Tukio hilo limetokea wiki iliyopita, na…

14 April 2021, 7:16 pm

Matundu 12 ya Vyoo kuondoa changamoto

Na Paul Lyankando: Wananchi katika kijiji cha ikunguigazi wilayani mbogwe mkoani geita wamekamilisha ujenzi wa matundu 12 ya vyoo vya kisasa katika shule ya msingi ikunguigazi ili kunusuru zaidi ya wanafunzi 899 kujisaidia hovyo. Akizungumza mara baada ya kukamilika kwa…

14 April 2021, 6:52 pm

Marufuku kubeba watoto kwenye Matanki ya mafuta Geita

Na kalechongela: Wananchi  Geita wameiomba serikali ya mkoa wa  kupitia  kitengo cha usalama barabarani  kudhibiti suala na ubebaji wa watoto kwenye matanki ya mafuta kwenye pikipiki. Hayo yameelezwa na baadhi ya wakazi wa Geita  wakati wakizungumza na Storm FM  nakusema…

14 April 2021, 6:36 pm

Mama arudishwa kwao kisa kajifungua mtoto mwenye matatizo

Na  Joel Maduka: Mwanaume anaejulikana kwa jina la LEORNARD MFI mwenye (24) mkazi wa Kata ya Kaseme Wilayani Geita anadaiwa kumrudisha mke wake nyumbani kwao kwa sababu ya kujifungua mtoto mwenye ugonjwa wa kichwa kujaa maji. Mtoto huyo mwenye umri…

14 April 2021, 5:15 pm

Waumini wa dini ya kiislamu Geita washauriwa kuzidisha upenndo

Na Joel Maduka: Waislamu kote duniani leo  hii  wameanza kufunga kwa ajili ya mwezi mtukufu wa Ramadhan ambapo hujizuiya kula na kunywa kuanzia alfajiri hadi jua linapozama takriban siku 30 au 29 kutegemea na muandamo wa mwezi. Shehe Mkuu wa…

14 April 2021, 4:02 pm

Wafugaji wakaidi kuchukuliwa hatua kali Geita

Na Kale Chongela Serikali ya mtaa wa Tambukareli kata ya kalangalala Halmashauri ya mji wa Geita  imeanza utekelezaji wa kuwachukulia hatua kali wafugaji ambao hawazingatia  taratibu na kanuni za ufugaji maeneo ya mjini. Mwenyekiti wa serikali ya mtaa huo Bw Mabula…

9 April 2021, 12:16 pm

Mwanaume (32) wilayani Chato ajinyonga hadi kufa

Na Mrisho Sadick: Mtu mmoja mwenye umri wa miaka (32)  mkazi wa kijiji cha Izumangabo kata ya Bwanga wilayani chato mkoani Geita amejinyonga hadi kufa kwa kutumia kikoi cha mke wake huku chanzo cha tukio hilo kikiwa bado hakijafahamika. Tukio…

8 April 2021, 12:23 pm

Mnyama aina ya kima azua taharuki Geita

Na Mrisho Sadick Mnyama aina ya kima au mbega amezua taharuki katika Mtaa wa uwanja  mjini Geita baada ya kuingia katika makazi ya watu huku akiwa hajulikani ametoka wapi. Kima akiwa amejificha chooni Wakizungumza na Storm FM baadhi ya wakazi…

5 April 2021, 6:35 pm

Ulinzi na usalama Geita umeimarika

Na Zubeda Handrish: Wakazi wa Mtaa wa Msufini mjini Geita wamezungumzia hali ya ulinzi na usalama wa raia na mali zao tangu aliyekuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dkt. John Pombe Magufuli kuingia madarakani. Wameyasema hayo walipozungumza…

5 April 2021, 6:24 pm

Wananchi Geita wajivunia barabara za mitaa

 Wananchi mjini Geita wameelezea namna walivyoguswa na kifo cha aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli na watakavyoendelea kumuenzi kwa yale aliyowaachia ikiwamo barabara za mitaa zilizojengwa katika kipindi chake. Baadhi ya wakazi wa mtaa…

Kwanini utangaze nasi?

Storm FM Radio ni Kituo cha Matangazo kilichopo Mkoani Geita ambacho kinasikika maeneo yote ya Mkoa wa Geita pamoja na Mikoa jirani kwa masafa ya 88.9.

Tunasikilizwa na makundi ya rika zote kwakuwa tumejipambanua kwa kuifikia jamii moja kwa moja kupitia Radio, Matamasha na mitandao ya kijamii ikiwemo Instagram,Twitter,Facebook na radiotadio.co.tz/stormfm.