Storm FM

Recent posts

21 May 2021, 5:52 pm

Wachimbaji Watakiwa Kuondoa Migogoro Kazini

Na Joel Maduka: Wachimbaji wadogo   ambao wamekuwa wakifanya shughuli zao kwenye  Mikoa  ya Kanda ya ziwa  wametakiwa  kuondoa tofauti  ambazo zimekuwa zikisababisha migogoro ya mara kwa mara  hali inayochangia  kushindwa kuungana ili  kuweza kukuza uzalishaji wao na kuufanya kuwa…

20 May 2021, 8:05 pm

Wazazi na Walezi Wagomea Chanjo Nyankumbu, Geita

Na Mrisho Sadick: Wazazi na walezi katika mtaa wa uwanja kata ya Nyankumbu mjini Geita  wameshauriwa  kuwaruhusu watoto wao kupatiwa dawa  za kinga tiba ya kichocho  na minyoo ili kuwakinga na changamoto hiyo. Rai hiyo imetolewa na Mganga mfawidhi wa…

20 May 2021, 7:51 pm

Vituo Vya Kutolea Huduma Za Afya Vyatakiwa Kuhakiki Vipimo

Na Mrisho Sadick: Hospitali za wilaya na vituo vya kutolea huduma za Afya Mkoani Geita zimetakiwa kufanya uhakiki wa vipimo ili kuondoa utata katika utoaji wa huduma kwa Wananchi.Rai hiyo imetolewa na Meneja wa wakala wa Vipimo Mkoani Geita Bw…

20 May 2021, 2:25 pm

Watu Wawili Wakamatwa Wakichinja Mbwa Geita

Na Zubeda Handrish: Katika hali isiyokuwa ya kawaida watu wawili ambao hawajafahamika kwa majina yao wamekamatwa na jeshi la polisi baada ya kukutwa wakichinja mbwa katika mtaa wa Msalala road Halmashauri ya mji wa Geita. Wakizungumza na Storm FM wananchi…

19 May 2021, 7:20 pm

Afisa Mtendaji Ibolelo Atoweka Na Zaidi Ya Laki 800,000 Za Wananchi

Na Kale Chongela: Wakazi wa Mtaa wa Ibolelo kata ya Nyankumbu  Halmashauri ya mji wa Geita  wamewaomba viongozi wa eneo hilo kumfuatilia na kurejesha kiasi cha Fedha   shilingi Laki nane Tisini na Tatu Elfu iliyotumiwa na  aliyekuwa afisa mtendaji wa…

13 May 2021, 9:47 am

Kikundi cha WhasApp cha Geita Huru chatoa msaada

Na Mrisho Sadick: Kikundi cha WhatsApp cha Geita Huru kimeungana kwa pamoja kuwatembelea watoto wenye uhitaji wakiwemo yatima katika kituo cha Bright Light kilichopo Geita mjini ambapo wametoa msaada wa chakula na vifaa vya usafi kwa ajili ya watoto hao.…

13 May 2021, 9:42 am

Mgogoro wa wachimbaji wa dhahabu wamalizika

Wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu katika wilaya ya Mbogwe Mkoani Geita wameipongeza serikali kupitia wizara ya madini kwa kumaliza mgogoro wa wachimbaji katika mgodi wa Nyakafuru. Wakizungumza na Storm FM siku chache baada ya waziri wa madini Mhe, Dotto…

12 May 2021, 9:28 am

Wajilinda kuzuia ndoa za utotoni

Na Mrisho Sadick: Wakazi wa kijiji cha Igate kata ya Nzera halmashauri ya wilaya ya Geita mkoani Geita wameweka mikakati ya  kutokomeza vitendo vya baadhi ya wazazi wenye tabia ya kuozesha watoto wadogo badala ya kuwapeleka shule. Wakizungumza na Storm…

11 May 2021, 6:01 pm

Watoto 2,578 Wapatiwa Chanjo Mkoani Geita

Na Mrisho Sadick: Watoto 2578 waliochini ya umri wa miaka mitano wamepatiwa chanjo katika mkoa wa Geita kwenye wiki ya Maadhimisho ya chanjo  ya Umoja wa Mataifa(UN) idadi ambayo ni mkubwa ukilinganisha na lengo la serikali ya mkoa huo ya…

4 May 2021, 6:55 pm

Tumekuja kuinua soka la wanawake

Na Mrisho Sadick: Mwenyekiti wa Chama cha Soka la wanawake Mkoani Geita Mwalimu Veronica William ameahidi kuinua soka la wanawake Geita kwa kuanza na shule za Msingi. Amesema hayo siku chache baada ya kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa chama hicho nakuahidi…

Kwanini utangaze nasi?

Storm FM Radio ni Kituo cha Matangazo kilichopo Mkoani Geita ambacho kinasikika maeneo yote ya Mkoa wa Geita pamoja na Mikoa jirani kwa masafa ya 88.9.

Tunasikilizwa na makundi ya rika zote kwakuwa tumejipambanua kwa kuifikia jamii moja kwa moja kupitia Radio, Matamasha na mitandao ya kijamii ikiwemo Instagram,Twitter,Facebook na radiotadio.co.tz/stormfm.