Storm FM

Recent posts

4 June 2021, 9:50 pm

Buzi wakamatwa Geita

Baadhi ya wafugaji wa Mifugo aina ya mbuzi  katika Mtaa wa Mpomvu  kata ya Mtakuja Halmashauri ya mji wa Geita  wamefika  nakutoa malalamiko katika ofisi  ya mtaa huo kutokana na mbuzi wao kukamatwa bila kufuata utaratibu unaotakiwa. Aidha wananchi wa…

4 June 2021, 9:41 pm

Tutumie nishati mbadala kuokoa Mazingira

Jamii katika halmashauri ya mji wa Geita mkoani Geita imetakiwa kutumia nishati mbadala kwa matumizi ya majumbani na sehemu za kazi ili kuondokana na changamoto ya ukataji wa miti na utupaji wa taka hovyo. Rai hiyo imetolewa na afisa mazingira…

31 May 2021, 8:16 pm

DC Geita Awasisitiza Wakulima Kuchangamkia Fursa Za Mikopo.

Na Joel Maduka: Mkuu wa wilaya ya Geita Fadhili Juma amewataka wakulima kuchangamkia fursa ya Mkopo wa vifaa vya Kilimo inayotolewa na Benki ya NMB ambayo itawasaidia kujikwamua kwenye shughuli zao za kilimo ambazo wamekuwa wakizifanya. Mkuu wa Wilaya ya…

31 May 2021, 8:08 pm

Ushindani UMITASHUMTA Waongezeka Geita.

Na Joel Maduka: Afisa michezo Mkoa wa Geita, Carol Steven amesema kwa kiasi kikubwa ushindani kwa halmashauri sita zilizopo ndani ya Mkoa wa Geita ni mkubwa zaidi ukilinganisha na miaka ambayo wameshaendelea na michuano ya michezo ya UMITASHUMTA ambao umekuwa…

31 May 2021, 7:51 pm

Wakimbiza Baiskeli (Daladala) Washauriwa Kutumia Lugha Za Staha.

Na Zubeda Handrish: Waendesha Baiskeli maarufu kwa jina la (Daladala) Mkoani Geita wamewashauriwa kutumia lugha za staha na kuzingatia suala la usafi na utunzaji wa mazingira wawapo katika vituo au vijiwe vyao vya kazi Ushauri huo umetolewa na Mwenyekiti wa…

30 May 2021, 2:00 pm

Watoto 4 wakamatwa kwa kukesha wakicheza PS

Watoto Wanne(4) Akiwemo  Ramadhani Hasani   Wakazi Wa  Kata Ya Nyankumbu Halmashauri Ya Mji Wa Geita Mkoani Geita Wamekutwa Wamefugiwa Ndani Ya Chumba Cha Mchezo  wa Game za Play Statio PS. Akielezea Mmoja Wa Wazazi Wa Watoto Hao Bi Amina Jumanne  Amesema…

28 May 2021, 2:10 pm

Wanaume watakiwa kujitokeza kufanyiwa tohara Geita

Wanaume ambao hawajafanyiwa tohara Mkoani Geita wameshauriwa kujitokeza katika vituo vya afya kupatiwa huduma hiyo kwani inasaidia kujikinga na magonjwa mbalimbali ikiwemo kupunguza 60% ya maambukizi ya virusi vya Ukimwi. Rai  hiyo imetolewa na Mratibu wa kuthibiti  Ukimwi Mkoani Geita …

27 May 2021, 2:22 pm

Wanawake tujishughulishe na kazi kuepuka utegemezi

Wanawake katika kata ya Mgusu wilayani Geita wameshauriwa kujishughulisha na biashara ndogo ndogo za halali ili kuepuka utegemezi katika jamii. Rai hiyo imetolewa na wanawake wanaofanya kazi katika mgodi wa uchimbaji wa madini ya dhahabu wa mgusu miners wakati wakizungumza…

26 May 2021, 2:17 pm

Mkoa wa Chato wapendekezwa kuundwa na wilaya 5

Kikao cha kamati ya ushauri cha mkoa wa Geita (RCC) kimekubaliana kwa pamoja kuwa mkoa mpya  wa Chato  utakaomegwa kutoka katika mkoa wa Geita na mikoa jirani za kagera na kigoma utaundwa na wilaya tano za Chato,Bukombe,Ngara,Bihalamulo na kakonko. Kikao…

Kwanini utangaze nasi?

Storm FM Radio ni Kituo cha Matangazo kilichopo Mkoani Geita ambacho kinasikika maeneo yote ya Mkoa wa Geita pamoja na Mikoa jirani kwa masafa ya 88.9.

Tunasikilizwa na makundi ya rika zote kwakuwa tumejipambanua kwa kuifikia jamii moja kwa moja kupitia Radio, Matamasha na mitandao ya kijamii ikiwemo Instagram,Twitter,Facebook na radiotadio.co.tz/stormfm.