Storm FM

Recent posts

17 September 2021, 2:20 pm

Maonesho ya nne yanoga.

Na Ester Mabula: Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imewataka wachimbaji kutumia Maonesho ya Nne ya Teknolojia na Uwekezaji kwenye Sekta ya Madini kujifunza teknolojia mbalimbali zilizopo kwenye maonesho  yaliyoanza leo Mkoani Geita. Wito huo umetolewa leo…

16 September 2021, 5:23 pm

Maonesho kuanza rasmi leo.

Na Kale Chongela: Hatimaye siku ambayo ilikuwa ikisubiriwa imetimia ambapo leo Septemba 16, 2021 yanaanza maonesho ya nne ya teknolojia na uwekezaji katika sekta ya madini mkoani Geita. Kauli mbiu katika maonesho hayo kwa mwaka huu ni “Sekta ya Madini Kwa…

15 September 2021, 5:58 pm

Maonesho ya nne Geita.

Na Kale Chongela: Serikali mkoani Geita imewaomba wananchi kujitokeza kwa wingi katika maonesho ya nne ya Teknolojia na Uwekezaji katika sekta ya Madini ambayo yanatarajia kuanza Septemba 16, 2021 katika viwanja vya EPZ mtaa wa Bombambili mjini Geita. Akizungumza na waandishi wa Ofisini kwake…

10 August 2021, 2:57 pm

Tamasha la utalii Chato fursa kwa wakazi wa Geita.

Na Mrisho Sadick: Wananchi Mkoani Geita wameshauriwa kutumia fursa  ya maonesho ya utalii yanayoendelea wilayani Chato kwa kufika nakuonesha  bidhaa zao za kiasili  ikiwa ni njia mojawapo ya kujitangaza nakufahamika zaidi. Maonesho hayo yalianza kwa Waendesha mitumbwi 87 kutoka kwenye…

9 August 2021, 3:47 am

Waendesha bodaboda watoa ya moyoni.

Na Zubeda Handrish: Waendesha pikipiki maarufu Bodaboda mjini Geita wamewalalamikia vitendo vya baadhi ya abiria wenye tabia ya kusema uongo pindi wanapohitaji huduma hiyo ya usafiri. Wameyasema hayo katika egesho lao la kazi la Shilabela Msikitini kuwa baadhi ya abiria husema uongo…

9 August 2021, 3:19 am

Wachimbaji wafungiwa shughuli zao.

Na Mrisho Sadick: Wachimbaji wadogo katika Kijiji cha Kanegere namba mbili Wilayani Mbongwe Mkoani Geita ,wameiomba serikali kupitia Wizara ya Madini kuwasaidia kutatua changamoto ambayo inawakabili ya kufungiwa shughuli zao na ofisi ya madini mbogwe kwa muda wa zaidi ya…

4 August 2021, 7:49 pm

RC Geita azindua Chanjo kwa kuchanjwa.

Na Mrisho Sadick: Mkuu wa Mkoa wa Geita Bi Rosemary Senyamule ametoa onyo kwa watumishi wa afya na vituo binafsi vyakutolea huduma za Afya watakaobainika wakiwauzia wananchi chanjo ya kujikinga na corona. Mkuu wa Mkoa huyo  Senyamule ametoa kauli hiyo…

4 August 2021, 4:54 am

Upatikanaji wa huduma za afya bado ni changamoto.

Na Mrisho Sadick: Halmashauri ya mji wa Geita bado inakabiliwa na changamoto ya upatikanaji wa huduma za afya kwa baadhi ya maeneo kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo upungufu wa watumishi pamoja na kushindwa kukamilika kwa majengo ya Zahanati. Hayo yamebainishwa…

3 August 2021, 2:26 pm

Shamba la migomba lafyekwa Geita.

Na Zubeda Handrish: Shamba la migomba lenye ukubwa wa ekari mbili limeharibiwa na watu wasiojulikana ikisemekana kuwa chanzo cha uharibifu huo ni mgogoro wa Ukoo dhidi ya Shamba hilo. Mmiliki wa Migomba hiyo Bw. Faida Lunsalia amesikitishwa na kitendo hicho…

Kwanini utangaze nasi?

Storm FM Radio ni Kituo cha Matangazo kilichopo Mkoani Geita ambacho kinasikika maeneo yote ya Mkoa wa Geita pamoja na Mikoa jirani kwa masafa ya 88.9.

Tunasikilizwa na makundi ya rika zote kwakuwa tumejipambanua kwa kuifikia jamii moja kwa moja kupitia Radio, Matamasha na mitandao ya kijamii ikiwemo Instagram,Twitter,Facebook na radiotadio.co.tz/stormfm.