Storm FM

Recent posts

18 June 2024, 7:41 pm

NELICO yatoa vitimwendo 50 kwa watoto wenye ulemavu Geita

Katika kupunguza changamoto kwa watoto wenye ulemavu mashirika mbalimbali mkoani Geita yameombwa kuendelea kujitokeza kulisaidia kundi hilo. Na Mrisho Sadick – Geita Shirika la NELICO Mkoani Geita limeadhimisha siku ya mtoto wa afrika kwa kutoa viti mwendo 50 na bima…

18 June 2024, 5:50 pm

Laiza akutwa na chupa zenye mikojo ndani kwake Kivukoni

Kijana Laiza mkazi wa mtaa wa Kivukoni, kata ya Kalangalala Halmashauri ya Mji wa Geita amekutwa na chupa nyingi zilizotumika zikiwa zimejaa mkojo chumbani kwake. Na: Edga Rwenduru – Geita Akizungumzia tukio hilo Juni 17, 2024 mama mwenye nyumba aishiyo…

18 June 2024, 8:27 am

Umeme vijijini ulivyobadilisha maisha Geita

Na Adelina Ukugani: Karibu katika makala ya Tafakari Pevu, kipindi kinachokukutanisha wewe msikilizaji na kiongozi wako kujadili masuala mbalimbali yanayotatiza utekelezaji wa dhana ya utawala bora Mkoani Geita. Tafakari Pevu inatoa nafasi kwako kuibua changamoto katika eneo lako zinazokwamisha mikakati ya wananchi na viongozi kujiletea…

14 June 2024, 5:09 pm

Aomba kujengewa shimo la choo baada ya uharibifu mjini Geita

Serikali mjini Geita imeendelea na ukarabati wa barabara ambazo zimekuwa na changamoto hususani ambazo pia ziliharibiwa katika kipindi cha mvua. Na: Kale Chongela – Geita Bi. Tumaini Ndayumbayumba mkazi wa mtaa wa Mwatulole kata ya Buhalahala mjini Geita ameuomba uongozi…

14 June 2024, 10:30 am

Bodaboda atapeliwa pikipiki Msalala road mjini Geita

Suala la umakini hutajwa kuwa jambo muhimu zaidi katika eneo la kazi/biashara nk ambapo baadhi ya watu wameendelea kutapeli mali za watu kwa kutumia njia mbalimbali ikiwemo udanganyifu na kuwaacha watapeliwa njia panda. Na: Amon Mwakalobo – Geita Mwendesha pikipiki…

13 June 2024, 11:14 am

DC Geita atoa neno kwa wasimamizi wa miradi ya wilaya

Mkuu wa wilaya ya Geita Hashim Komba ameendelea kufanya ziara kwa kutembelea maeneo mbalimbali ya wilaya ya Geita na kukagua miradi ya maendeleo ambayo inaendelea kutekelezwa katika wilaya hiyo. Na: Kale Chongela – Geita Serikali wilaya ya Geita imewataka wasimamizi…

13 June 2024, 10:25 am

Wananchi mjini Geita wakerwa na tabia za bodaboda

Usafiri wa pikipiki maarufu bodaboda umeendelea kurahisisha maisha ya wananchi wengi kutokana na uharaka wa kufika kutoka eneo moja hadi linguine huku ukitoa ajira kwa baadhi ya vijana. Na: Amon Mwakalobo – Geita Baadhi ya wananchi katika halmashauri ya mji…

12 June 2024, 11:56 am

Jodade yawajengea uwezo watoto na vijana Geita

Kutokana na kundi la watoto na vijana kuwa katika hatari zaidi ya kuharibikiwa serikali , taasisi za kiraia , wadau na wazazi wameingilia kati kunusuru kundi hilo. Na Mrisho Sadick: Jodade Foundation imewakutanisha watoto na vijana kuanzia miaka 12 hadi…

12 June 2024, 11:41 am

GGML yaahidi kuendelea kushirikiana na UDSM kudhamini tafiti, ubunifu

Ili kuendelea kujenga na kukuza ustawi wa taifa wawekezaji sekta binafsi wanapaswa kushirikiana na serikali kikamilifu kama inavyofanya kampuni ya GGML katika kusapoti tafiti na ubunifu Na Gabriel Mushi: KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imeahidi kuendelea kushirikiana na…

12 June 2024, 11:02 am

Wakazi wa Nyantorotoro B mjini Geita bado hawana umeme

Baadhi ya maeneo ya mtaa wa Nyantorotoro B kata ya Nyankumbu katika halmashauri ya mji wa Geita bado yana ukosefu wa umeme ambapo serikali imeanza jitihada za kupeleka nguzo katika maeneo hayo ili kuondoa changamoto ya umeme. Na: Kale Chongela…

STORM FM OVERVIEW

Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.

Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.

Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.

OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.

ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.