Storm FM
Storm FM
14 August 2024, 11:28 am
Soko la CCM ni soko mama lililopo katika mamlaka ya mji mdogo wa Katoro ambalo limekuwa likitumiwa na watu kutoka katika vijiji vya Magenge, Nyamalulu, Kaseme, Kasesa, Mabamba nk Na: Nicolaus Lyankando – Geita Kijana mmoja ambaye hakufahamika jina lake…
13 August 2024, 4:35 pm
Wafanyabiashara wa madini mkoani Geita wameiomba serikali kupunguza utitiri wa kodi katika biashara ya madini kwani imekuwa chanzo cha baadhi ya wafanyabiashara kutorosha madini kwa lengo la kukwepa kodi. Na: Edga Rwenduru – Geita Baadhi ya wafanyabiashara wa madini mkoani Geita…
13 August 2024, 9:59 am
Serikali yahimiza taasisi za kifedha nchini kutokuwabagua wakulima kwani kwa kuwawezesha itasaidia kukuza sekta ya kilimo nchini kwa ujumla. Na: Kale Chongela – Geita Taasisi za kifedha zimetakiwa kuwapa kipaumbele wakulima katika suala la mikopo ili kukuza uchumi wa kila…
12 August 2024, 4:42 pm
Jumla ya watumishi 78 kutoka halmashauri ya mji wa Geita wamepewa mafunzo ya namna ya kukabiliana na majanga ya moto. Na: Ester Mabula – Geita Kampuni ya uchimbaji madini ya dhahabu ya GGML iliyopo mkoani Geita, kwa kushirikiana na Jeshi…
9 August 2024, 9:48 am
Miundombinu mibovu kwenye stendi ya magari ya abiria mkoani Geita imetajwa kuwa kikwazo kwenye utoaji wa huduma. Na: Kale Chongela – Geita Watumiaji wa kituo kikubwa cha magari ya abiria mkoani Geita wamedai kukabiliwa na uwepo wa vumbi linalosababishwa na ubovu…
8 August 2024, 1:36 pm
Wakazi wa kata ya Nyarugusu halmashauri ya wilaya ya Geita wameiomba serikali kutatua changamoto ya muda mrefu ya ukosefu wa maji safi na salama katika kijiji hicho kwani maji wanayotumia kwa sasa yanahatarisha afya zao. Na: Edga Rwenduru – Geita…
8 August 2024, 12:24 pm
Zoezi la kujiandikisha na kuboresha taarifa katika daftari la kudumu la mpiga kura linaendelea katika mkoa wa Geita tangu kuanza Agosti 05, 2024 Ikiwa leo ni siku ya tatu ya tangu kuanza kwa zoezi la kujiandikisha na kuboresha taarifa za…
8 August 2024, 11:58 am
Mamlaka ya udhibiti wa huduma za nishati na maji nchini (EWURA) Agosti 0, 2024 imetoa bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli, dizeli na mafuta ya taa hapa nchini zitakazotumika kwa mwezi Agosti. Na: Ester Mabula – Geita Bei ya…
7 August 2024, 1:45 pm
Kufuatia mvua za masika zilizonyesha kwa mwaka 2024 kuacha uharibifu kwa baadhi ya miundombinu ya barabara, serikali mkoa wa Geita yaanza mikakati ya matengenezo. Na: Edga Rwenduru – Geita Serikali kupitia wakala wa barabara mijini na vijijini TARURA mkoa wa…
6 August 2024, 3:33 pm
Kituo cha redio cha Storm FM kilichopo mkoani Geita kinaendesha kampeni ya kupinga vitendo vya ukatili iitwayo INATOSHA PINGA UKATILI yenye lengo la kupaza sauti kwa jamii kuachana na vitendo vya ukatili. Na: Evance Mlyakado – Geita Katika hali isiyokuwa…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.