Storm FM

Recent posts

31 July 2025, 8:28 pm

NMB kuendelea kuwainua wafanyabiashara Geita

Wafanyabiashara hao wameipongeza benki ya NMB kwa  kuwapatia mafunzo juu ya elimu ya fedha na mikopo Na Mrisho Sadick: Halmashauri ya Manispaa ya Geita Mkoani Geita imewataka wafanyabiashara kuhakikisha wanamiliki leseni halali za biashara huku ikisisitiza kuwa hatua hiyo itawasaidia…

31 July 2025, 6:52 pm

GGML yatoa taulo za kike zaidi ya elfu 80 Geita

“Imekuwa ni desturi yetu GGML kila mwaka kuikumbuka jamii hususani kupitia masomo kwa mtoto wa kike kwa kushirikiana na serikali ya mkoa wa Geita” – Doreen kutoka GGML Na: Ester Mabula Kampuni ya uchimbaji madini ya dhahabu ya Geita Gold…

25 July 2025, 3:27 pm

NACOPHA yaipongeza serikali mapambano ya VVU

Hadi sasa serikali imefanikiwa kufikia asilimia 90 ya watu wanaotambua hali yao ya maambukizi, asilimia 98 wapo kwenye tiba, na asilimia 98 wamefubaza virusi. Na: Ester Mabula Baraza la Taifa la Watu Wanaoishi na Virusi vya UKIMWI Tanzania (NACOPHA) limetoa…

24 July 2025, 2:12 pm

Moto wateketeza karakana ya useremala Geita

Majanga ya moto yameendelea kuwa mwimba mchungu kwa wajasiriamali Geita huku sababu za majanga hayo nyingi zikiwa hazijulikani. Na Mrisho Sadick: Moto ambao chanzo chake hakijajulikana umeteketeza karakana moja ya useremala katika Mtaa wa Nyerere Road Manispaa ya Geita Mkoani…

24 July 2025, 11:34 am

GGML yafadhili mashindano ya michezo shule za sekondari

‘Geita Youth Sports Tournament’ imehitimishwa kwa kuzisogeza karibu shule za sekondari 40 kutoka halmashauri ya Manispaa ya Geita kupitia michezo mbalimbali. Na: Ester Mabula Kampuni ya uchimbaji madini ya Geita Gold Minning Limited (GGML) kwa kushirikiana na halmashauri ya manispaa…

22 July 2025, 10:02 pm

Kwanini Warundi wengi wanakimbilia Geita?

Kwa mujibu wa baadhi ya raia wa Burundi wameiambia Storm FM kuwa wanakimbilia mkoa wa Geita kwa kuwa una fursa lukuki za kiuchumi. Na Mrisho Sadick: Wananchi mkoani Geita kwa kushirikiana na Idara ya Uhamiaji wamefanikiwa kuwakamata raia wa kigeni…

21 July 2025, 7:39 pm

Ajali yaua watumishi wawili wa TRA Geita

Madereva watakiwa kufuata sheria za usalama barabarani ikiwa ni pamoja na kupumzika ili kuepusha ajali. Na Mrisho Sadick: Wafanyakazi wawili wa mamlaka ya mapato Tanzania TRA mkoa wa Mwanza wamefariki Dunia katika ajali mkoani Geita wakati wakitokea Mutukula Mkoani Kagera…

18 July 2025, 7:36 pm

Watakaotoa siri kukiona cha moto Geita na Kagera

Maandalizi ya uchaguzi mkuu yameendelea kwa wasimamizi wa uchaguzi ngazi ya mikoa kuendelea kupatiwa mafunzo. Na Mrisho Sadick: Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi imewataka waratibu, wasimamizi na maafisa wa uchaguzi nchini kuhakikisha wanazingatia kiapo walichoapa kwa kujiepusha na vitendo…

18 July 2025, 7:20 pm

Wanawake zaidi ya 200 wakimbilia VETA Chato

Wanawake mkoani Geita wameendelea kuchangamkia fursa ya elimu ya ufundi katika vyuo mbalimbali vilivyopo mkoani humo ili kujikwamua kiuchumi. Na Kale Chongela: Zaidi ya wanawake 200 wakazi wa wilaya ya Chato mkoani Geita wanaonufaika na mafunzo ya ufundi stadi  katika…

18 July 2025, 5:06 pm

GGM Kili Challenge 2025 yazinduliwa

Tangu kuanzishwa kwa Kili Challenge mwaka 2002 imelenga kukusanya Dola za Kimarekani Milioni Moja kila mwaka. Na Mwandishi Wetu: Mwakilishi wa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Nurdin Babu Mhandisi Jackson Masaka leo Julai 18,2025 ameongoza zoezi la uzinduzi wa GGM…

STORM FM OVERVIEW

Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.

Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.

Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.

OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.

ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.