Recent posts
24 September 2023, 2:08 pm
Serikali kukamilisha tafiti za madini nchini
Mpaka sasa utafiti wa kina wa jiofizikia kwa kutumia ndege umefanyika kwa asilimia 16. Na Zubeda Handrish- Geita Serikali kupitia Wizara ya Madini ipo katika mpango wa kukamilisha utafiti wa kina wa jiofizikia kwa kutumia ndege kupitia Taasisi ya Jiolojia…
23 September 2023, 1:44 pm
EWURA kutokomeza mafuta ya kupimwa kwa chupa vijijini
Changamoto ya wauza mafuta ya petroli na dizeli vijijini kuuza kwenye chuma imekuwa kubwa kiasi cha EWURA kulitafutia ufumbuzi. Na Zubeda Handrish- Geita Katika kuhakikisha wafanyabishara na wasafirishaji vijijini wanaondokana na mafuta ya kupima kwenye chupa (makopo), mamlaka ya usimamizi…
22 September 2023, 1:09 pm
BRELA yaendelea kutoa elimu ya urasimishaji kwenye maonesho Geita
BRELA wanaendelea kuwa msaada mkubwa katika kutoa elimu ya urasimishaji wa biashara kwani imekuwa changamoto kubwa kwa wafanyabiashara. Na Zubeda Handrish- Geita Elimu na uelewa mdogo kuhusu urasimishaji wa biashara imekuwa changamoto kubwa kwa wafanyabiashara hali iliyowasukuma wakala wa leseni…
21 September 2023, 5:33 pm
Washiriki 400 waanza maonesho katika viwanja vya EPZA Geita
Washiriki kutoka mataifa mbalimbali kama vile China, Rwanda, Burundi na mengineyo yameshiriki maonesho hayo ya 6 yaliyoanza rasmi mwaka 2018. Na Zubeda Handrish- Geita Mkuu wa Mkoa wa Geita Martin Shigela amesema kuwa maonesho ya dhahabu ambayo yameanza jana Septemba…
20 September 2023, 2:58 pm
Nyumba kuezuliwa serikali mkoani Geita yaingilia kati
Serikali Mkoani Geita imetoa tahadhari kwa watu wenye makazi duni kuhakikisha wanaboresha makazi yao ili kuepuka madhara kutokana na mvua zilizoanza kunyesha nakuleta madhara kwa baadhi ya wananchi. Na Mrisho Sadick: Siku chache baada ya Nyumba kadhaa kuezuliwa na mvua…
19 September 2023, 10:44 pm
Mgogoro wakulima na wafugaji waitesa Chikobe
Changamoto ya wakulima na wafugaji bado imeendelea kusumbua katika baadhi ya maeneo mkoani Geita. Na Said Sindo- Geita Wakulima wa kijiji cha Chikobe kata ya Nyachiluluma, wilayani na mkoani Geita wamesema wapo hatarini kukumbwa na njaa baada ya mashamba yao…
18 September 2023, 10:31 pm
Shule yenye walimu wawili wa bailojia yaongoza kiwilaya Geita
Shule ya sekondari Lutozo iliyopo katika Mamlaka ya mji mdogo Katoro, ina walimu wawili wa bailojia ambao hulazimika kufundisha wanafunzi 2,049 yenye jumla ya mikondo 26 kuanzia kidato cha kwanza mpaka kidato cha nne. Na Said Sindo- Geita Shule hiyo…
17 September 2023, 2:20 pm
Walioanza mipango ya kuwaozesha watoto wa kike Nyang’hwale waonywa
Wilaya ya Nyang’hwale imeanza kudhibiti changamoto ya watoto wa kike kuozeshwa baada ya kumaliza mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi mwaka huu. Na Mrisho Sadick: Mkuu wa wilaya ya Nyang’hwale mkoani Geita Grace Kingalame ametoa onyo kwa wazazi na walezi…
17 September 2023, 1:47 pm
Mchezo wa Geita Gold FC na Kagera Sugar kurudiwa leo, wanaanzia walipoishia
Changamoto ya taa katika viwanja vinavyotumika na vilabu vya Ligi kuu ya NBC ni ya pili kutokea, baada ya ile iliyotokea katika Dimba la Benjamin Mkapa linalotumiwa na vigogo wa soko la Tanzania Simba SC na Yanga SC. Na Zubeda…
16 September 2023, 11:20 pm
Storm FM yazindua kipindi kipya cha Afya Chikobe
Katika kuelekea miaka 9 ya uwepo wa Kituo cha redio cha Storm FM mkoani Geita, tunayo furaha kukufahamisha juu ya uwepo wa kipindi kipya cha “Sauti Ya Tiba” ambacho kitajikita katika kutoa elimu na taarifa sahihi juu ya magonjwa mbalimbali. Na…