Joy FM

Recent posts

6 October 2023, 08:01

Wananchi waipa kongole serikali kwa ujenzi wa madaraja ya mawe

Teknolojia ya ujenzi wa madaraja kwa kutumia mawe imetajwa kuwa mkombozi kwa wananchi wa wilaya za Kigoma baada ya kurahisisha shughuli za usafirishaji. Na. Tryphone Odace Wananchi wa vijiji vya Nyamidaho, Bitale Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma na Nyamihanga wilaya…

4 October 2023, 11:01

Wadau wa elimu Kigoma watakiwa kusaidia kuboresha miundombinu

Serikali imeomba wadau wa elimu kuendelea kusaidia katika kuboresha miundombinu ya elimu Mkoani Kigoma. Na Hagai Ruyagila Wadau wa elimu mkoani Kigoma wametakiwa kuunga mkono juhudi za serikali katika kuboresha sekta ya elimu kwa kuchangia upatikanaji wa miundombinu bora kwa…

2 October 2023, 15:27

Mwili wa mtoto waopolewa ndani ya bwawa la Katosho

Wazazi na walezi mkoani Kigoma wametakiwa kuwa karibu na watoto wao ili kuhakikisha hawachezei sehemu hatarishi ikiwemo madimbwi na mabwawa. Na Josephine Kiravu Mwili wa mtoto wa kiume anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 11 hadi 13 ambaye hajatambulika jina…

29 September 2023, 14:17

Madaktari 24 kuweka kambi mkoani Kigoma

Wananchi zaidi ya 3000 mkoani Kigoma wanatarajiwa kupatiwa matibabu kutoka kwa madaktari bingwa wanaotarajia kuweka kambi hospitalini hapo. Na Josephine Kiravu Zaidi ya Madaktari bingwa 12 wanatarajia kuweka kambi Mkoani kigoma kwa muda wa siku tano kwa lengo la kutoa…

28 September 2023, 09:32

Mkandarasi aagizwa kuongeza kasi ujenzi barabara ya Uvinza

Serikali imesema mkandarasi anayejenga barabara ya Ilunde – Malagarasi Uvinza kuwa amekiuka makubaliano ya mkataba wa kukamilisha na kukabidhi barabara ya ya Ilunde Uvinza Mwezi oktoba mwaka huu wa 2023. Na, Kadislaus Ezekiel. Naibu Waziri wa Ujenzi Mhandisi Godfrey Kasekenya…

27 September 2023, 12:20

Halmashauri ya Kasulu mji yafikia lengo la utoaji wa chanjo ya polio

Halmashauri ya mji Kasulu mkoani kigoma imefanikiwa kuvuka lengo kwa asilimia 128 katika utoaji wa chanjo ya polio ya matone kwa watoto wenye umri chini ya miaka 8 iliyoendeshwa kwa muda wa siku nne. Hayo yamebainishwa na Mratibu wa Chanjo halmashauri hiyo Itumbi…

26 September 2023, 12:21

Shule ya msingi Busunzu B yakabiliwa na uhaba wa madawati 400

Benki ya NMB kanda ya magharibi imetoa msaada wa madawati 50 katika shule ya msingi Busunzu Biliyopo Wilayani kibondo Mkoani Kigoma ikiwa ni jitihada za kukabiliana na uhaba wa madawati katika shule hiyo. Na James Jovin Shule ya msingi Busunzu…

26 September 2023, 11:41

Waziri Ndalichako agawa mitungi 400 ya gesi Kasulu

Uamzi wa serikali kugawa mitungi ya gesi kwa wananchi ni miongoni mwa mikakati ya kukabiliana na uharibifu wa mazingira kwa kukata kuni za kupikia. Na, Hagai Ruyagila Jumla ya mitungi ya gesi 400 yenye thamani ya shilingi milioni 30 imetolewa…

14 September 2023, 18:27

Mkuu wa wilaya Buhigwe awataka wanaume kuacha kunyonya maziwa ya mama

Baadhi ya Wanaume Katika Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe Mkoani Kigoma, wametuhumiwa Kunyonya Maziwa ya Wenza wao wa Ndoa baada ya kujifungua, hali ambayo imechangia watoto kukosa maziwa ya kutosha. Na, Tryphone Odace Mkuu Wa Wilaya ya Buhigwe Kanali Michael…

Sample Page

This is an example page. It’s different from a blog post because it will stay in one place and will show up in your site navigation (in most themes). Most people start with an About page that introduces them to potential site visitors. It might say something like this:

Hi there! I’m a bike messenger by day, aspiring actor by night, and this is my website. I live in Los Angeles, have a great dog named Jack, and I like piña coladas. (And gettin’ caught in the rain.)

…or something like this:

The XYZ Doohickey Company was founded in 1971, and has been providing quality doohickeys to the public ever since. Located in Gotham City, XYZ employs over 2,000 people and does all kinds of awesome things for the Gotham community.

As a new WordPress user, you should go to your dashboard to delete this page and create new pages for your content. Have fun!