Joy FM

Recent posts

16 October 2023, 18:03

Serikali, FAO wazindua kampeni ya upandaji miti Kigoma

Ili kukabiliana na uharibifu wa mazingira nchini, serikali kwa kushirikiana na Shirika la Chakula Duniani FAO wamezindua zoezi la upandaji miti ili kukabiliana na uharibifu wa mazingira na vyanzo vya maji. Na, Tryphone Odace Shirika la Chakula na Kilimo la…

16 October 2023, 17:04

Wananchi washauriwa kuongeza kasi ya ulaji vyakula vyenye protini

Serikali imeendelea kusisitiza suala la ulaji wa vyakula na unywaji wa maziwa ili kufikia matarajio ya umoja wa mataifa wa ulaji wa vyakula. Na, Josephine Kiravu Wananchi Mkoani kigoma wametakiwa kuongeza kasi ya ulaji wm vyakula vyenye protini na unywaji…

13 October 2023, 13:25

Wananchi Kakonko wakabiliwa na changamoto ya huduma za afya

Na Jame Jovin Wananchi wa kijiji cha Nyakivyiru wilayani Kakonko mkoani Kigoma wameiomba halimashauri ya wilaya hiyo kuwajengea zahanati ili kuepuka kutembea umbali wa zaidi ya kilometa 30 kufuata huduma za afya hali ambayo hupelekea vifo hasa kwa akina mama…

11 October 2023, 17:13

Kiwanda cha kutengeneza meli kujengwa Kigoma

Hatua ya kuanza ujenzi wa kiwanda cha kutengeneza meli kinatjwa kuwa ni miongoni mwa mikakati ya Serikali kuboresha huduma za usafirishaji ndani ya Ziwa Tanganyika. Na, Tryphone Odace Serikali Kupitia Wizara ya Uchukuzi, imetia Saini makubaliano ya kuanza ujenzi wa…

11 October 2023, 12:14

Wanafunzi walio nje ya mfumo rasmi wa elimu walia na uhaba wa mabweni

Wanafunzi wanaosomo masomu ya elimu ya watu wazima wakiwemo waliorudi shule baada ya kushindwa kuendelea na masomo kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo ujauzito wamesema licha ya Srikali kuwarudisha shuleni kusoma bado wanakabiliwa na mazingira magumu kutokana na wengi wao kuishi…

11 October 2023, 11:43

Ujenzi bandari ya Lagosa ziwa Tanganyika wafikia 96%

Hatua ya kuanza ujenzi wa Bandari ya Lagosa iliyopo Wilayani Uvinza Mkoani Kigoma inatajwa kuwa mkombozi kwa wananchi wanatumia ziwa hilo kusafirisha bidhaa zao ikiwmo Nchi jirani za Congo na Burundi. Na Tryphone Odace Waziri wa Uchukuzi Profesa Makame Mbarawa,…

11 October 2023, 11:30

Waziri Pro. Mbarawa ashusha kibano kwa TRC

Katika kuhakikisha usafiri kwa kutumia treni unaimarika Waziri wa Uchukuzi Makame Mbarawa ameagiza watumishi wa Reli kufanya kazi kwa weledi na kujituma ili kuhaikisha wanatoa huduma bora. Na, Tryphone Odace Waziri wa  Ujenzi Pro. Makame Mbarawa ameonyesha kutoridhishwa utendaji wa…

6 October 2023, 16:21

Afariki baada ya kufukiwa na kifusi cha mawe Kigoma

Jamii imeomba Serikali kuchukua hatua za kudhibiti shughuli za uchimbaji wa madini ya mawe katika eneo la masanga manispaa ya kigoma Ujiji kutokana na kuhatarisha maisha ya watu. Na Eliud Theogenes Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina moja la Shabani amefariki…

6 October 2023, 16:05

DC Uvinza apiga marufuku ramli chonganishi kwenye jamii

Serikali imesema itawachukulia hatua za kisheria wanaoendelea kupiga ramli chonganishi kwenye jamii wilayani Uvinza mkoani Kigoma. Na Kadislaus Ezekiel Mkuu wa Wilaya ya Uvinza Dinna Mathamani amethibitisha kufariki watu watatu wakazi wa kijiji na kata ya Kazuramimba wilayani Uvinza mkoani…

Sample Page

This is an example page. It’s different from a blog post because it will stay in one place and will show up in your site navigation (in most themes). Most people start with an About page that introduces them to potential site visitors. It might say something like this:

Hi there! I’m a bike messenger by day, aspiring actor by night, and this is my website. I live in Los Angeles, have a great dog named Jack, and I like piña coladas. (And gettin’ caught in the rain.)

…or something like this:

The XYZ Doohickey Company was founded in 1971, and has been providing quality doohickeys to the public ever since. Located in Gotham City, XYZ employs over 2,000 people and does all kinds of awesome things for the Gotham community.

As a new WordPress user, you should go to your dashboard to delete this page and create new pages for your content. Have fun!