Joy FM

Recent posts

30 August 2023, 12:52

Tanzania, Burundi kukabiliana na ajali Ziwa Tanganyika

Katika kukabiliana na ajali ndani ya Ziwa Tanganyika Serikali ya Tanzania na Burundi zimeonyesha nia ya kushirikiana kutoa elimu ya matumizi ya vifaa vya usafirishaji ndani ya ziwa. Na, Tryphone Odace Nchi za Tanzania na Burundi zimeanza kuchukua hatua za…

25 August 2023, 17:24

Jamii mkoani Kigoma yatakiwa kujikinga na magonjwa ya mlipuko

Magonjwa ya mlipuko mkoani Kigoma yanaweza kudhibitiwa iwapo hatua mbalimbali zitachukuliwa na jamii. Jamii mkoani Kigoma imetakiwa kushirikiana vyema na wadau wa sekta ya afya ili kuondoa tatizo la magonjwa ya mlipuko ambayo yamekuwa yakijitokeza mara kwa mara. Mganga Mkuu…

24 August 2023, 15:37

Vyombo visivyokidhi vigezo kuondolewa ziwa Tanganyika

Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) Mkoa wa Kigoma, Limezindua kampeni ya Operasheni Maboya katika ziwa Tanganyika, ili kubaini Boti zisizo na Vifaa vya Kusafiria Kwa Wavuvi na Abiria ili kuwachukulia hatua za kisheria. Na, Kadislaus Ezekiel Afisa mfawidhi…

18 August 2023, 10:21

RC Kigoma apiga marufuku ramli chonganishi

Na, Tryphone Odace Mkuu wa mkoa wa Kigoma Kamishna Jenerali Mstaafu wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Thobias Andengenye amewataka viongozi wa Serikali za mitaa kuchukua hatua za kisheria haraka kwa watu wanaojihusisha na upigaji wa ramli chonganishi kwani imekuwa…

18 August 2023, 10:00

Vijana Kigoma watakiwa kujiepusha na matumizi ya dawa za kulevya

Na, Tryphone Odace Shirika la Maendeleo ya Vijana Mkoani Kigoma,  KIVIDEA limewataka vijana kujiepusha na makundi yanayoweza kusababisha kutofikia ndoto zao kwani makundi hayo yanaweza kusababisha kutumbukia kwenye matumizi ya madawa ya kulevya. Hayo yameelezwa na Afisa Program wa KIVIDEA,…

4 August 2023, 17:04

Sekta binafsi zatakiwa kutenga fedha kwa ajili miradi ya maendeleo

Mashirika yasiyo ya kserikali yametakiwa kuhakikisha wanatumia fedha za wafadhili katika kutekeleza miradi ya maendeleokwenye maeneoyao. Na Lucas Hoha Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Kamishina Mstaafu wa Jeshi la zimamoto na uokoaji Thobias Andengenye amezitaka Sekta binafisi kutenga fedha kwa…

4 August 2023, 10:09

Jamii yatakiwa kuzingatia maadili

Maadili nchini yanaonekana kuendelea kuporomoka hali inayosababisha jamii kuendelea kupotoka na kusababisha jamii kuwa katika hali ngumu ya maisha hasa kufanyiwa ukatilii. Na, Josephine Kiravu Jamii Mkoani Kigoma imetakiwa Kujiepusha vitendo vilivyo kinyume na maadili ya Kitanzania kuanzia ngazi ya…

3 August 2023, 10:17

Wakimbizi Nyarugusu wagoma kurudi kwao, waitaka nchi ya tatu

Wakati serikali ya Tanzania na Burundi kwa kushirikiana na maashirika ya kuhudumia wakimbizi wakiendelea kuhamasisha wakimbizi kutoka Burundi ambao wanaishi katika kambi ya Nyarugusu kurudi kwao, wakimbizi hao wamesema wanaogopa kurudi kwao kutokana na ukosefu wa mashamba ya kuishi. Na,…

2 August 2023, 01:11

Wakimbizi waishio kambi ya Nyarugusu wagoma kurudi kwao Burundi

Serikali nchini Tanzania imesema itaendelea kuhamasisha wakimbizi waliopo katika kambi ya wakimbizi Nyarugusu kurudi nchini Burundi kutokana na amani iliyopo kwa sasa. Wakimbizi wanaoishi katika kambi ya Nyarugusu iliyopo mkoani Kigoma nchini Tanzania wameiomba serikali ya Burundi kutatua matatizo ya…

Sample Page

This is an example page. It’s different from a blog post because it will stay in one place and will show up in your site navigation (in most themes). Most people start with an About page that introduces them to potential site visitors. It might say something like this:

Hi there! I’m a bike messenger by day, aspiring actor by night, and this is my website. I live in Los Angeles, have a great dog named Jack, and I like piña coladas. (And gettin’ caught in the rain.)

…or something like this:

The XYZ Doohickey Company was founded in 1971, and has been providing quality doohickeys to the public ever since. Located in Gotham City, XYZ employs over 2,000 people and does all kinds of awesome things for the Gotham community.

As a new WordPress user, you should go to your dashboard to delete this page and create new pages for your content. Have fun!