Storm FM

Recent posts

12 September 2025, 5:28 am

Mwenyekiti Jumuiya ya wazazi CCM akemea makundi

“Kazi kubwa iliyopo kwa sasa ni kutafuta ushindi wa chama chetu na sio kuendelea kuvunja nguvu katika masuala yasiyo leta tija ndani ya chama” – Mwenyekiti Nyamaigoro Na: Ester Mabula Mwenyekiti wa Jumuiya ya wazazi ya CCM wilaya ya Geita…

12 September 2025, 4:49 am

Wananchi mtaa wa Ibolelo wapongeza kujengewa zahanati

“Kwakweli tunampongeza Rais Samia kwa kutukumbuka kwenye hili kwani tulikuwa tunapitia changamoto sana kupata huduma za Afya” – Mwananchi Na: Kale Chongela Wakazi wa mtaa wa Ibolelo maarufu Mwabasabi kata ya Nyankumbu, halmashauri ya manispaa ya Geita  wameipongeza serikali kwa…

12 September 2025, 4:34 am

TAKUKURU Geita yawafunda wasimamizi wa uchaguzi

Tanzania inajiandaa na Uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025 ambapo rai imetolewa kwa wasimamizi wa uchaguzi kuepuka vitendo vya Rushwa. Na: Edga Rwenduru Taasisi ya kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Geita imewaonya wananchi na wasimamizi wa uchaguzi watakaobainika…

10 September 2025, 4:17 am

Wajasiriamali, wakulima Geita watoa kero kwa Mhandisi Chacha

Wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi wameendelea kuzungumza na wananchi kunadi sera za ilani ya vyama vyao ikiwa ni maandalizi ya kuelekea kwenye Uchaguzi mkuu mwezi Oktoba mwaka huu. Na: Ester Mabula Baadhi ya Wananchi wa mtaa wa Mwatulole na…

9 September 2025, 5:58 pm

Simba tawi la Mkolani yawakumbuka wagonjwa

Kitendo hicho ni mfano wa kuigwa katika jamii kwani tukio hilo limeleta faraja kwa wagonjwa na hamasa kwa watoa huduma. Na Mwandishi Wetu: Kuelekea tamasha la Simba Day siku ya kesho, Mashabiki wa Simba tawi la Mkolani Manispaa ya Geita wamefanya…

5 September 2025, 11:32 am

Wezi wabomoa na kuiba ndani ya duka Msalala road

“Matukio ya vibaka na wezi kuiba katika mtaa huu yamekithiri hatuna amani, serikali iwashughulikie watu watakaobainika ili iwe fundisho” – Mwananchi Na: Amon Mwakalobo Watu wasiofahamika wanaosadikika kuwa ni wezi wamebomoa kibanda cha biashara (duka) cha Bw. Shemu Masato katika…

5 September 2025, 10:50 am

Mradi wa mabanda ya kudumu viwanja vya maonesho Geita waendelea

Ikumbukwe mkoa wa Geita umekuwa ukifanya maonesho ya teknolojia ya madini kila mwaka ambapo kwa mwaka huu 2025 yatafanyika kwa mara ya 8. Na: Edga Rwenduru Serikali mkoani Geita imeanza ujenzi wa mabanda ya kudumu katika viwanja vya maonesho ya…

5 September 2025, 10:21 am

Wakazi wa Nyakafuru wafurahia kituo cha afya

Jumla ya miradi 9 ya maendeleo kwenye sekta ya afya, maji, elimu na miundombinu ya barabara wilayani Mbogwe mkoani Geita imepitiwa na Mwenge wa uhuru mwaka 2025. Na: Kale Chongela Wakazi wa kata ya Nyakafuru, halmashauri ya wilaya ya Mbogwe…

5 September 2025, 1:11 am

Kituo cha afya Gakala tumaini jipya Bukandwe

Kituo hicho kitapunguza kwa kiasi kikubwa changamoto ya wananchi kutembea umbali mrefu kutafuta huduma. Na Kale Chongela: Wakazi wa Kata ya Bukandwe wilayani Mbogwe mkoa wa Geita wanatarajia kuanza kunufaika na huduma za afya mara baada ya kukamilika kwa ujenzi…

4 September 2025, 10:38 am

Mwenge waridhishwa na mradi wa visima Nyangh’wale

Mwenge wa uhuru ukiwa wilaya ya Nyangh’wale  umetembelea, kukagua na kuweka mawe ya msingi kwenye jumla ya miradi 11 yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 1. Na: Kale Chongela Mwenge wa uhuru umeridhishwa na ujenzi wa mradi wa visima vitano vya maji katika kata ya Shabaka, halmashauri…

STORM FM OVERVIEW

Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.

Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.

Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.

OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.

ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.