Storm FM
Storm FM
17 September 2025, 10:22 pm
Vyama mbalimbali vya siasa nchini vimeendelea kufanya kampeni ikiwa ni maandalizi ya kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025. Na: Ester Mabula
17 September 2025, 2:09 pm
Kila mwaka mkoa wa Geita umekuwa ukifanya maonesho ya teknolojia na uwekezaji katika sekta ya madini, ikiwa ni fursa adhimu ya kukutanisha wafanyabiashara na wachimbaji wa madini kutoka maeneo mbalimbali. Na: Ester Mabula Geita Gold Mining Limited (GGML), kampuni tanzu…
16 September 2025, 8:34 pm
Mpango huo ni nyenzo ya maendeleo endelevu na njia ya kuinua maisha ya wananchi wa Geita na maeneo jirani. Na Mrisho Sadick: Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha ukombozi wa umma CHAUMMA Salum Mwalimu ameahidi…
16 September 2025, 11:10 am
Vyama mbalimbali vya siasa nchini vimeendelea na kampeni ikiwa ni njia ya kunadi sera na mipango yao kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025. Na: Edga Rwenduru Chama cha United Democratic Party (UDP) kimewaahidi watanzania kusimamia rasilimali za nchi kwa…
16 September 2025, 7:39 am
Mgombea ubunge wa Jimbo la Busanda, wilaya ya Geita kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Jafari Rajabu Seif, amezindua rasmi kampeni zake Septemba 15, 2025 kwa kuahidi kushughulikia changamoto zinazowakabili wananchi. Na: Ester Mabula Akizungumza wakati wa uzinduzi…
15 September 2025, 12:39 pm
“Tunawashuru walimu kwa kutuandalia safari hii kwani imekuwa yenye tija kwetu katika kufahamu tabia za wanyama” – Mwanafunzi Na: Kale Chongela Wanafunzi wa shule ya msingi Mkoani iliyopo kata ya Kalangalala, halmashauri ya manispaa ya Geita wametembelea shamba la wanyama…
15 September 2025, 10:00 am
Upatikanaji wa magari hayo ni juhudi za Serikali ya Awamu ya Sita katika kuboresha mazingira ya kazi ya vyombo vya ulinzi na usalama nchini. Na Mrisho Sadick: Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita limepokea magari 15 mapya kwa lengo la…
15 September 2025, 9:28 am
Serikali, wamiliki na wadau kushirikiana ili kuhakikisha wanyamakazi punda wanathaminiwa na kutunzwa kwakuwa wanategemewa kiuchumi. Na Mrisho Sadick: Jamii mkoani Geita imetakiwa kuthamini na kulinda wanyamakazi punda ambao wamekuwa chanzo muhimu cha kipato kwa baadhi ya wananchi wanaofanya shughuli za…
15 September 2025, 8:25 am
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeweka wazi mikakati ya kuhakikisha maendeleo yanashuka hadi ngazi za chini. Na Mrisho Sadick: Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimezindua rasmi kampeni katika Jimbo jipya la Katoro Mkoani Geita kwa msisitizo wa kushughulikia changamoto zinazowakabili wananchi hususan…
13 September 2025, 2:22 pm
Vyama mbalimbali vya siasa nchini vimeendelea na kampeni ya kunadi sera za ila i ya vyama vyao kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025. Na: Mwandishi wetu Aliyekuwa Katibu wa Baraza la Vijana la CHADEMA (BAVICHA) kata ya Nyarugusu,…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.