Storm FM
Storm FM
08/01/2026, 12:40
Hatua ya kufunga cheni inalenga kudhibiti waendesha pikipiki wanaojihusisha na shughuli za usafirishaji bila kuwa na vitambulisho. Na Kale Chongela: Uongozi wa egesho la pikipiki la Lukilini lililopo Mtaa wa Mkoani Kata ya Kalangalala Manispaa ya Geita umeanza kutekeleza agizo…
08/01/2026, 11:36
Ucheleweshaji wa marejesho una punguza juhudi za serikali kuendelea kutoa fedha za mikopo kwa vikundi vingine. Na Mrisho Sadick: Halmashauri ya Wilaya ya Nyang’hwale mkoani Geita imewataka wanufaika wa mikopo ya asilimia 10 kutumia teknolojia ya mawasiliano ikiwemo mitandao ya…
05/01/2026, 15:42
“Ibada njema ni yenye kukumbuka watu wenye uhitaji na kuweza kuwasaidia ili waweze kujisikia vizuri kama watu wengine” – Diwani Sagayika Na: Ester Mabula Diwani wa kata ya Kalangalala Mhe. Ruben Emmanuel Sagayika ameuanza vyema mwaka 2026 kwa kuwakumbuka wagonjwa,…
05/01/2026, 12:58
“Kunipigia kura na kunichagua ni kunikopesha maendeleo ndani ya miaka mitano na nitahakikisha changamoto zilizo ndani ya uwezo wangu zinakwisha” – Mbunge Lutandula Na: Ester Mabula Wananchi wa kijiji cha Nyantimba kata ya Nyarutembo halmashauri ya wilaya ya Chato mkoani…
27/12/2025, 04:57
“Kila mwaka zoezi la uandikishaji huanza mwezi Septemba na kukamilika tarehe 31, marchi ili kutoa nafasi kwa wazazi na walezi kuandikisha watoto wao” – Afisa elimu mkoa wa Geita Na: Ester Mabula Afisa elimu mkoa wa Geita Mwalimu Antony Mtweve…
26/12/2025, 02:07
“Ofisi ya mbunge jimbo la Chato Kusini itaendelea kushirikiana na wananchi katika mambo mbalimbali kwaajili ya maendeleo ya jimbo letu” – Joseph James, Katibu wa Mbunge Na: Ester Mabula Mbunge wa Jimbo la Chato kusini Paschal Lutandula amewakumbuka wagonjwa wanaopatiwa…
24/12/2025, 19:16
Kuelekea sikukuu za mwisho wa mwaka, Kamanda wa Polisi mkoa wa Geita atoa wito kwa wananchi kuendelea kudumisha amani na utulivu wakati wa kusheherekea. Na: Ester Mabula Kamanda wa Jeshi la polisi mkoa wa Geita SACP Safia Jongo ametoa rai…
19/12/2025, 12:16
Serikali imeshatoa maelekezo kwa mamlaka zote za afya nchini kuhakikisha maagizo hayo yanatekelezwa ipasavyo bila kuwepo vikwazo Na Mrisho Sadick: Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI anayeshughulikia masuala ya Afya Dkt. Jafari Rajabu Seif amemuagiza Mganga Mkuu…
17/12/2025, 21:30
Katika mwaka wa fedha 2025/2026 walitengewa jumla ya kiasi cha Shilingi Bilioni 12.3 kwa ajili ya utekelezaji wa kazi za matengenezo ya aina mbalimbali ya barabara na madaraja Na Mrisho Sadick: Serikali mkoani Geita imetangaza rasmi kuanza kumkata fedha mkandarasi…
17/12/2025, 21:18
Kikundi hicho kabla ya kufanya mkutano mkuu wa mwaka , kimefanya matembezi kuelekea katika kituo cha afya Nyarugusu kwa ajili kutoa zawadi kwa wagonjwa , vifaa tiba pamoja na kuchangia damu. Na Mrisho Sadick: Viongozi wa dini katika Kata ya…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.