Storm FM
Storm FM
01/08/2024, 02:42
Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa nchini (TAKUKURU) mkoa wa Geita imeendelea kufanya uchunguzi wa miradi mbalimbali ili kubaini iwapo kuna ubadhirifu au ukamilifu wa miradi hiyo. Na: Kale Chongela – Geita Jumla ya kesi 19 za vitendo vya…
01/08/2024, 02:17
Wakazi wa kata ya Nyarugusu Wilaya ya Geita wamelalamikia hali ya kusimama kwa ujenzi wa barabara yenye urefu wa kilomita moja. Na: Kale Chongela – Geita Malalamiko ya wanachi hao yamekuja kufuatia usumbufu ambao wananchi hao wanaeleza kuupata hususani watumiaji…
30/07/2024, 18:31
Licha ya Jeshi la polisi kuendelea kuzuia matukio ya kujichukulia sheria mkononi kwa kujeruhi watuhumiwa, bado wananchi wameendelea kujichukulia sheria mkononi. Na: Amon Mwakalobo – Geita Mwanaume mmoja mkazi wa Bomani, mtaa wa Katoma halmashauri ya mji wa Geita anayejulikana…
30/07/2024, 17:58
Mwanaume mmoja aliyejulikana kwa jina la Nyiri Katelezi (40) mkazi wa kijiji cha Nyandago kata ya Butundwe wilaya ya Geita mkoani Geita amefariki dunia baada ya kujeruhiwa vibaya na mnyama. Na: Edga Rwenduru – Geita Tukio la kujeruhiwa mwanaume hiyo…
27/07/2024, 12:54
Kwa mujibu wa Jeshi la polisi mkoa wa Geita kuanzia kipindi cha Januari hadi Juni mwaka huu 2024 yameripotiwa matukio 32 ya ukatili ambapo watuhumiwa 7 wamehukumiwa. Na: Mrisho Sadick – Geita Jeshi la Polisi mkoani Geita linamshikilia Flora Mapolu…
27/07/2024, 12:30
Baada ya tukio la wizi wa kubomoa na kuiba kisha kujenga upya lililotokea usiku wa kuamkia Julai 24, 2024 kaika mtaa wa Shilabela, mwenyekiti atupa lawama kwa walinzi. Na: Amon Mwakalobo – Geita Mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa Shilabela…
27/07/2024, 12:13
Mamlaka ya udhibiti wa huduma za nishati nchini (EWURA)imewakutanisha mameneja wa TANESCO mikoa ya kanda ya ziwa kwaajili ya kujadili uboreshaji wa huduma. Na: Edga Rwenduru – Geita Kutokana na changamoto mbalimbali zinazowakumba watumiaji wa nishati ya umeme ikiwemo kukatika…
27/07/2024, 11:57
Kampuni ya mawasiliano nchini Tigo imeendelea kuboresha huduma zake kwa kuwafikia watanzania zaidi ya milioni 20 ambao wanaendelea kunufaika na huduma zao. Na: Ester Mabula – Geita Meneja wa Tigo mkoa wa Geita Willington Byekwaso amesema Tigo imeendelea kutoa ofa…
25/07/2024, 10:49
Matukio ya baadhi ya watu kupora mali na kuiba yameendelea kuwa changamoto hususani kwa wafanyabiashara ambao wamekuwa wakiibiwa mali zao. Na: Amon Mwakalobo – Geita Watu wasiofahamika wanaosadikiwa kuwa ni wezi wamebomoa kibanda cha biashara cha mkazi wa mtaa wa…
25/07/2024, 10:34
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana CCM mkoa wa Geita Manjale Magambo amewataka vijana kujitokeza katika kwenda kujiandikisha katika daftari la mpinga kura. Na: Kale Chongela – Geita Mwenyekiti wa UVCCM Manjale Magambo akiwa katika mkutano wa hadhara uliofanyika Julai 22,…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.