Recent posts
27 April 2021, 1:53 pm
Mgogoro wa mipaka kikwazo cha Maendeleo
Na Nichoras Paul Lyankando: Matumaini ya kumalizika kwa mgogoro wa mipaka ya kijiji cha lulembela na nyikonga wilayani mbogwe mkoani geita yameanza kuonekana mara baada ya viongozi wa kata husika kuingilia kati. Wakizungumza katika mkutano wa hadhara uliowakutanisha wananchi katika…
26 April 2021, 1:53 pm
Wajasiriamali 300 wapatiwa mafunzo Geita
Na Joel Maduka: Wajasiriamali zaidi ya mia tatu waliopatiwa mafunzo na baraza la uwezeshaji wananchi kiuchumi, wametakiwa kutumia ujuzi ambao wamepatiwa kutazama fursa kwenye makapuni mbali mbali na kuachana dhana ya kusubili tenda katika mgodi wa dhahabu wa Geita GGML.…
25 April 2021, 2:27 pm
Shule za Msingi Geita zatakiwa kufanya mijadala
Walimu shule za msingi katika halmashauri ya mji wa Geita wameshauriwa kuandaa mijadala shuleni baina ya shule jirani ili kuwajengea uwezo wanafunzi wa kujieleza kitaaluma . Ushauri huo umetolewa na Afisa tawala Wilaya ya Geita Bw Inocent Mabiki ambaye alikuwa…
23 April 2021, 6:37 pm
Mtoto azaliwa bila mikono
Na Joel Maduka: Baraka Marko mkazi wa Nemba Wilaya ya Biharamulo amewaomba watanzania wenye mapenzi mema kumsaidia kupata baiskeli ndogo ya magurudumu matatu ambayo itamsaidia mtoto wake ambaye anaitwa Faraja Baraka aliyemzaa bila ya kuwa na mikono kutokana na sasa…
23 April 2021, 6:15 pm
Vijana washauriwa kutobagua kazi za kufanya Geita
Na Ester Mabula: Vijana mkoani Geita wameshauriwa kujiajiri na kuacha dhana ya kubagua kazi ili kuweza kujipatia maendeleo na kuendesha maisha yao. Hayo yamebainishwa na baadhi ya vijana walioamua kujiajiri kwa kuunda kikundi cha kutengeneza bidhaa mbalimbali kwa kutumia vyuma…
23 April 2021, 6:07 pm
Ngo’mbe wawili wamekufa baada ya kunywa maji yenye sumu Geita
Na Kale Chongela: Ng’ombe wawili wamekufa baada ya kunywa maji yenye sumu kutokana na kutapakaa kwa maji yenye sumu yanayo toka katika eneo la uchenjuaji wa madini ya dhahabu katika mtaa wa Samina Kata ya Mtakuja Halmashauri ya mji wa Geita…
21 April 2021, 12:00 pm
Wagoma kulinda usiku kwa kuhofia kukamatwa
Na Mrisho Sadick: Mtaa wa Nyamakale uliyopo halmashauri ya mji wa Geita Mkoani Geita unakabiliwa na changamoto ya ulinzi shirikishi kutokana na baadhi ya wakazi wa eneo hilo kushindwa kushiriki kwa madai ya kuogopa kupata matatizo. Wakizungumza na Storm FM…
21 April 2021, 11:48 am
Mtoto wa miezi 7 atupwa kichakani Geita
Na Mrisho Sadick: Mtoto mchanga anaekadiriwa kuwa na umri wa miezi (7) amekutwa ametupwa kwenye kichaka huku akiwa amefariki katika Mtaa Mtaa wa Nyanza halmashauri ya mji wa Geita Mkoani Geita. Baadhi ya wananchi waliojitokeza kushuhudia tukio hilo wameiambia Storm…
21 April 2021, 11:30 am
Mama avunja nyumba ya mume wake wa zamani
Na Nichoras Paul Lyankando: Mwanamke mmoja mkazi wa kijiji cha nyamalulu katika halmashauri ya wilaya ya Geita amefanya uharibifu wa kubomoa nyumba ya aliekuwa mmewake wa zamani huku ikielezwa kuwa ni wivu wa kimapenzi. Akizungumza na Storm FM Charles Katisho…
21 April 2021, 11:15 am
Wanasoka Geita waomba kujengewa uwanja wa kisasa
Na William Petro: Mashabiki na wapenzi wa wa soka mkoni Geita wameuomba uongozi wa mkoa kuangalia namna ya kukamilisha ujezi wa uwanja wa kisasa wa mpira wa miguu kwani miundombinu ni sehemu ya maendeleo ya soka. Wapenzi na mashabiki hao…