Storm FM

Recent posts

11 October 2025, 6:37 pm

Wanawake Geita wajipanga kumpokea Dkt Samia

Ujio wa Dkt. Samia unaleta ari mpya ya kisiasa na ni fursa ya kumpongeza kwa kazi kubwa anayoifanya ya kuendeleza miradi mikubwa ya maendeleo nchini. Na Mrisho Sadick: Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Mkoa wa Geita na Wananchi…

10 October 2025, 6:51 am

UVCCM (W) Geita waongoza mbio mapokezi ya Dkt. Samia

Mgombea urais kwa tiketi ya CCM Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kufika mkoani Geita Oktoba 13, 2025 ikiwa ni mwendelezo wa kampeni za chama hicho. Na: Ester Mabula Umoja wa vijana wilaya ya Geita umeongoza mbio za picha ya mgombea…

10 October 2025, 5:37 am

Eng. Chacha, Sukambi waahidi kuijenga Nyankumbu mpya

“Chacha ni Nzagamba lililoshiba, liko tayari kwaajili ya kuleta maendeleo katika jimbo la Geita mjini na kuendeleza kutekeleza ilani ya CCM” – Chacha Wambura Na: Ester Mabula Katika mwendelezo wa kampeni za mgombea ubunge jimbo la Geita mjini kwa tiketi…

9 October 2025, 5:34 am

Costantine Morandi aomba mitano tena kwa wakazi wa Samina

Ikiwa zimesalia siku 19 tu kuweza kufanyika uchaguzi mkuu kwa mwaka 2025, wagombea wa nafasi mbalimbali wameendelea kunadi sera pamoja na ilani za vyama vyao. Na: Ester Mabula Mgombea udiwani katika kata ya Mtakuja kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi…

8 October 2025, 6:07 pm

Idadi ya watalii yazidi kuongezeka kisiwa cha Rubondo

Hifadhi hiyo inajivunia kuwa na fukwe za mazalia ya samaki zenye urefu wa zaidi ya kilometa 150 hali ambayo inakifanya kisiwa hicho kuwa za kipekee Na Mrisho Sadick: Idadi ya watalii wanaotembelea Hifadhi ya Taifa ya Kisiwa cha Rubondo kilichopo…

8 October 2025, 5:30 pm

Miundombinu hifadhi ya taifa Rubondo yaboreshwa

Kwa sasa hifadhi hiyo inaendelea kuboresha huduma za utalii, ikiwa ni pamoja na usafiri wa majini, malazi ya kisasa na shughuli za uhamasishaji wa utalii wa ndani. Na Mrisho Sadick: Hifadhi ya Taifa ya Kisiwa cha Rubondo iliyopo wilayani Chato…

8 October 2025, 5:49 am

Picha: Ajali yaua mmoja, kujeruhi wengine Geita

Licha ya elimu na jitihada mbalimbali zinazofanywa kuzuia ajali za barabarani, bado matukio ya ajali yamekuwa yakitokea na kupelekea vifo, majeruhi pamoja na uharibifu wa mali. Na: Mrisho Sadick Mtu mmoja amefariki Dunia na wengine kadhaa kujeruhiwa kufuatia ajali ya…

8 October 2025, 5:28 am

Wamiliki magari binafsi walalamikiwa kubeba abiria Nyankumbu

“Suala hili tumekuwa tukilikomesha lakini inaonekana bado linajirudia kutokana na baadhi ya mawakala kuendelea kukiuka taratibu” – Mwenyekiti wa stendi Nyankumbu Na: Kale Chongela Baadhi ya wamiliki wa magari ya abiria katika kituo kidogo cha magari ya abiria kilichopo kata…

7 October 2025, 4:48 am

GGML yaadhimisha miaka 25 kwa mashindano ya gofu Geita

Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imeadhimisha miaka 25 tangu kuanzishwa kwake kwa kuandaa mashindano ya gofu katika viwanja vya Lake Victoria Golf Club vilivyopo ndani ya eneo la mgodi mkoani Geita. Na: Ester Mabula Mashindano hayo ni miongoni…

6 October 2025, 7:41 pm

Nondo za Reuben Sagayika akiomba kura za CCM Msufini

“Ninaimani kata ya Kalangalala itakwenda kubadilika kimaendeleo iwapo mtanipa kura za NDIO ili niweze kuwatumikia kwa moyo wangu” – Reuben Sagayika Na: Ester Mabula Mgombea udiwani wa kata ya Kalangalala kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Reuben Sagayika leo…

STORM FM OVERVIEW

Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.

Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.

Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.

OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.

ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.