Storm FM

Recent posts

22 September 2021, 9:39 am

Aomba vifaa vya masomo.

Gideon Moses ni Kijana mwenye ulemavu wa viungo vya mwili ambaye anakula chakula kwa kutumia miguu ambaye anaishi Mtaa wa #Mwatulole pamoja na wazazi wake. Mwenyekiti wa mtaa wa #Mwatulole Bw. Noel Ndasa amekiri kuwepo kwa mtoto huyo katika eneo lake na kwamba mara…

17 September 2021, 5:37 pm

Mbwa tishio Shilabela.

Na Zubeda Handrish: Katika hali isiyokuwa ya kawaida watu 8 wameng’atwa na mbwa katika mtaa wa Shilabela mjini Geita ikielezwa kuwa ni mbwa wenye kichaa. Hayo yamebainishwa na mwenyekiti wa mtaa huo Bw. Fredrick Masalu baada ya wahanga kufika ofisini kwake ili kuweza kupata…

17 September 2021, 2:20 pm

Maonesho ya nne yanoga.

Na Ester Mabula: Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imewataka wachimbaji kutumia Maonesho ya Nne ya Teknolojia na Uwekezaji kwenye Sekta ya Madini kujifunza teknolojia mbalimbali zilizopo kwenye maonesho  yaliyoanza leo Mkoani Geita. Wito huo umetolewa leo…

16 September 2021, 5:23 pm

Maonesho kuanza rasmi leo.

Na Kale Chongela: Hatimaye siku ambayo ilikuwa ikisubiriwa imetimia ambapo leo Septemba 16, 2021 yanaanza maonesho ya nne ya teknolojia na uwekezaji katika sekta ya madini mkoani Geita. Kauli mbiu katika maonesho hayo kwa mwaka huu ni “Sekta ya Madini Kwa…

15 September 2021, 5:58 pm

Maonesho ya nne Geita.

Na Kale Chongela: Serikali mkoani Geita imewaomba wananchi kujitokeza kwa wingi katika maonesho ya nne ya Teknolojia na Uwekezaji katika sekta ya Madini ambayo yanatarajia kuanza Septemba 16, 2021 katika viwanja vya EPZ mtaa wa Bombambili mjini Geita. Akizungumza na waandishi wa Ofisini kwake…

10 August 2021, 2:57 pm

Tamasha la utalii Chato fursa kwa wakazi wa Geita.

Na Mrisho Sadick: Wananchi Mkoani Geita wameshauriwa kutumia fursa  ya maonesho ya utalii yanayoendelea wilayani Chato kwa kufika nakuonesha  bidhaa zao za kiasili  ikiwa ni njia mojawapo ya kujitangaza nakufahamika zaidi. Maonesho hayo yalianza kwa Waendesha mitumbwi 87 kutoka kwenye…

9 August 2021, 3:47 am

Waendesha bodaboda watoa ya moyoni.

Na Zubeda Handrish: Waendesha pikipiki maarufu Bodaboda mjini Geita wamewalalamikia vitendo vya baadhi ya abiria wenye tabia ya kusema uongo pindi wanapohitaji huduma hiyo ya usafiri. Wameyasema hayo katika egesho lao la kazi la Shilabela Msikitini kuwa baadhi ya abiria husema uongo…

9 August 2021, 3:19 am

Wachimbaji wafungiwa shughuli zao.

Na Mrisho Sadick: Wachimbaji wadogo katika Kijiji cha Kanegere namba mbili Wilayani Mbongwe Mkoani Geita ,wameiomba serikali kupitia Wizara ya Madini kuwasaidia kutatua changamoto ambayo inawakabili ya kufungiwa shughuli zao na ofisi ya madini mbogwe kwa muda wa zaidi ya…

4 August 2021, 7:49 pm

RC Geita azindua Chanjo kwa kuchanjwa.

Na Mrisho Sadick: Mkuu wa Mkoa wa Geita Bi Rosemary Senyamule ametoa onyo kwa watumishi wa afya na vituo binafsi vyakutolea huduma za Afya watakaobainika wakiwauzia wananchi chanjo ya kujikinga na corona. Mkuu wa Mkoa huyo  Senyamule ametoa kauli hiyo…