Storm FM
Storm FM
17 July 2024, 10:13 am
Storm FM inaendelea na kampeni ya kupinga ukatili iitwayo “INATOSHA PINGA UKATILI” yenye lengo la kuikumbusha Jamii kutoendelea kufumbia macho matukio ya ukatili. Na: Ester Mabula – Geita Kamanda wa Jeshi la polisi mkoa wa Geita SACP Safia Jongo amesema…
15 July 2024, 12:54 pm
Wilaya ya Nyang’hwale imeendelea kujiimarisha katika sekta mbalimbali ikiwemo za afya , maji , elimu, miundombinu ya barabara, nakutumia fursa ya nishati ya umeme kukuza uchumi wa wananchi wake. Na Mrisho Sadick: Serikali kupitia Wizara ya nishati imefanikiwa kufikisha umeme…
15 July 2024, 10:44 am
Mkuu wa wilaya ya Geita Hashim Komba ameendelea kutembelea wananchi katika maeneo mbalimbali ya wilaya yake ambapo ameweka jiwe la msingi katika mradi maji uliopo Wigembya. Na: Kale Chongela – Geita Zaidi ya wananchi elfu kumi na tatu mia nne…
13 July 2024, 1:10 pm
Halmashauri ya Mji wa Geita yenye wanafunzi 25,155 ina shule za sekondari 16 ikiwa ni ongezeko la shule mpya 16 kutoka shule 10 zilizokuwepo mwaka 2019. Na: Kale Chongela – Geita Wazazi na walezi halmashauri ya mji wa Geita wametakiwa…
13 July 2024, 12:38 pm
Licha ya serikali kufanya jitihada za ujenzi wa matundu ya vyoo katika shule zilizopo kata ya Ihanamilo, eneo hilo linakabiliwa na changamoto ya uhaba wa maji. Na: Edga Rwenduru – Geita Changamoto ya uhaba wa maji katika kata ya Ihanamilo…
11 July 2024, 6:36 pm
Ongezeko la idadi ya watu duniani bado linaendelea kuacha maswali ya namna idadi hiyo itakavyoendana na ukuaji wa uchumi wa wananchi. Na Daniel Magwina Naibu Waziri ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji Stanslaus Nyongo amewataka watendaji wa serikali nchini kutumia…
10 July 2024, 10:58 am
Baada ya kumuomba Mungu amjalie watoto pacha, hali imekuwa tofauti baada ya kujaliwa watoto wanne wote wakiwa wa kike. Na: Edga Rwenduru – Geita Elizabeth Vicent (30) mkazi kata ya Nyankumbu, halmashauri ya mji wa Geita amejifungua watoto wanne baada…
10 July 2024, 9:49 am
Licha ya mikakati ya serikali kuhakikisha upatikanaji wa maji safi na salama kila kijiji, bado hali tete kwa wakazi wa kijiji cha Narusunguti wilayani Bukombe mkoani Geita wakiwa na changamoto hiyo tangu mwaka 2002. Na: Evance Mlyakado – Geita Wananchi…
9 July 2024, 2:41 pm
Jamii imekumbushwa kuwalinda watoto dhidi a vitendo hatarishi ili kupunguza ukatili ambao unaendelea kwenye jamii. Imeelezwa kuwa kumekuwepo na ongezeko la watoto wanaoishi mazingira magumu (mitaani) katika mtaa wa Msalala road uliopo kata ya Kalangalala halmashauri ya mji wa Geita…
8 July 2024, 10:07 am
Kampeni ya Kili challenge huratibiwa na mgodi wa dhahabu wa Geita Gold mine limited (GGML) kwa kushirikiana na tume ya kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) ambapo hufanyika Julai ya kila mwaka. Na: Kale Chongela – Geita Uongozi wa mgodi wa Geita…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.