Storm FM

Recent posts

5 January 2026, 3:42 pm

Sagayika agusa wahitaji kata ya Kalangalala

“Ibada njema ni yenye kukumbuka watu wenye uhitaji na kuweza kuwasaidia ili waweze kujisikia vizuri kama watu wengine” – Diwani Sagayika Na: Ester Mabula Diwani wa kata ya Kalangalala Mhe. Ruben Emmanuel Sagayika ameuanza vyema mwaka 2026 kwa kuwakumbuka wagonjwa,…

5 January 2026, 12:58 pm

Wakazi Nyantimba wamshukuru mbunge kukamilisha jengo la shule

“Kunipigia kura na kunichagua ni kunikopesha maendeleo ndani ya miaka mitano na nitahakikisha changamoto zilizo ndani ya uwezo wangu zinakwisha” – Mbunge Lutandula Na: Ester Mabula Wananchi wa kijiji cha Nyantimba kata ya  Nyarutembo halmashauri ya wilaya ya Chato mkoani…

27 December 2025, 4:57 am

Afisa elimu Geita ahimiza wazazi kuendelea kuandikisha wanafunzi

“Kila mwaka zoezi la uandikishaji huanza mwezi Septemba na kukamilika tarehe 31, marchi ili kutoa nafasi kwa wazazi na walezi kuandikisha watoto wao” – Afisa elimu mkoa wa Geita Na: Ester Mabula Afisa elimu mkoa wa Geita Mwalimu Antony Mtweve…

26 December 2025, 2:07 am

Mbunge Chato Kusini awakumbuka wagonjwa sikukuu ya krismasi

“Ofisi ya mbunge jimbo la Chato Kusini itaendelea kushirikiana na wananchi katika mambo mbalimbali kwaajili ya maendeleo ya jimbo letu” – Joseph James, Katibu wa Mbunge Na: Ester Mabula Mbunge wa Jimbo la Chato kusini Paschal Lutandula amewakumbuka wagonjwa wanaopatiwa…

24 December 2025, 7:16 pm

Geita ni shwari kuelekea sikuku – SACP Jongo

Kuelekea sikukuu za mwisho wa mwaka, Kamanda wa Polisi mkoa wa Geita atoa wito kwa wananchi kuendelea kudumisha amani na utulivu wakati wa kusheherekea. Na: Ester Mabula Kamanda wa Jeshi la polisi mkoa wa Geita SACP Safia Jongo ametoa rai…

19 December 2025, 12:16 pm

Marufuku hospitali kuzuia miili Geita

Serikali  imeshatoa maelekezo kwa mamlaka zote za afya nchini kuhakikisha maagizo hayo yanatekelezwa ipasavyo bila kuwepo vikwazo Na Mrisho Sadick: Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI anayeshughulikia masuala ya Afya Dkt. Jafari Rajabu Seif amemuagiza Mganga Mkuu…

17 December 2025, 9:30 pm

Mkandarasi akaliwa kooni Geita

Katika mwaka wa fedha 2025/2026 walitengewa jumla ya kiasi cha Shilingi Bilioni 12.3 kwa ajili ya utekelezaji wa kazi za matengenezo ya aina mbalimbali ya barabara na madaraja Na Mrisho Sadick: Serikali mkoani Geita imetangaza rasmi kuanza kumkata fedha mkandarasi…

17 December 2025, 9:18 pm

Kikundi cha NEPA Nyarugusu chatoa vifaa tiba, zawadi kwa wagonjwa

Kikundi hicho kabla ya kufanya mkutano mkuu wa mwaka , kimefanya matembezi kuelekea katika kituo cha afya Nyarugusu kwa ajili kutoa zawadi kwa wagonjwa , vifaa tiba pamoja na kuchangia damu. Na Mrisho Sadick: Viongozi wa dini katika Kata ya…

12 December 2025, 1:55 pm

Upatikanaji wa maji Nyang’hwale ni asilimia 77.4

RUWASA imetakiwa kuhakikisha inapunguza upotevu wa maji na malalamiko ya bili kwa kufunga mita za wateja majumbani badala ya sehemu zilizo mbali na makazi yao. Na Mrisho Sadick: Hali ya upatikanaji wa maji safi na salama wilayani Nyang’hwale mkoani Geita…

12 December 2025, 12:26 pm

Nzoya na nyoka wa ajabu Geita

Idadi ya nyoka alionao inalingana kabisa na idadi ya watoto wake tisa , Hata hivyo licha ya utaalamu alionao Shidiku anakiri kwamba kuishi na viumbe hao kunahitaji moyo wa ziada. Na Mrisho Sadick: Shidiku Nzoya mwenye umri wa miaka (35)…

STORM FM OVERVIEW

Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.

Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.

Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.

OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.

ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.