Storm FM
Storm FM
18 October 2025, 9:12 pm
Hatua hiyo inalenga kurejesha mamlaka ya kiuchumi mikononi mwa wananchi na kuhakikisha rasilimali za taifa zinawanufaisha Watanzania wengi badala ya wachache. Na Mrisho Sadick: Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha ADA TADEA, Georges Busungu, amesema…
18 October 2025, 4:47 am
“Hatutakubali kuona waganga wenye nia ovu wanaendelea kuiangamiza Jamii, na hili linaanza na nyie wenyewe kwa kuhakikisha kila mmoja wenu anasajiliwa” – SACP Safia Jongo Na: Kale Chongela Jeshi la Polisi mkoani Geita limesema halitawafumbia macho baadhi ya waganga wa…
18 October 2025, 4:08 am
“Uchunguzi wa awali umebaini kuwa chanzo cha tukio hilo ni mgogoro wa kifamilia” – SACP Safia Jongo Na: Ester Mabula Jeshi la Polisi mkoa wa Geita linamshikilia mwanamke mmoja aitwae Martha Japhet (44) mkulima na mkazi wa kitongoji cha Mzalendo,…
18 October 2025, 3:52 am
Ni mchaka mchaka kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29 mwaka huu, ambapo mgombea wa Ubunge Jimbo la Busanda kwa tiketi ya CCM ameendelea kusaka kura kwa wananchi. Na: Ester Mabula Mgombea Ubunge wa jimbo la Busanda kupitia tiketi ya…
17 October 2025, 10:01 pm
Onyo kwa baadhi ya watu au makundi yanayopanga kufanya maandamano au kuchochea machafuko kabla au baada ya uchaguzi Na Mrisho Sadick – Geita Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha Makini Coaster Kibonde ametoa wito kwa…
17 October 2025, 11:25 am
Karibu kusikiliza makala maalumu iitwayo Mwanamke na Uongozi ambacho kinapewa nguvu na Chama cha waandishi wa habari wanawake nchini (TAMWA) kwa kushirikiana na Storm FM. Muandaaji wa kipindi hiki ni Ester Mabula pamoja na Amon Mwakalobo
16 October 2025, 8:48 am
Ujenzi wa hospitali hiyo ni hatua muhimu katika kupanua wigo wa huduma zinazotolewa na kanisa hilo mjini Katoro. Na Mrisho Sadick: Kanisa la EAGT Nazareth Stamico lililopo katika mji wa Katoro wilayani Geita limepanga kuanzisha ujenzi wa Hospitali ya kisasa…
15 October 2025, 3:07 pm
Ngombalemwiru ameeleza kuwa serikali atakayoiunda itaweka mfumo rafiki wa huduma za afya utakaolenga utu na heshima ya binadamu. Na Mrisho Sadick: Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Wakulima Tanzania (AAFP) Kunje Ngombalemwiru ameahidi kuondoa kabisa…
14 October 2025, 11:19 am
“Vilevile tunaendelea kushiriki katika shughuli mbalimbali za kijamii kwa kushirikiana na serikali ikiwemo sekta za Afya na elimu” – Katibu wa tawi la Simba Mpomvu Na: Edga Rwenduru Mashabiki na wanachama wa klabu ya Simba katika mtaa wa Mpomvu uliopo…
11 October 2025, 9:59 pm
Ushindi huo unaifanya Geita Gold kuanza msimu mpya wa Championship kwa alama tatu muhimu, huku ikionesha dhamira ya wazi ya kurejea katika Ligi Kuu Na Mrisho Sadick: Timu ya Geita Gold FC imeanza kwa kishindo safari yake ya kutafuta kurejea…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.