Storm FM
Storm FM
20/01/2026, 12:50
Jumla ya miradi 901 yenye thamani ya Tsh. bilioni 9.31 kwa mwaka 2024, na miradi 927 kwa mwaka 2025 yenye thamani ya Tsh. bilioni 11 ambapo jumla ya miradi 469 inamilikiwa na watanzania sawa na asilimia 51%. Na: Ester Mabula…
19/01/2026, 18:39
Kundi la watu wenye ulemavu linaendelea kukumbana na changamoto mbalimbali, hususan wanawake wanaotelekezwa. Na Mrisho Sadick: Mwanamke mwenye ulemavu Sarah Malale mkazi wa Kata ya Lulembela Wilaya ya Mbogwe mkoani Geita amewaomba Watanzania wenye mapenzi mema kujitokeza kumsaidia baada ya…
17/01/2026, 17:08
Wilaya ya Nyang’hwale yenye wakazi 225,803 kwa mujibu wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022, ina makadirio ya vijana zaidi ya 90,000. Na Mrisho Sadick Zaidi ya vijana 400 kutoka Wilaya ya Nyang’hwale mkoani Geita wamekutana katika kongamano…
17/01/2026, 14:07
“Jumla ya watuhumiwa 200 tumewakamata kwa makosa mbalimbali na tunaendelea na upelelezi zaidi ili kuwafikisha mahakamani” – SACP Safia Jongo Na: Ester Mabula Jeshi la polisi mkoa wa Geita limeendelea kuimarisha ulinzi na usalama wa mkoa kupitia oparesheni mbalimbali ambapo…
16/01/2026, 19:16
“Nina imani kuwa ugawaji wa hati za kimila utapunguza kwa kiasi kikubwa uwepo wa migogoro ya ardhi” -Katibu tawala mkoa wa Geita Mohamed Gombati Na: Edga Rwenduru Baada ya serikali kumega sehemu ya eneo la hifadhi ya msitu wa muyenze…
16/01/2026, 17:28
Diwani wa kata ya Nyanguku Elias Ngole amekuwa na utaratibu wa kutoa madaftari kwa wanafunzi wakidato cha kwanza katika shule 2 za sekondari zilizopo katika kata hiyo. Na: Ester Mabula Wananchi wa mtaa wa Nyakato kata ya Nyanguku, halmashauri ya…
15/01/2026, 16:39
Ukistaajabu ya Mussa utayaona ya Firauni tukio hilo la kushangaza limewaacha wakazi wa mtaa huo katika hali ya taharuki. Na Mrisho Sadick: Moto wa ajabu umezikumba familia mbili katika mtaa wa Nyantorotoro Kata ya Nyankumbu Manispaa ya Geita Mkoani Geita…
15/01/2026, 16:19
Leo ni siku ya pili tangu kuanza kwa muhula mpya wa masomo ambapo shule zimefunguliwa Januari 13, 2026 kote nchini. Na: Ester Mabula Diwani wa Kata ya Nyanguku ambaye pia ni Naibu Meya wa halmashauri ya manispaa ya Geita amewaasa…
15/01/2026, 16:06
Hatua hiyo imekuja katika kipindi hiki ambacho muhula mpya wa masomo umeanza katika shule mbalimbali nchini, huku serikali ikiendelea kusisitiza umuhimu wa elimu jumuishi kwa watoto wote bila ubaguzi wa aina yoyote. Na Mrisho Sadick: Jumuiya ya Wazazi ya Chama…
15/01/2026, 14:59
Mmiliki wa nguo hizo licha ya kukiri kuwepo kwa ugonvi kati yake na jirani yake amesema kiu yake ni kupata nguo zake. Na Kale Chongela: Felista Tablei mkazi wa mtaa wa Mkoani Kata ya Kalangalala Manispaa ya Geita amefikishwa ofisi…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.