Storm FM

Recent posts

18 October 2025, 9:12 pm

Serikali ya ADA TADEA migodi yote kumilikiwa na wazawa

Hatua hiyo inalenga kurejesha mamlaka ya kiuchumi mikononi mwa wananchi na kuhakikisha rasilimali za taifa zinawanufaisha Watanzania wengi badala ya wachache. Na Mrisho Sadick: Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha ADA TADEA, Georges Busungu, amesema…

18 October 2025, 4:47 am

Waganga wanaotumia ramli chonganishi kukiona Geita

“Hatutakubali kuona waganga wenye nia ovu wanaendelea kuiangamiza Jamii, na hili linaanza na nyie wenyewe kwa kuhakikisha kila mmoja wenu anasajiliwa” – SACP Safia Jongo Na: Kale Chongela Jeshi la Polisi mkoani Geita limesema halitawafumbia macho baadhi ya waganga wa…

18 October 2025, 4:08 am

Martha (44) akiri kumuua kisha kumzika mume wake chumbani

“Uchunguzi wa awali umebaini kuwa chanzo cha tukio hilo ni mgogoro wa kifamilia” – SACP Safia Jongo Na: Ester Mabula Jeshi la Polisi mkoa wa Geita linamshikilia mwanamke mmoja aitwae Martha Japhet (44) mkulima na mkazi wa kitongoji cha Mzalendo,…

18 October 2025, 3:52 am

Dkt. Jafari aahidi kuibeba ajenda ya halmashauri mpya

Ni mchaka mchaka kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29 mwaka huu, ambapo mgombea wa Ubunge Jimbo la Busanda kwa tiketi ya CCM ameendelea kusaka kura kwa wananchi. Na: Ester Mabula Mgombea Ubunge wa jimbo la Busanda kupitia tiketi ya…

17 October 2025, 10:01 pm

Chama Cha Makini chatua kwa Hayati Magufuli, chaonya maandamano

Onyo kwa baadhi ya watu au makundi yanayopanga kufanya maandamano au kuchochea machafuko kabla au baada ya uchaguzi Na Mrisho Sadick – Geita Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha Makini Coaster Kibonde ametoa wito kwa…

17 October 2025, 11:25 am

Makala: Je, watoto wa kike wanaandaliwa kuwa viongozi wa baadae?

Karibu kusikiliza makala maalumu iitwayo Mwanamke na Uongozi ambacho kinapewa nguvu na Chama cha waandishi wa habari wanawake nchini (TAMWA) kwa kushirikiana na Storm FM. Muandaaji wa kipindi hiki ni Ester Mabula pamoja na Amon Mwakalobo

16 October 2025, 8:48 am

EAGT Nazareth Stamico kuanzisha miradi ya afya na elimu

Ujenzi wa hospitali hiyo ni hatua muhimu katika kupanua wigo wa huduma zinazotolewa na kanisa hilo mjini Katoro. Na Mrisho Sadick: Kanisa la EAGT Nazareth Stamico lililopo katika mji wa Katoro wilayani Geita limepanga kuanzisha ujenzi wa Hospitali ya kisasa…

15 October 2025, 3:07 pm

AAFP yasema daktari akizuia maiti anawekwa kwenye jeneza yeye

Ngombalemwiru ameeleza kuwa serikali atakayoiunda itaweka mfumo rafiki wa huduma za afya utakaolenga utu na heshima ya binadamu. Na Mrisho Sadick: Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Wakulima Tanzania (AAFP) Kunje Ngombalemwiru ameahidi kuondoa kabisa…

14 October 2025, 11:19 am

Wanasimba wazindua mnara wa kisasa Mpomvu

“Vilevile tunaendelea kushiriki katika shughuli mbalimbali za kijamii kwa kushirikiana na serikali ikiwemo sekta za Afya na elimu” – Katibu wa tawi la Simba Mpomvu Na: Edga Rwenduru Mashabiki na wanachama wa klabu ya Simba katika mtaa wa Mpomvu uliopo…

11 October 2025, 9:59 pm

Geita Gold yawasha taa nyenkundu, Barberian kala tatu kavu

Ushindi huo unaifanya Geita Gold kuanza msimu mpya wa Championship kwa alama tatu muhimu, huku ikionesha dhamira ya wazi ya kurejea katika Ligi Kuu Na Mrisho Sadick: Timu ya Geita Gold FC imeanza kwa kishindo safari yake ya kutafuta kurejea…

STORM FM OVERVIEW

Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.

Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.

Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.

OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.

ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.