Storm FM
Storm FM
31/01/2025, 11:56
Madiwani waishauri halmashauri ya Nyangh’wale kuongeza wigo wa ukusanyaji wa mapato kwa kubuni vyanzo vipya ambavyo haviwaumizi wananchi. Na Mrisho Sadick: Halmashauri ya wilaya ya Nyang’hwale Mkoani Geita imeendelea kufanya vizuri kwenye ukusanyaji wa mapato kwa miaka mitano mfululizo hali…
31/01/2025, 11:23
Shule hiyo ya Bukwimba imeweka rekodi ya kuwa shule ya kwanza katika wilaya hiyo kufaulisha zaidi nakundoa sifuri. Na Mrisho Sadick: Mkuu wa wilaya ya Nyang’hwale Mkoani Geita Grace Kingalame ameahidi kutoa zawadi ya Ng’ombe katika shule ya sekondari Bukwimba…
31/01/2025, 11:01
Miradi ya maendeleo inayotekelezwa wilayani Nyangh’wale Mkoani Geita imewaibua CCM kutokana na utekelezaji wake kufuata taratibu zote za ujenzi. Na Mrisho Sadick: Kamati ya siasa ya Halmashauri Kuu ya CCM wilaya ya Nyang’hwale Mkoani Geita imetembelea nakukagua miradi ya Afya…
30/01/2025, 16:03
Baraza la madiwani la halmashauri ya manispaa ya Geita leo Januari 30, 2025 limejadili na kupitisha rasimu ya makadirio bajeti kwa mwaka 2025/2026 kiasi cha shilingi bilioni 68,393,812,906.00. Na: Ester Mabula – Geita Bajeti hiyo ina ongezeko la 13.2% zaidi…
30/01/2025, 15:43
“Ikifika muda kila mtu anajiuliza kwani nini chanzo cha haya yote, inabidi tumtumaini Mungu, kwani yeye ndiye mpangaji wa kila jambo” – Askofu Kanisa Katoliki Geita Na: Mrisho Sadick – Geita Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt Doto…
29/01/2025, 17:08
“Tulipofika njia panda aliniambia anaona giza mbele yake na ghafla akalegea – Dereva” Na: Ester Mabula – Geita Mwanaume mmoja anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 35 amedaiwa kufariki dunia akiwa kwenye chombo cha usafiri aina ya pikipiki maarufu bodaboda…
29/01/2025, 13:08
Mvua iliyoambatana na radi iliyonyesha Januari 27, 2025 ilipelekea athari ikiwemo vifo pamoja na majeruhi ya wanafunzi wa shule ya sekondari Businda iliyopo wilayani Bukombe mkoani Geita. Na: Mrisho Sadick – Geita Miili ya wanafunzi saba waliofariki kwa ajali ya…
29/01/2025, 12:45
Wananchi katika maeneo mbalimbali mkoani Geita wameendelea kupokea msaada wa kisheria juu ya masuala mbalimbali kupitia kampeni ya msaada wa kisheria ya mama Samia Lega Aid. Na: Kale Chongela – Geita Wakazi wa kata ya Nyabulanda wilaya ya Nyang’hwale mkoani…
28/01/2025, 12:31
Licha ya serikali kupitia wizara ya Afya kusisitiza juu ya umuhimu wa kila kaya kuwa na choo bora, bado utekelezaji wa agenda hii umekuwa wa kusua sua. Na: Amon Mwakalobo – Geita Wapangaji wanaoishi kwenye nyumba moja iliyopo maeneo ya…
28/01/2025, 10:15
Januari 27, 2025 mvua iliyoambatana na radi imenyesha katika baadhi ya maeneo mkoani Geita na kupelekea athari mbalimbali ikiwemo vifo. Na: Ester Mabula – Geita Wanafunzi saba katika shule ya sekondari Businda iliyopo kitongoji cha Shikaliguga kata ya Ushirombo wilayani…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.