Storm FM

Recent posts

15 January 2025, 11:08 am

Zifahamu fursa za Geita kuwa Manispaa

Disemba 13, 2024 waziri wa TAMISEMI Mhe. Mohamed Mchengerwa alitoa taarifa ya kupandisha hadhi halmashauri ya mji wa Geita kuwa manispaa. Na: Ester Mabula – Geita Mstahiki meya wa manispaa ya Geita Costantine Morandi amesema kuwa imekuwa neema kwa halmashauri…

15 January 2025, 10:57 am

CCM yazindua jengo la kitega uchumi Jumuiya ya wazazi Geita

Watumishi wa  Umoja wa Jumuiya wa wazazi kupitia chama cha mapinduzi (CCM mkoa wa Geita  wametakiwa kutunza na Kulinda Nyumba za Jumuiya hiyo na wala wasigeuze Matumizi yake. Na: Nicholaus Lyankando – Geita Wakizungumza katika uzinduzi wa Jengo jipya  la…

15 January 2025, 10:48 am

Baba mkwe adaiwa kumtaka kimapenzi mkwe wake Geita

Migogoro ya kifamilia bado ni changamoto kwa baadhi ya maeneo hali ambayo imekuwa ikikwamisha jitihada za utafutaji. Na: Kale Chongela – Geita Mwanamke Kabula Makelemo (21) mkazi wa mtaa wa Mpomvu kata ya Mtakuja Manispaa ya Geita amejikuta katika wakati…

15 January 2025, 10:25 am

Wezi waiba ng’ombe kisha kuchinja usiku mtaa wa Magogo A

Matukio ya wizi katika mtaa wa Magogo A kata ya Buhalahala manispaa ya Geita mkoani Geita yadaiwa kuwa mwiba kwa wakazi wa eneo hilo ambapo kwa sasa hofu imetanda. Na: Paul William – Geita Familia nne tofauti katika mtaa wa…

13 January 2025, 5:39 pm

Wananchi Mpomvu washiriki ujenzi wa kituo cha Afya

Baada ya kuwepo kwa changamoto ya kutembea umbali mrefu kufuata huduma za afya katika maeneo jirani, hatimaye kata ya Mtakuja yaanza ujenzi wa kituo cha Afya. Na: Kale Chongela – Geita Wananchi wa mtaa wa Mpomvu kata ya Mtakuja manispaa…

13 January 2025, 5:38 pm

TARURA yachukizwa wanaoziba mitaro Geita

Wakazi wa Geita wameelea kuhimizwa kutunza miundombinu ya barabara sambamba na kutoa taarifa pindi wanapobaini uharibifu wa miundombinu. Na: Kale Chongela – Geita Wakala wa barabara za mjini na vijijini TARURA wilaya ya Geita imekemea vikali tabia ya badhi ya…

11 January 2025, 4:10 pm

Madereva bajaji wachangia damu kunusuru wagonjwa Geita

Uhitaji ya damu salama umeendelea kusisitizwa kwa wananchi kujitokeza ili kujitolea kwaajili ya kuweza kunusuru wagonjwa wenye uhitaji wa damu salama. Na: Edga Rwenduru – Geita Madereva wa pikipiki zenye magurudumu matatu bajaji mkoa wa Geita wametakiwa kuwa na utamaduni…

11 January 2025, 3:53 pm

Kocha mpya Geita Gold FC kuonekana kesho Januari 12, 2025

Ligi ya NBC Championship inatarajiwa kuendelea kesho, ambapo wachimba dhahabu Geita Gold FC wanatarajiwa kuwa wenyeji wa Ccama la wana Stand United ya Shinyanga. Na: Edga Rwenduru – Geita Afisa habari wa klabu ya Geita Gold FC Samwel Dida amesema…

11 January 2025, 2:41 pm

Wafanyabiashara CCM Katoro waomba punguzo la kodi/ushuru

Mwekezaji wa soko la CCM Katoro katika mamlaka ya mji mdogo wa Katoro alalamikiwa na wafanyabiashara katika soko hilo wakimtuhumu kutumia mabavu katika ukusanyaji wa kodi. Na: Ester Mabula – Geita Wafanyabiashara na machinga wanaofanya kazi katika soko la CCM…

10 January 2025, 12:53 pm

Mume adaiwa kumuua mke wake Katoro

Migogoro ya kifamilia imeendelea kutajwa kuwa chanzo cha anguko la familia ambapo hupelekea changamoto mbalimbali ikiwemo ongezeko la vitendo vya ukatili miongoni mwa wanandoa. Na: Daniel Magwina – Geita Mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Adventina Nicholaus mwenye umri wa…

STORM FM OVERVIEW

Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.

Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.

Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.

OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.

ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.