Storm FM
Storm FM
6 March 2025, 12:05 pm
BAKWATA mkoa wa Geita kupitia mradi wa TABASAMU KWA WOTE waanzisha kituo cha ushonaji na ujasiriamali ili kusaidia vijana wa kike. Na: Edga Rwenduru – Geita Kutokana na kuwepo kwa wimbi la vijana wa kike wanaomaliza elimu ya msingi na…
5 March 2025, 12:27 pm
Hadi kufikia Desemba 2022 jumla ya wakulima 6,323 na eneo la ekari 11,896 lilikuwa limetengwa kwa ajili ya kilimo cha alizeti Geita, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuongeza uzalishaji na kujitosheleza kwa mafuta ya kula nchini. Na: Daniel Magwina…
5 March 2025, 11:20 am
Licha ya serikali kuendelea kutoa elimu juu ya athari za vitendo vya ukatili hususani kwa watoto, bado baadhi ya wananchi wameendelea kutenda matukio hayo. Na: Emmanuel Twimanye – Sengerema Mtoto mwenye umri wa miaka 14 katika mtaa wa Misheni wilayani Sengerema…
1 March 2025, 11:24 am
Mamlaka ya mapato Tanzania mkoa wa Geita imeendelea kurejesha shukrani kwa Jamii kwa kuwakumbuka watu wenye mahitaji mbalimbali kupitia misaada. Na: Edga Rwenduru – Geita Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) mkoa wa Geita imetoa msaada wa vifaa tiba katika hospitali…
25 February 2025, 3:06 pm
Hatimaye wananchi wa kata 8 za wilaya ya Geita na Chato wamepata neema ya kuondokana na changamoto ya muda mrefu ya ukosefu wa maji safi na salama. Na: Edga Rwenduru – Geita Wakazi zaidi ya laki mbili kutoka kata 8…
25 February 2025, 2:57 pm
Kamanda wa Jeshi la polisi mkoa wa Geita, Kamishna mwandamizi wa polisi SACP Safia Jongo Februari 24, 2025 ametoa taarifa kwa vyombo vya habari juu ya matukio mbalimbali. Na: Ester Mabula – Geita Jeshi la polisi mkoa wa Geita linawashikilia…
22 February 2025, 11:56 am
Mashirika mbalimbali ya kiraia yameendelea kuisaidia serikali katika uboreshaji wa miundombinu katika sekta mbalimbali ikiwemo elimu ili kurahisisha upatikanaji wa huduma. Na: Edga Rwenduru – Geita Shule ya msingi Ikulwa iliyopo kata ya Ihanamilo wilayani Geita yenye wanafunzi zaidi ya…
22 February 2025, 11:41 am
Migogoro ya familia hususani baina ya mke na mue imeendelea kutajwa kuwa kikwazo cha maendeleo kutokana na mifarakano ambayo wanandoa hupitia. Na: Amon Mwakalobo – Geita Mwanaume mmoja aliyefahamika kwa jina moja la Nehemia ambaye ni mkazi wa Msalala road,…
21 February 2025, 9:55 pm
Jeshi la polisi latumia nguvu kuwatuliza wanafunzi waliozua vurugu katika shule ya sekondari Geita huku wengine wakitiwa mbaroni. Na Edga Rwenduru: Jeshi la Polisi mkoani Geita linawashikilia wanafunzi 30 wa Shule ya Sekondari Geita GESECO kwa tuhuza za kuwashambulia na…
19 February 2025, 12:56 pm
Inaelezwa kuwa bampa la choo cha nyumba yenye wapangaji limegongwa na gari na kupelekea kuangukia ndani ya shimo la choo. Na: Paul William – Geita Tukio hilo limetokea mtaa wa Elimu, kata ya Nyankumbu, halmashauri ya manispaa ya Geita ambapo…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.