Storm FM
Storm FM
31/03/2025, 15:48
Katika sikukuu hii ya Eid na Pasaka Rais Dkt Samia ameebdelea kuwakumbuka watoto wenye uhitaji ikiwemo yatima. Na Mrisho Sadick: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan ametoa zawadi zenye thamani ya zaidi ya milioni 13…
31/03/2025, 15:34
Waumini wa dini ya Kiislamu Nchini leo Jumatatu wanasherekea sikukuu ya Eid Al Fitr huku siku hii ikiwa imetaliwa na ujumbe tofautitofauti. Na Mrisho Sadick: Waumini wa dini ya kiislamu Mkoani Geita wametumia swala ya Eid Al Fitr kuwaombe watu…
31/03/2025, 15:01
Vijana wameamua kutumia fursa zilizopo kijiji kwao kupambana na changamoto ya ajira Na Edga Rwenduru – Geita Vijana Taasisi ya TK Movement wasiyokuwa na ajira katika kijiji cha Nyanguku Manispaa ya Geita mkoani Geita wameanzisha miradi ya ufugaji wa Mbuzi,kuku…
29/03/2025, 13:47
Kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi Oktoba nchini Tanzania, viongozi wa dini ya Nyanguku wameungana kuliombea Taifa. Na: Edga Rwenduru – Geita Viongozi wa dini mbalimbali katika kata ya Nyanguku iliyoko halmashauri ya manispa ya Geita wamekutana kwaajili ya kuliombea…
29/03/2025, 13:35
Bei ya nyanya imepanda katika halamshauri ya manispaa ya Geita tofauti na ilivyokuwa mwezi uliopita hali ambayo inapelekea wasiwasi kwa watumiaji na wauzaji. Na: Kale Chongela – Geita Wajasiriamali waliopo katika soko la asubuhi Nyankumbu katika halmashauri ya manispaa ya…
26/03/2025, 17:38
Jeshi la polisi linaendelea na uchunguzi kuhusu usafirishaji wa dhahabu kwa njia ya magendo wilayani Bukombe Mkoani Geita. Na Mrisho Sadick: Watu watatu wanashikiliwa na jeshi la polisi Mkoani Geita Kwa tuhuma za kusafirisha dhahabu yenye thamani ya zaidi ya…
24/03/2025, 16:52
Ikiwa leo Tanzania na dunia kwa ujumla inaadhimisha siku ya ugonjwa wa kifua kikuu (TB) imeelezwa kuwa kundi la wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu lipo kwenye hatari zaidi ya kupata maambukizi ya ugonjwa huo kutokana na idadi kubwa ya…
24/03/2025, 15:11
Wajasiriamali waliopo katika soko la asubuhi Nyankumbu kata ya Nyankumbu, katika halmashauri ya manispaa ya Geita wamedai kutoridhishwa na utaratibu unaofanyika wa ugawaji wa maeneo ya kuuzia bidhaa. Na: Kale Chongela – Geita Wakizungumza na Storm FM leo Machi 24,…
24/03/2025, 12:55
“Wanachama na mashabiki wa Yanga ndani ya mkoa wa Geita, tunaungana na viongozi wetu wa makao makuu, hatuhitaji busara kutatua mgogoro huu unaoendelea” – Rajabu Mohamed Na: Edga Rwenduru – Geita Uongozi wa matawi ya wanachama wa klabu ya soka ya…
24/03/2025, 12:38
“Tulikuwa tunapata changamoto sana ya kubeba wajawazito kutokana na ubovu wa barabara hii ambayo imetusumbua kwa muda mrefu” – Mwananchi Na: Ester Mabula – Geita Wananchi wa kitongoji cha Bukingwaminzi, Kijiji cha Narusunguti, kata ya Busonzo wilayani Bukombe mkoani Geita…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.