Storm FM
Storm FM
25 September 2025, 3:53 am
Mgombea udiwani kata ya Bukoli (CCM) Faraji Seif amewaomba wananchi wa kata hiyo kuendeleza imani na Chama cha mapinduzi kwa kuweza kuwachagua katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025. Na: Ester Mabula Mgombea wa udiwani kata ya Bukoli kupitia Chama…
24 September 2025, 10:20 am
Changamoto kubwa kwa wananchi wa Nyankumbu ni usalama na mazingira bora ya kufanyia biashara, hivyo utekelezaji wa ahadi hizo utakuwa mkombozi Na Mrisho Sadick: Mgombea Udiwani wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Kata ya Nyankumbu, Manispaa ya Geita mkoani Geita,…
24 September 2025, 9:45 am
Vyama mbalimbali vya siasa nchini Tanzania vimeendelea kunadi sera na ilani za vyama vyao ikiwa ni kipindi cha kampeni kuelekea uchaguzi mkuu Oktoba 29, 2025. Na: Ester Mabula Mgombea udiwani wa kata ya Butobela, jimbo la Busanda, wilaya ya Geita,…
22 September 2025, 11:37 pm
Septemba 22, 2025 Waziri mkuu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania mhe. Kassim Majaliwa amezindua rasmi maonesho ya 8 ya teknolojia na uwekezaji katika sekta ya madini yanayofanyika katika viwanja vya Dkt. Samia Suluhu manispaa ya Geita. Na: Ester Mabula…
21 September 2025, 8:13 am
Equity Benki imejipanga kuhakikisha wananchi wa Geita hususani wachimbaji wadogo na wakati wa madini ya dhahabu wananufaika na huduma rafiki . Na Mrisho Sadick: Mkuu wa Mkoa wa Geita, Martine Shigela, ameutaka uongozi wa Equity Bank kuhakikisha unaleta ubunifu mpya…
20 September 2025, 8:37 pm
Serikali imenunua mitambo 15 kwa ajili ya wachimbaji wadogo na itaendelea kuwaunga mkono kila hatua Na Mrisho Sadick: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa leseni 17 na vifaa vya kisasa vya uchimbaji wa madini…
19 September 2025, 2:08 pm
Mamlaka hiyo itaendelea kuwa karibu na wafanyabiashara wadogo kupitia ufuatiliaji wa karibu ili kuhakikisha changamoto zao zinapatiwa ufumbuzi. Na Mrisho Sadick: Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Geita imezindua rasmi dawati maalumu la uwezeshaji biashara kwa lengo la kuwasaidia…
19 September 2025, 1:49 pm
Dhamira ya Storm FM ni kuendelea kuwa chombo madhubuti cha mawasiliano kwa jamii kwa kuhakikisha kuwa wananchi wanapata taarifa sahihi elimu ya kujikinga na majanga. Na Mrisho Sadick: Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Geita leo Septemba 18, 2025,…
18 September 2025, 7:38 pm
Storm FM imekuwa daraja la kuunganisha jamii ya Geita kupitia vipindi vyake vya elimu, michezo, habari na burudani, jambo ambalo limewasaidia kuongeza mshikamano. Na Boaz Azalia: Wananchi mkoani Geita wameipongeza Storm FM kwa kutimiza miaka 11 leo tangu ianze kurusha…
18 September 2025, 7:22 pm
Zaidi ya wanawake 700,000 wamejiandikisha katika daftari la kudumu la mpiga kura Mkoani Geita hali ambayo inawapa matumaini UWT Na Mrisho Sadick: Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) imeweka mkakati wa kutafuta kura milioni 16 kwa ajili ya mgombea…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.