Storm FM

Recent posts

25 March 2021, 3:01 pm

Wakulima wilayani Chato walalamikia ubovu wa miundombinu ya barabara

Wakulima wa kata za Kachwamba na Kasenga wilayani Chato mkoani Geita  wanalazimika kuuza dumu la mahindi kwa shilingi 3500 badala ya 8000  kutokana na miundombinu mibovu ya barabara ambayo haiwawezeshi kusafirisha bidhaa hiyo kwa uharaka. Wakizungumza  na Storm Fm kwa…

24 March 2021, 10:12 pm

Wakazi wa Mwanza wamejitokeza kwa wingi kumuaga Dkt Magufuli

Wakazi wa Jiji la Mwanza na maeneo ya mikoa jirani ya Shinyanga,Simiyu na Tabora wamejitokeza kwa wingi katika Uwanja wa CCM Kirumba kumuaga Dkt John Pombe Magufuli aliekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania aliefariki dunia Machi 17-2021 kwa…

24 March 2021, 6:45 pm

Waganga na wakunga wa tiba asili Tanzania wamlilia Dkt. Magufuli

Na Mrisho Sadick – Geita Siku chache baada ya kufariki aliekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, Umoja wa waganga na wakuga wa tiba asili Tanzania (UWAWATA) umesema kufariki kwa kiongozi huyo  ameacha pengo kubwa…