Storm FM
Storm FM
24 April 2024, 4:18 pm
Majanga ya moto yamekuwa yakileta athari ikiwemo kusababisha umasikini kutokana na baadhi ya watu kushindwa kukabiliana nayo kwakuwa hawana elimu ya kupambana na majanga hayo. Na Mwandishi Wetu: Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kushirikiana na Wakala wa…
23 April 2024, 4:21 pm
Malezi sahihi ya mtoto hutajwa kuwa kiungo muhimu katika kujenga taifa la kesho, hivyo wazazi na walezi wanahimizwa kuzingatia suala la malezi na makuzi ya mtoto kwenye misingi ya kumpendeza Mwenyezi Mungu. Na Joel Maduka – Geita Jamii imekumbushwa kuwa…
23 April 2024, 10:16 am
Serikali kupitia Wizara ya Afya nchini imeendeleza ajenda ya kuhamasisha jamii kuzingatia kanuni bora za kiafya ikiwemo matumizi ya vyoo bora, kunawa mikono nyakati muhimu na kutunza mazingira ili kujilinda na magonjwa ya kuharisha na kutapika. Na Kale Chongela –…
22 April 2024, 5:58 pm
Baada ya Serikali kupitia Wizara ya TAMISEMI kutangaza kurejesha mikopo ya asilimia 10 kwa makundi ya vijana, wanawake na watu wenye ulemavu, UVCCM mkoa wa Geita yaagiza Halmashauri za Geita kutenda haki kwenye utoaji wa mikopo hiyo. Na Kale Chongela…
19 April 2024, 10:25 am
Tanzania inajiandaa na uchaguzi wa serikali za mitaa kuelekea uchaguzi mkuu 2025 kwa mujibu wa Katiba ya nchi ambapo uchaguzi hufanyika kila baada ya miaka mitano. Na Adelina Ukugani – Geita Kuelekea katika uchaguzi wa serikali za mitaa ukaofanyika mwezi…
18 April 2024, 4:51 pm
Licha ya mvua kuwa ni neema lakini imegeuka kuwa kilio kwa wananchi wengi mkoani Geita kutokana na mvua hiyo kuacha simanzi kila inaponyesha. Na Mrisho Sadick – Geita Zaidi ya Ekari sita za mashamba ya mazao ya chakula na biashara…
16 April 2024, 9:05 pm
Kuendelea kutokea kwa majanga ya asili hapa nchini baadhi ya wananchi wameanza kuinyoshea kidole serikali huku baadhi ya viongozi wa dini wakionya. Na Nickolaus Lyankando – Geita Watanzania wametakiwa kuacha tabia ya kuilaumu serikali kutokana na majanga ya asili ambayo…
16 April 2024, 3:49 pm
Uhaba wa vituo vya afya kwa baadhi ya maeneo ya mkoa wa Geita umeendelea kusababisha changamoto mbalimbali ikiwemo vifo vya akina mama wajawazito na watoto. Na Edga Rwenduru – Geita Wakazi wa kijiji cha Lubanda kata ya Busanda wilayani na…
15 April 2024, 5:11 pm
Redio za kijamii zimekuwa na manufaa makubwa hapa nchini kwa kuwa zinajikita kuangazia changamoto za wananchi moja kwa moja katika maeneo husika na kuzifikisha kwa mamlaka husika ili zipatiwe ufumbuzi. Na Mrisho Sadick: Jukwaa la Redio za Kijamii Tanzania TADIO…
15 April 2024, 3:11 pm
Watoto mkoani Geita wamekuwa wahanga huku wengine wakipoteza maisha kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha. Na Mrisho Sadick – Geita Watoto wawili wa familia moja katika kijiji cha Nyakabale Kata ya Mgusu wilayani na Mkoani Geita wamefariki dunia baada ya kusombwa…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.