Storm FM
Storm FM
6 June 2024, 10:55 am
Utunzaji wa mazingira ni suala mtambuka kwani idadi kubwa ya wakazi wa Geita hawatambui umuhimu wa kutunza mazingira lakini wadau mbalimbali ikiwemo GGML wanaendelea kuondoa fikra hiyo. Na Gabriel Mushi – Geita Shughuli za uchimbaji madini hutakiwa kwenda sambamba na…
6 June 2024, 10:22 am
Msongo wa mawazo ni miongoni mwa sababu zinazotajwa katika baadhi ya matukio kuwa chanzo cha maamuzi yasiyo sahihi ambayo hufanywa na watu kutokana na shida, taabu, dhiki, matatizo au changamoto zinazomkabili katika maisha ya kila siku. Na: Amon Mwakalobo – Geita…
6 June 2024, 9:57 am
Serikali imeendelea kuimarisha utoaji chanjo kwa makundi mbalimbali ya watu katika jamii ikiwemo watoto chini ya umri wa miaka mitano ili kuwakinga na maradhi mbalimbali. Na: Edga Rwenduru – Geita Watoto zaidi ya 55,000 wenye umri chini ya miaka 5…
5 June 2024, 11:29 am
TCRA kanda ya ziwa imeendelea kutembelea mikoa ya ukanda huo na kutoa elimu kwa waandishi wa habari kuendelea kuzingatia miiko ya habari na weledi katika kutoa taarifa. Na: Kale Chongela – Geita Mamlaka ya mawasiliano Tanzania TCRA imewataka waandishi wa…
3 June 2024, 4:24 pm
Licha ya matarajio ya kukamilika wa mradi mkubwa wa maji maarufu kwa Bwawa la Nyanakanga ili kuweza kuwasaidia wananchi, bado hali ni tete kutokana na mkandarasi kusua sua katika utekelezaji wa mradi huo. Na: Kale Chongela – Geita Mkuu wa…
3 June 2024, 1:20 pm
Uhaba wa vifaa vya kujifunzia na mazingira duni ya kuishi bado ni kikwazo kwa watoto yatima na watoto waishio katika mazingira magumu. Na: Egda Rwenduru – Geita Kikundi cha Firidausi kinachoundwa na umoja wa vijana wa dini ya kiislamu wilaya…
30 May 2024, 11:15 am
Licha ya wadau, serikali na mashirika mbalimbali kukemea vitendo vya ukatili hususani kwa wanawake, bado baadhi ya wanaume katika kijiji cha Nyamtukuza wanaendeleza ukatili wa kupiga wake zao. Na: Evance Mlyakado – Geita Kufuatia kadhia hiyo, kamanda wa jeshi la…
30 May 2024, 10:21 am
Licha ya serikali kuendelea kuboresha miundombinu ya elimu katika maeneo mbalimbali nchini, bado baadhi ya vijiji vinakabiliwa na changamoto. Na: Evance Mlyakado – Geita Wakazi wa kijiji cha Ibondo kitongoji cha Lumasa kata ya Buseresere wilaya ya Chato mkoani Geita…
29 May 2024, 1:59 pm
Migogoro ya ardhi hutajwa kupelekea changamoto mbalimbali ikiwemo kuvunjwa majengo, ujenzi kusimama na wakati mwingine watu hufikishana mahakamani ili kupata suluhu. Na: Kale Chongela – Geita Ujenzi uliokuwa ukiendelea wa kanisa la Pentekoste FPCT mtaa wa Mbugani kata ya Kalangalala…
27 May 2024, 3:31 pm
Licha ya uwepo wa migodi ya uchimbaji wa madini katika maeneo mengi mkoani Geita lakini shughuli hizo zimekuwa mwiba mchungu kwa wakulima na wafugaji katika kata ya Izunya. Na Mrisho Sadick: Wakulima na wafugaji wa kijiji cha Mwamakiliga kata ya…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.