Storm FM
Storm FM
13 June 2024, 10:25 am
Usafiri wa pikipiki maarufu bodaboda umeendelea kurahisisha maisha ya wananchi wengi kutokana na uharaka wa kufika kutoka eneo moja hadi linguine huku ukitoa ajira kwa baadhi ya vijana. Na: Amon Mwakalobo – Geita Baadhi ya wananchi katika halmashauri ya mji…
12 June 2024, 11:56 am
Kutokana na kundi la watoto na vijana kuwa katika hatari zaidi ya kuharibikiwa serikali , taasisi za kiraia , wadau na wazazi wameingilia kati kunusuru kundi hilo. Na Mrisho Sadick: Jodade Foundation imewakutanisha watoto na vijana kuanzia miaka 12 hadi…
12 June 2024, 11:41 am
Ili kuendelea kujenga na kukuza ustawi wa taifa wawekezaji sekta binafsi wanapaswa kushirikiana na serikali kikamilifu kama inavyofanya kampuni ya GGML katika kusapoti tafiti na ubunifu Na Gabriel Mushi: KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imeahidi kuendelea kushirikiana na…
12 June 2024, 11:02 am
Baadhi ya maeneo ya mtaa wa Nyantorotoro B kata ya Nyankumbu katika halmashauri ya mji wa Geita bado yana ukosefu wa umeme ambapo serikali imeanza jitihada za kupeleka nguzo katika maeneo hayo ili kuondoa changamoto ya umeme. Na: Kale Chongela…
12 June 2024, 10:17 am
Jumuiya ya wazazi ya CCM ya wilaya ya Geita imeendelea na ziara ya kutembelea katika kata mbalimbali za wilaya hiyo ili kuzungumza na wanachama wake katika kuainisha na kutatua changamoto mbalimbali. Na: Evance Mlyakado – Geita Jumuiya ya wazazi wilaya…
10 June 2024, 3:51 pm
Serikali imedhamiria katika uboreshaji wa miundombinu ya barabara ambazo zimeharibika kutokana na mvua zilizonyesha nchini ili kuweka urahisi kwa wananchi kutumia barabara hizo. Na: Edga Rwenduru – Geita Serikali imeanza mpango wa kujenga barabara ya Ushirombo-Nyikonga mpaka Katoro kwa kiwango…
10 June 2024, 3:34 pm
Matukio ya utapeli wa fedha yanaendelea kushamiri kwa sura tofauti tofauti licha ya jitihada za serikali kuendelea kuwabaini na kuwachukulia hatua watu wanaojihusisha na matukio hayo. Na: Evance Mlyakado – Geita Mwanaume mmoja ambaye hajafahamika jina wala sehemu alipokuwa akitokea…
9 June 2024, 1:55 pm
Kutokana na idadi kubwa ya wanafunzi zaidi ya 440 ambao wameshindwa kuripoti shule katika wilaya ya Bukombe serikali imeanza kutumia nguvu kuwatafuta popote walipo nakuwapeleka shule. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt Doto Biteko ametoa maagizo ya watoto…
7 June 2024, 11:54 am
Uchimbaji mdogo wa madini kwenye maeneo yasiyo rasmi katika baadhi ya maeneo mkoani Geita bado ni kitendawili ambacho kinapelekea changamoto ikiwemo wachimbaji kupoteza maisha kutokana na ubovu wa miundombinu. Na: Edga Rwendru – Geita Watu wawili wamepoteza maisha baada ya…
7 June 2024, 11:15 am
Kuchelewa kwa utatuzi wa migogoro ya wananchi na TFS katika maeneo ya hifadhi imeendelea kuleta athari kwa baadhi ya wananchi ikiwemo vifo. Na Mrisho Sadick – Bukombe Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Dotto Biteko amewataka wakazi wa…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.