Storm FM

Recent posts

14 June 2024, 5:09 pm

Aomba kujengewa shimo la choo baada ya uharibifu mjini Geita

Serikali mjini Geita imeendelea na ukarabati wa barabara ambazo zimekuwa na changamoto hususani ambazo pia ziliharibiwa katika kipindi cha mvua. Na: Kale Chongela – Geita Bi. Tumaini Ndayumbayumba mkazi wa mtaa wa Mwatulole kata ya Buhalahala mjini Geita ameuomba uongozi…

14 June 2024, 10:30 am

Bodaboda atapeliwa pikipiki Msalala road mjini Geita

Suala la umakini hutajwa kuwa jambo muhimu zaidi katika eneo la kazi/biashara nk ambapo baadhi ya watu wameendelea kutapeli mali za watu kwa kutumia njia mbalimbali ikiwemo udanganyifu na kuwaacha watapeliwa njia panda. Na: Amon Mwakalobo – Geita Mwendesha pikipiki…

13 June 2024, 11:14 am

DC Geita atoa neno kwa wasimamizi wa miradi ya wilaya

Mkuu wa wilaya ya Geita Hashim Komba ameendelea kufanya ziara kwa kutembelea maeneo mbalimbali ya wilaya ya Geita na kukagua miradi ya maendeleo ambayo inaendelea kutekelezwa katika wilaya hiyo. Na: Kale Chongela – Geita Serikali wilaya ya Geita imewataka wasimamizi…

13 June 2024, 10:25 am

Wananchi mjini Geita wakerwa na tabia za bodaboda

Usafiri wa pikipiki maarufu bodaboda umeendelea kurahisisha maisha ya wananchi wengi kutokana na uharaka wa kufika kutoka eneo moja hadi linguine huku ukitoa ajira kwa baadhi ya vijana. Na: Amon Mwakalobo – Geita Baadhi ya wananchi katika halmashauri ya mji…

12 June 2024, 11:56 am

Jodade yawajengea uwezo watoto na vijana Geita

Kutokana na kundi la watoto na vijana kuwa katika hatari zaidi ya kuharibikiwa serikali , taasisi za kiraia , wadau na wazazi wameingilia kati kunusuru kundi hilo. Na Mrisho Sadick: Jodade Foundation imewakutanisha watoto na vijana kuanzia miaka 12 hadi…

12 June 2024, 11:41 am

GGML yaahidi kuendelea kushirikiana na UDSM kudhamini tafiti, ubunifu

Ili kuendelea kujenga na kukuza ustawi wa taifa wawekezaji sekta binafsi wanapaswa kushirikiana na serikali kikamilifu kama inavyofanya kampuni ya GGML katika kusapoti tafiti na ubunifu Na Gabriel Mushi: KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imeahidi kuendelea kushirikiana na…

12 June 2024, 11:02 am

Wakazi wa Nyantorotoro B mjini Geita bado hawana umeme

Baadhi ya maeneo ya mtaa wa Nyantorotoro B kata ya Nyankumbu katika halmashauri ya mji wa Geita bado yana ukosefu wa umeme ambapo serikali imeanza jitihada za kupeleka nguzo katika maeneo hayo ili kuondoa changamoto ya umeme. Na: Kale Chongela…

12 June 2024, 10:17 am

Jumuiya ya wazazi CCM wilaya ya Geita yasaidia ujenzi wa shule

Jumuiya ya wazazi ya CCM ya wilaya ya Geita imeendelea na ziara ya kutembelea katika kata mbalimbali za wilaya hiyo ili kuzungumza na wanachama wake katika kuainisha na kutatua changamoto mbalimbali. Na: Evance Mlyakado – Geita Jumuiya ya wazazi wilaya…

10 June 2024, 3:51 pm

Barabara ya Ushirombo-Nyikonga hadi Katoro kuanza kujengwa

Serikali imedhamiria katika uboreshaji wa miundombinu ya barabara ambazo zimeharibika kutokana na mvua zilizonyesha nchini ili kuweka urahisi kwa wananchi kutumia barabara hizo. Na: Edga Rwenduru – Geita Serikali imeanza mpango wa kujenga barabara ya Ushirombo-Nyikonga mpaka Katoro kwa kiwango…

10 June 2024, 3:34 pm

Anusurika kifo kwa kichapo baada ya kumtapeli wakala Chato

Matukio ya utapeli wa fedha yanaendelea kushamiri kwa sura tofauti tofauti licha ya jitihada za serikali kuendelea kuwabaini na kuwachukulia hatua watu wanaojihusisha na matukio hayo. Na: Evance Mlyakado – Geita Mwanaume mmoja ambaye hajafahamika jina wala sehemu alipokuwa akitokea…

STORM FM OVERVIEW

Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.

Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.

Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.

OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.

ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.