Storm FM
Storm FM
3 July 2024, 10:16 am
Halmashauri ya wilaya ya Geita katika vijiji vya Nzera, Sungusira na Igate vinatajwa kwa ulimaji wa nanasi ambapo baadhi ya wananchi hujihusisha na kilimo hicho ili kujipatia kipato. Na: Evance Mlyakado – Geita Changamoto ya ukosefu wa soko la uhakika…
3 July 2024, 9:58 am
Suala la usafi wa mazingira ni jambo ambalo linahimizwa na viongozi kwa jamii kuzingatia ili kuweza kujiepusha na maradhi mbalimbali. Na: Amon Mwakalobo – Geita Mwanaume mmoja kwa jina Elia Mayoyo (51) mkazi wa mtaa wa Msalala Road halmashauri ya…
1 July 2024, 3:47 pm
Sera ya matibabu bure kwa wazee nchini bado inagubikwa na vikwazo mbalimbali ambapo walengwa ambao ni wazee mkoani Geita wameeleza changamoto wanazopitia. Na: Edga Rwenduru – Geita Baadhi ya wazee wanaoishi katika kata za Kalangalala, Mtakuja na Bombambili katika halmashauri…
1 July 2024, 10:32 am
Ujenzi wa zahanati katika kijiji cha Sungusira kata ya Nzera halmashauri ya wilaya ya Geita unatarajiwa kuondoa adha ya kutembea umbali mrefu kwa wananchi wa eneo hilo kufuata huduma za afya katika vijiji jirani. Na:Evance Mlyakado -Geita Wananchi wa kijiji…
27 June 2024, 4:14 pm
Jeshi la polisi mkoani Geita limeagiza madiwani wote katika halmashauri zote za mkoa wa Geita kuhakikisha wanahakiki makampuni ya ulinzi yaliyopo katika maeneo yao ili kuepukana na vitendo vya uhalifu. Na: Edga Rwenduru – Geita Hayo yamebainishwa na Kamanda wa…
27 June 2024, 2:21 pm
Sakata la mgomo kwa wafanyabiasha lililoanzia soko la kariakoo jijini Dar es salaam limeendelea kuchukua sura mpya katika maeneo mbalimbali nchini Tanzania. Na: Evance Mlyakado – Geita Wafanyabiashara wa Mamlaka ya mji mdogo wa Katoro mkoani Geita jana Juni 26,…
25 June 2024, 1:12 pm
Licha ya jitihada za Jeshi la polisi mkoani Geita kuendelea kuimarisha ulinzi, bado vitendo vya wizi na uporaji vinaendelea kujitokeza katika baadhi ya maeneo mkoani Geita. Na: Evance Mlyakado – Geita Watu wanne akiwemo Ezekieli Misalaba maarufu kama ‘Mr. Masamaki”…
25 June 2024, 11:45 am
Kikundi cha TUWALEE kilichopo mjini Geita kimetoa msaada wa mahitaji mbalimbali kwa makundi ya watu wenye uhitaji mkoani Geita. Na: Edga Rwenduru – Geita Kikundi hicho chenye zaidi ya wanawake 30 ambao ni wafanyabiashara na wajasiriamali kimetoa msaada huo Juni…
24 June 2024, 4:33 pm
Matukio ya ukatili ikiwemo vitendo vya mauaji bado ni changamoto kwa baadhi ya mkoani Geita hali inayozua hofu kwa wananchi. Na: Kale Chongela – Geita Mwenyekiti wa mtaa wa Mwatulole uliopo kata ya Buhalahala mjini Geita, Noel Ndasa ameuawa kwa…
24 June 2024, 7:34 am
Viongozi wazembe wanaokwamisha miradi na wenye dharau wamekalia kuti kavu mkoani Geita baada ya katibu wa NEC kuagiza wasakwe na wachukuliwe hatua. Na Mrisho Sadick: Katibu wa NEC Organization na mlezi wa CCM Mkoa wa Geita Issa Haji Ussi GAVU…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.