Storm FM

Recent posts

21 August 2024, 4:24 pm

Mkoa wa Geita wavuka lengo zoezi la uandikishaji

Wananchi mkoani Geita wameitikia wito kwa kujitokeza kwa wingi katika zoezi la uandikishaji a uboreshaji wa taarifa za mpiga kura mkoani Geita. Na: Kale Chongela – Geita Mkoa wa Geita umevuka lengo katika zoezi la uandikishaji wa daftari la kudumu…

17 August 2024, 1:19 pm

Mikopo yenye riba nafuu kuwainua wananchi Geita

Kufuatia kukua na kuimarika kwa maendeleo ya teknolojia nchini kumewezesha wananchi wengi kupata huduma za kibenki kwa njia salama na kuwa na uhakika wa usalama wa fedha zao. Na: Kale Chongela – Geita Afisa mtendaji mkuu wa Benki ya mwalimu…

16 August 2024, 1:49 pm

Dereva anusurika kifo baada ya kujeruhiwa na wasiojulikuana Geita

Matukio ya madereva pikipiki maarufu bodaboda kuvamiwa na kujeruhiwa huku baadhi yao wakiporwa pikipiki yanaacha hofu kwa madereva huku wakiomba mamlaka za serikali kuwasaidia. Na: Amon Mwakalobo – Geita Kijana ambaye amefahamika kwa jina la Issa Lameck mkazi wa kata…

15 August 2024, 2:30 pm

Mapato ya madini ujenzi, Geita Mji yapaa

Madini ujenzi ikiwemo mawe , kokoto , mchanga na moramu chanzo cha mapato kilichokuwa hakitazamwi sana katika halmashauri ya mji wa Geita. Na Mrisho Sadick: Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Mji wa Geita mkoani Geita limempongeza Mkurugenzi Mtendaji wa…

14 August 2024, 11:28 am

Kijana apewa kichapo kwa tuhuma za kuiba Tsh. 70,000 Katoro

Soko la CCM ni soko mama lililopo katika mamlaka ya mji mdogo wa Katoro ambalo limekuwa likitumiwa na watu kutoka katika vijiji vya Magenge, Nyamalulu, Kaseme, Kasesa, Mabamba nk Na: Nicolaus Lyankando – Geita Kijana mmoja ambaye hakufahamika jina lake…

13 August 2024, 4:35 pm

Wafanyabiashara Geita walalamikia utitiri wa kodi

Wafanyabiashara wa madini mkoani Geita wameiomba serikali kupunguza utitiri wa kodi katika biashara ya madini kwani imekuwa chanzo cha baadhi ya wafanyabiashara kutorosha madini kwa lengo la kukwepa kodi. Na: Edga Rwenduru – Geita Baadhi ya wafanyabiashara wa madini mkoani Geita…

13 August 2024, 9:59 am

Taasisi za fedha zakumbushwa kuwainua wakulima

Serikali yahimiza taasisi za kifedha nchini kutokuwabagua wakulima kwani kwa kuwawezesha itasaidia kukuza sekta ya kilimo nchini kwa ujumla. Na: Kale Chongela – Geita Taasisi za kifedha zimetakiwa kuwapa kipaumbele wakulima katika suala la mikopo ili kukuza uchumi wa kila…

12 August 2024, 4:42 pm

GGML yafadhili mafunzo kukabiliana na majanga ya moto

Jumla ya watumishi 78 kutoka halmashauri ya mji wa Geita wamepewa mafunzo ya namna ya kukabiliana na majanga ya moto. Na: Ester Mabula – Geita Kampuni ya uchimbaji madini ya dhahabu ya GGML iliyopo mkoani Geita, kwa kushirikiana na Jeshi…

9 August 2024, 9:48 am

Vumbi lawa kikwazo kwa watumiaji wa stendi Geita mjini

Miundombinu mibovu kwenye stendi ya magari ya abiria mkoani Geita imetajwa kuwa kikwazo kwenye utoaji wa huduma. Na: Kale Chongela – Geita Watumiaji wa kituo kikubwa cha magari ya abiria mkoani Geita wamedai kukabiliwa na uwepo wa vumbi linalosababishwa na ubovu…

8 August 2024, 1:36 pm

RUWASA yaanza kutatua changamoto ya maji Nyarugusu

Wakazi wa kata ya Nyarugusu halmashauri ya wilaya ya Geita wameiomba serikali kutatua changamoto ya muda mrefu ya ukosefu wa maji safi na salama katika kijiji hicho kwani maji wanayotumia kwa sasa yanahatarisha afya zao. Na: Edga Rwenduru – Geita…

STORM FM OVERVIEW

Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.

Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.

Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.

OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.

ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.