Storm FM
Storm FM
25 July 2024, 10:34 am
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana CCM mkoa wa Geita Manjale Magambo amewataka vijana kujitokeza katika kwenda kujiandikisha katika daftari la mpinga kura. Na: Kale Chongela – Geita Mwenyekiti wa UVCCM Manjale Magambo akiwa katika mkutano wa hadhara uliofanyika Julai 22,…
23 July 2024, 2:53 pm
Suala la uchafuzi wa mazingira limeendelea kupigwa vita ili kuhakikisha kuwa Jamii inakuwa salama na kujiepusha na magonjwa ya mlipuko. Na: Amon Bebe – Geita Baadhi ya wananchi wa mitaa ya Mbugani na Msalala road halmashauri ya mji wa Geita…
23 July 2024, 7:51 am
Mnamo mwezi Mei mwaka huu wakazi wa Nyantorotoro A walifunga barabara kuu ili kushinikiza matengenezo ya barabara hiyo kutokana na kuchoshwa na ajali za mara kwa mara eneo hilo. Na: Kale Chongela – Geita Baada ya TANROADS kufanya marekebisho ya…
23 July 2024, 7:33 am
Wizara ya maji nchini imedhamiria kukamilisha miradi yote ya maji ambayo imeanzishwa ili wananchi wote wapate huduma ya maji safi na salama. Na: Kale Chongela -Geita Naibu waziri wa maji mhandisi Kundo Mathew ameutaka uongozi wa GEUWASA NA RUWASA kufanya…
20 July 2024, 10:32 am
Usafiri wa pikipiki maarufu bodaboda umeendelea kurahisisha maisha ya watu ambapo umekuwa ukitumika mara nyingi na kutoa ajira kwa vijana wengi. Na: Kale Chongela – Geita Madereva pikipiki mjini Geita wametakiwa kuendelea kuzingatia taratibu ambazo wamekuwa wakipewa kwenye vikao vyao ili…
19 July 2024, 5:05 pm
Zaidi ya milioni 100 kutoka mfuko wa TASAF wilaya ya Bukombe zimesaidia ujenzi wa jengo la Zahanati ya kijiji cha Narusunguti kilichopo kata ya Busonzo hapa mkoani Geita. Na: Evance Mlyakado – Geita Ujenzi wa zahanati hiyo ni kufuatia adha…
19 July 2024, 4:51 pm
Katika hali ya kushangaza Mwanamke mmoja ambaye hajafahamika jina lake anadaiwa kufariki dunia baada ya kuanguka ghafla katika egesho la waendesha pikipiki. Na: Edga Rwenduru – Geita Tukio hilo limetokea Julai 15, 2024 katika mtaa wa uwanja kata ya Nyankumbu…
18 July 2024, 3:49 pm
Matukio ya ukatili mkoani Geita ikiwemo vitendo vya mauaji vimeendelea kuacha simanzi na maswali kwa jamii pindi matukio hayo yanapotokea. Na: Edga Rwenduru – Geita Kijana aliyefahamika wa jina la Lisborn Adam Selemani (16) mkazi wa mtaa wa Nyerere Road…
18 July 2024, 3:19 pm
Serikali imejipanga kuboresha miundombinu ya mawasiliano itakaowezesha wananchi waishio maeneo ya vijijini kupata huduma ya mtandao. Na: Edga Rwenduru – Geita Wakazi wa kata ya Nyakagomba Halmashauri ya wilaya ya Geita Mkoani Geita wameondokana na changamoto ya muda mrefu ya…
17 July 2024, 10:41 am
Licha ya waraka wa elimu Na. 24 wa mwaka 2002 kuelekeza utolewaji wa adhabu ya viboko kwa wanafunzi, utolewaji wa adhabu hiyo umekuwa ukikiukwa. Na: Nicolaus Lyankando -Geita Mwanafunzi wa kidato cha pili katika shule ya sekondari Kisesa halmashauri ya…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.