Storm FM

Recent posts

9 October 2024, 10:29 am

Waziri Mavunde atembelea kijiji cha Ushirika, atoa maagizo kwa TAKUKURU

Waziri wa Madini Antony Mavunde ameendelea na ziara za ndani ya mkoa wa Geita akitembelea maeneo mbalimbali sambamba na kuzungumza na wachimbaji wadogowadogo. Na: Edga Rwenduru – Geita Waziri wa madini Anthony Mavunde ameiagiza Taasisi ya kuzuia na kupambana na…

9 October 2024, 9:48 am

Watishia kufunga barabara kutokana na mwendokasi wa bodaboda

Matukio ya ajali zinazosababishwa na mwendokasi wa baadhi ya madereva yawakera wananchi waishio maeneo ya Msufini mtaa wa Msalala road mjini Geita. Na: Amon Mwakalobo – Geita Baadhi ya wananchi wa maeneo ya Msufini Mtaa wa Msalala Road Halmashauri ya…

8 October 2024, 2:55 pm

Rafiki Trustee Team yatoa msaada wa vifaa vya shule kwa wanafunzi

Baadhi ya watoto waishio katika mazingira magumu na kaya duni wamekuwa wakipitia changamoto mbalimbali ikiwemo ukosefu wa mahitaji ya shule. Na: Evance Mlyakado – Geita Wanafunzi 46 kutoka shule za msingi na sekondari tano ndani ya wilaya ya Geita wamepokea…

7 October 2024, 9:52 am

Wananchi wahofia kupita daraja la Katundu nyakati za usiku

Uwepo wa daraja la Katundu ambalo linatumiwa na wananchi mbalimbali umepelekea hofu kwa baadhi ya wananchi kutokana na baadhi ya vijana kukaa hasa nyakati za usiku. Na: Amon Mwakalobo – Geita Baadhi ya wananchi halmashauri ya mji wa Geita wanaoutumia…

3 October 2024, 9:43 am

Kiongozi mbio za mwenge aridhishwa na mradi wa maji Mbogwe

Mwenge wa uhuru umeendelea kutembelea, kukagua na kuzindua miradi mbalimbali ya maendeleo mkoani Geita tangu ulipokabidhiwa rasmi Septemba 30, 2024. Na: Kale Chongela – Geita Mbio za Mwenge wa uhuru zimeridhishwa na mradi wa maji wenye thamani ya 2,050,923,546.11 uliopo…

2 October 2024, 10:55 am

Katibu mkuu ACT Wazalendo ahitimisha ziara mkoani Geita

Ziara ya katibu mkuu wa ACT Wazalendo Ado Shaibu katika maeneo mbalimbali mkoani Geita imetamatika kwa kutembelea halmashauri ya wilaya ya Bukombe. Na: Ester Mabula – Geita Katibu mkuu wa ACT Wazalendo Ado Shaibu Ado Septemba 30, 2024 amehitimisha ziara…

2 October 2024, 10:24 am

Mwenge waweka jiwe la msingi barabara yenye KM 1.24 Bukombe

Mwenge wa uhuru unaendelea kutembelea, kukagua na kuweka mawe ya msingi katika miradi mbalimbali ya maendeleo mkoani Geita tangu ulipopokelewa Septemba 30, 2024. Na: Kale Chongela – Geita Mwenge wa uhuru umeweka jiwe la msingi katika barabara inayojegwa kwa kiwango…

30 September 2024, 5:59 pm

Mwenge wa uhuru kukagua miradi ya Tsh. bilioni 32.2 Geita

Mwenge wa uhuru umepokelewa katika mkoa wa Geita na kuanza mbio zake wilayani Chato kwa shughuli ya kukagua, kuzindua, kutembelea na kuweka mawe ya msingi katika miradi mbalimbali ya maendeleo. Na: Kale Chongela – Geita Mkuu wa mkoa wa Geita…

30 September 2024, 5:31 pm

Katibu ACT Wazalendo ziarani wilayani Mbogwe

Chama cha ACT Wazalendo kimeendelea na ziara ya kutembelea maeneo mbalimbali nchini ambapo awamu hii wanaendelea na ziara katika mikoa ya kanda ya ziwa. Na: Ester Mabula – Geita Katibu wa ACT Wazalendo Ado Shaibu Ado Septemba 29, 2024 akiwa…

STORM FM OVERVIEW

Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.

Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.

Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.

OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.

ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.