Storm FM

Recent posts

3 December 2024, 2:58 pm

Mtoto (9) amwagiwa petroli na kuchomwa na mama yake kisa 800

Mtoto wa kiume (9) mkazi wa kijiji cha Kasota kata ya Bugulula halmashauri ya wilaya ya Geita amejeruhiwa na mama yake mzazi baada ya kumwagiwa mafuta ya petroli kisha kumchoma moto kwa madai ya kuiba shilingi 800. Na: Edga Rwenduru…

3 December 2024, 12:43 pm

Maambukizi ya VVU yapungua mkoa wa Geita

Siku ya UKIMWI duniani huadhimishwa kila Disemba 01, kila mwaka ili kuhamasisha watu umuhimu wa kupima, kujikinga, na kutoa msaada kwa watu wanaoishi na maambukizi ya VVU. Na: Kale Chongela – Geita Hali ya maambukizi ya virusi vya UKIMWI mkoa…

28 November 2024, 3:10 pm

Wasafirishaji abiria kwa boti wasisitizwa kuzingatia sheria

Baadhi ya maeneo mkoani Geita yamekuwa na shughuli mbalimbali za majini ikiwemo uvuvi pamoja na kusafirisha abiria kutoka sehemu moja kwenda nyingine. Na: Edga Rwenduru – Geita Wamiliki wa boti za abiria zinazofanya safari kutoka kata ya Nkome mkoani Geita…

28 November 2024, 10:30 am

Shule ya sekondari Bugalama wapanda miti 500 kutunza mazingira

Serikali na wadau mbalimbali wa mazingira wameendelea kuhamasisha jamii juu ya upandaji miti ambapo kwa mujibu wa wataalam wanaeleza kuwa miti imekuwa na faida nyingi katika kutunza mazingira. Na: Kale Chongela – Geita Uongozi wa shule ya sekondari Bugalama iliyopo kata ya…

28 November 2024, 10:15 am

Akutwa amefariki mlangoni kwa jirani yake Msalala road

Mwili wa mwanaume aliyetambulika kwa jina moja la Tumaini umekutwa mlangoni kwa jirani yake huku chanzo cha kifo chake kikiwa bado hakijafahamika. Na: Amon Mwakalobo – Geita Mwanaume mmoja anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 35 aliyejulikana kwa jina moja…

27 November 2024, 12:25 pm

Zaidi ya wananchi 1,300,000 kupiga kura mkoani Geita

Leo Novemba 27, 2024 wananchi Tanzania bara wanashiriki katika uchaguzi wa serikali za mitaa kwaajili ya kuchagua viongozi wa mitaa, vitongoji na vijiji ambao watawaongoza kwa kipindi cha miaka mitano. Na: Ester Mabula – Geita Zaidi ya wananchi milioni 1…

27 November 2024, 10:39 am

Picha: Wananchi Geita mjini washiriki uchaguzi serikali za mitaa

Leo Novemba 27, 2024 wananchi nchini Tanzania wanashiriki katika uchaguzi wa serikali za mitaa kwaajili ya kuchagua viongozi wa mitaa, vitongoji na vijiji ambao watawaongoza kwa kipindi cha miaka mitano. Na: Ester Mabula – Geita Baada ya mabadiliko ya kikatiba…

26 November 2024, 4:43 pm

Vikundi 81 vyanufaika na mikopo ya 10% mjini Geita

Mikopo ya asilimia 10 ambayo imeendelea kutolewa na serikali ya Tanzania imeendelea kunufaisha watu mbalimbali katika makundi ya vijana, wanawake na watu wenye ulemavu kupitia miradi mbalimbali wanayoifanya. Na: Kale Chongela – Geita Jumla ya vikundi 81 kutoka katika kata…

23 November 2024, 10:59 am

Watu wenye ulemavu waomba kipaumbele kwenye uchaguzi

Watu wenye ulemavu, wanawake na vijana wametakiwa kuhamasika kushiriki katika uchaguzi wa serikali za mitaa ili kutimiza haki yao ya msingi ya kikatiba. Na: Ester Mabula – Geita Sikiliza simulizi ya Bi. Zainabu John (39) mwanamke mwenye ulemavu ambaye anaeleza…

20 November 2024, 9:14 pm

Upepo waezua nyumba Geita

Halmashauri ya mji wa Geita imeendelea kukumbwa na majanga baada ya siku chache kupatwa na mafuriko sasa upepo mkali waezua nyumba. Na Kale Chongela: Mvua  iliyoambatana na upepo Mkali  imeezua jengo la  ukumbi wa mpira  na vibanda   vinne vya wafanyabiashara …

STORM FM OVERVIEW

Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.

Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.

Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.

OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.

ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.