Storm FM

Recent posts

11/01/2025, 14:41

Wafanyabiashara CCM Katoro waomba punguzo la kodi/ushuru

Mwekezaji wa soko la CCM Katoro katika mamlaka ya mji mdogo wa Katoro alalamikiwa na wafanyabiashara katika soko hilo wakimtuhumu kutumia mabavu katika ukusanyaji wa kodi. Na: Ester Mabula – Geita Wafanyabiashara na machinga wanaofanya kazi katika soko la CCM…

10/01/2025, 12:53

Mume adaiwa kumuua mke wake Katoro

Migogoro ya kifamilia imeendelea kutajwa kuwa chanzo cha anguko la familia ambapo hupelekea changamoto mbalimbali ikiwemo ongezeko la vitendo vya ukatili miongoni mwa wanandoa. Na: Daniel Magwina – Geita Mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Adventina Nicholaus mwenye umri wa…

09/01/2025, 10:38

Wananchi wahimizwa kujiunga na mfuko wa NHIF

Kwa sasa kuna mabadiliko ya vifurushi vya matibabu kupitia mfuko wa Taifa wa bima ya afya (NHIF) ambavyo vinaendelea kutoa fursa kwa wananchi kupata matibabu. Na: Paul William – Geita Wananchi mkoani Geita wametakiwa kujiunga na mfuko wa Taifa wa…

09/01/2025, 10:23

Kaka wa marehemu adaiwa kumfukuza mjane na watoto Geita

Miongoni mwa changamoto zinazoendelea kuwakabili wajane mkoani Geita ni pamoja na suala la mirathi ambapo wakati mwingine wamekuwa wadhurumiwa. Na: Paul William – Geita Mjane wa aliyekuwa diwani wa kata ya Nyankumbu marehemu Michael Kapaya mkazi wa mtaa wa Shilabela…

08/01/2025, 15:51

Wapata ajali wakisafirisha maiti kwa bodaboda kutoka Geita-Kagera

Waendesha pikipiki wanne wa egesho la Miti mirefu mtaa wa Mission mjini Geita wamenusurika kifo baada ya kupata ajali walipokuwa wakisafirisha jeneza lenye maiti ndani yake kutoka Geita kuelekea Bukoba kwaajili ya mazishi. Na: Amon Mwakalobo – Geita Tukio hilo…

08/01/2025, 10:45

Watoto wanaokimbilia mitaani tishio Geita

Licha ya jitihada mbalimbali zinazofanywa na serikali za kuhimiza wazazi kuzingatia malezi ya watoto na kuhakikisha hawatoroki kutoka majumbani kwenda mitaani, bado imekuwa ni changamoto katika mtaa wa Nyerere road Geita mjini. Na: Ester Mabula – Geita Wananchi wilayani Geita…

07/01/2025, 10:56

Wananchi waeleza changamoto ujenzi wa barabara za TACTIC

Wananchi waeleza changamoto zitokanazo na matengezo na ujenzi wa barabara zenye urefu wa KM 17 kupitia mradi wa TACTIC unaofadhiliwa na benki ya dunia. Na: Edga Rwenduru – Geita Wananchi wanaoishi maeneo unapofanyika ujenzi wa mradi wa  barabara zenye urefu…

06/01/2025, 15:47

Wakazi wa Nshinde washukuru kujengewa shule

Kufuatia changamoto ya muda mrefu ya kutokuwa na shule ya msingi katika mtaa wa Nshinde, hatimaye serikali ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania imkamilisha ujenzi wa shule katika mtaa huo. Na: Kale Chongela – Geita Wakazi wa Mtaa wa Nshinde…

06/01/2025, 10:53

Mtoto (8) adaiwa kubakwa kwa jirani Geita

Licha ya serikali, wadau na wanaharakati wa haki za binadamu kuendelea kukemea vikali juu ya matukio ya ukatili, bado vitendo hivyo vinaendelea kujitokeza huku waathirika wakiwa ni watoto. Na: Edga Rwenduru – Geita Mtoto mwenye umri wa miaka 8 mkazi…

03/01/2025, 09:46

TANROADS yaanza maboresho barabara ya Geita mjini – Nzera

Kufuatia changamoto ya ubovu wa miundombinu ya barabara katika baadhi ya maeneo mjini Geita, hatimaye marekebisho ya baadhi ya barabara hizo yameanza kutekelezwa. Na: Kale Chongela – Geita Wakala wa barabara nchini TANROADS mkoa wa Geita yaanza kufanya maboresho na…

STORM FM OVERVIEW

Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.

Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.

Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.

OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.

ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.