Storm FM
Storm FM
16 October 2024, 9:43 am
Wakala wa barabara nchini Tanzania (TANROADS) wasaidia katika utatuzi wa barabara ya Nyantororo A ambayo ilikuwa changamoto kwa wakazi wa eneo hilo. Na: Kale Chongela – Geita Kufuatia uwepo wa changamoto ya baadhi ya madereva wa vyombo vya moto kutumia…
15 October 2024, 2:56 pm
Shule ya sekondari Lutozo iliyopo kata ya Katoro halmashauri ya wilaya ya Geita imeondokana na changamoto ya ukosefu wa maji safi na salama baada ya wadau wa maendeleo kushirikiana na serikali kuchimba kisima. Na: Edga Rwenduru – Geita Wanafunzi wa…
14 October 2024, 11:54 am
Mkoa wa Geita umeendelea kujivua uwepo wa mgodi wa GGML kwa kuwa umekuwa chachu ya maendeleo kwa wananchi katika nyanja mbalimbali hususani katika sekta za elimu na afya. Na: Ester Mabula – Geita Mgodi wa GGML umeahidi kuendelea kushirikiana na…
14 October 2024, 10:49 am
Oktoba 13, 2024 yamehitimishwa rasmi maonesho ya 7 ya teknolojia na uwekezaji katika sekta ya madini ambayo yalikuwa yakiendelea katika viwanja vya EPZA mjini Geita tangu Oktoba 02, 2024. Na: Ester Mabula – Geita Rais wa Jamhuri ya muungano wa…
12 October 2024, 10:22 am
Wakazi wa Geita hatimaye wamefikiwa na kurahisishiwa kuagiza magari kwa usalama na uhakika zaidi kwa mpango wa kuwekeza, mkopo au kulipa moja kwa moja. Na: Ester Mabula – Geita Katika hafla iliyojaa furaha, kampuni maarufu ya uuzaji magari nchini Ezy…
11 October 2024, 2:02 pm
Leo Oktoba 11, 2024 limezinduliwa rasmi zoezi la kujiandikisha katika daftari la mpiga kura kwaajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, mwaka huu. Na: Kale Chongela – Geita Mkururgenzi mtendaji wa halmashauri mji wa Geita Ndugu…
11 October 2024, 12:25 pm
Leo Oktoba 11, 2024 limezinduliwa rasmi zoezi la kujiandikisha katika daftari la mpiga kura kwaajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, mwaka huu. Na: Mrisho Sadick – Geita Naibu waziri mkuu na waziri wa nishati Dkt.…
10 October 2024, 11:57 am
Wakala wa vipimo nchini Tanzania wameendelea kutoa elimu juu ya vipimo sahihi kwa wananchi na wafanyabiashara ili kuondoa changamoto mbalimbali. Na: Ester Mabula – Geita Kaimu meneja wa wakala wa vipimo mkoa wa Geita amesema kwa sasa wanaendelea kutoa elimu…
10 October 2024, 11:10 am
Leo ni siku ya 9 tangu kuanza kwa maonesho ya 7 ya teknolojia ya madini mkoani Geita ambayo yameendelea kufanyika kila mwaka yakiwakutanisha watu mbalimbali. Na: Ester mabula – Geita Kampuni ya Njema Labs inayojihusisha na upimaji wa sampuli za…
10 October 2024, 10:41 am
Kampuni ya Geita Gold Minning Limited inayojihusisha na uchimbaji madini ya dahabu mkoani Geita imeendelea kurejesha kwa jamii kupitia utoaji na uwezeshaji wa huduma mbalimbali zinazowalenga wananchi. Na: Ester Mabula – Geita Kampuni ya GGML ikishirikiana na shirika la ICAP…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.