Storm FM

Recent posts

12 November 2024, 7:30 pm

Baraza la madiwani Geita lasimama dakika 1 kumpongeza mbunge Kanyasu

Msukumo alioufanya mbunge wa Jimbo la Geita mjini kwa serikali juu ya usambazaji wa umeme katika eneo hilo umewakosha madiwani nakulazimika kumpongeza. Na Mrisho Sadick: Baraza la madiwani la Halmashauri ya mji wa Geita Mkoani Geita limesimama kwa dakika moja…

12 November 2024, 3:28 pm

Wananchi 226 walipwa fidia wilayani Nyang’hwale

Jumla ya wananchi 226 katika kata ya Mwingiro  wilaya ya Nyang’hwale mkoani Geita wamelipwa fidia ya zaidi ya shilingi bilioni 7.2  kutokana na maeneo yao kuchukuliwa na Mgodi wa Barrick Bulyanhulu kwa zaidi ya miaka 20 . Na: Kale Chongela – Geita…

11 November 2024, 1:33 pm

M-MAMA kusaidia wajawazito na watoto

Katika kuhakikisha mfumo wa M-MAMA unatoa huduma kwa tija, waandishi wa habari kutoka redio za kijamii kanda ya ziwa wamejengewa uwezo namna unavyofanyakazi ili kuwaambia wananchi. Na Daniel Magwina: Mganga Mkuu Mkoa wa Mwanza Dkt. Jesca Lebba ametoa wito kwa…

11 November 2024, 1:08 pm

Huduma ya mifupa, ubongo na mishipa ya fahamu yazinduliwa Chato

Hospitali ya rufaa ya kanda Chato imeendelea kusogeza huduma za kibingwa ili kuwapunguzia mzigo wananchi wa kusafiri umbali mrefu kutafuta huduma hizo. Na Edga Rwenduru: Kutokana na changamoto ya muda mrefu ya wananchi wa mkoani Geita na mikoa jirani kusafiri…

11 November 2024, 12:44 pm

MNEC Evarist atumia zaidi ya milio 600 kujenga ofisi za CCM Mbogwe

Chama Cha Mapinduzi CCM wilaya ya Mbogwe kimekamilisha ujenzi wa Ofisi 17 za kata wilayani humo nakwamba nguvu inahamia kwenye ngazi ya matawi. Na Mrisho Sadick: Zaidi ya milioni 600 zimetumika kujenga Ofisi za CCM katika Kata 17 za wilaya…

7 November 2024, 4:42 pm

Aliyeua kwenye fumanizi ashikiliwa na polisi Geita

Jamii mkoani Geita imeendelea kukumbushwa kuacha kujichukulia sheria mkononi ili kuepusha madhara yanayojitokeza ikiwemo vifo vya baadhi ya watu. Na: Evance Mlyakado – Geita Kamanda wa jeshi la Polisi mkoa wa Geita, Safia Jongo amethibitisha kukamatwa kwa Athuman Baseka (39)…

5 November 2024, 12:22 pm

Picha: Tazama mvua ilivyowasumbua wakazi wa Msalala road

Ni msimu wa masika ambapo mvua zinaendelea kunyesha kwa maeneo mbalimbali nchini. Na: Amon Mwakalobo – Geita Tazama hali ilivyo katika mtaa wa Msalala road barabara ya kuelekea Msufini karibu na egesho la bodaboda halmashauri ya mjinwa Geita baada ya…

5 November 2024, 12:16 pm

Mashimo ya barabara yawatesa madereva Geita

Miundombinu ya barabara kwa baadhi ya maeneo mkoani Geita imeendelea kuwa na changamoto hali ambayo inapelekea adha kwa watumiaji wa barabara husika. Na: Kale Chongela – Geita Madereva wanaotumia barabara ya kutoka mjini Geita hadi Nzera wamedai kukabiliwa na changamoto…

4 November 2024, 12:54 pm

Fumanizi laua asiyetarajiwa kijiji cha Bugalama

Wivu wa mapenzi umeendelea kusababisha vifo kutokana na maamuzi ya baadhi ya watu kujichukulia sheria mkononi mkoani Geita. Na: Evance Mlyakado – Geita Kijana Faida Deusi anayekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 25-35 mkazi wa kijiji cha Bugalama kata…

25 October 2024, 1:58 am

CHADEMA waeleza kubaini udanganyifu zoezi la uandikishaji Geita mjini

Leo ni siku tano tangu kukamilika kwa zoezi la uandikishaji katika daftari la makazi kwaajili ya mchakato wa uchaguzi wa serikali za mitaa na vijiji unaotarajia kufanyika Novemba 27, 2024. Na: Edga Rwenduru – Geita Chama cha demokrasia na maendeleo…

STORM FM OVERVIEW

Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.

Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.

Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.

OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.

ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.