Storm FM
Storm FM
5 December 2024, 12:40 pm
GGML yasema bado iko bega kwa bega na wananchi kwa kushiriki katika shughuli mbalimba za maendeleo katika jamii bila kuchoka. Na Mrisho Sadick: Mgodi wa Geita Gold Mining Limited (GGML) umewahakikishia wananchi wa mkoa wa Geta kuwa utaendelea kuwajibika ipasavyo…
5 December 2024, 12:27 pm
Serikali imetakiwa kutatua migogoro mapema kabla ya watu kuanza kujichukulia sheria mkononi hali ambayo inaweza kusababisha uvunjifu wa amani. Na Kale Chongela: Wakulima wa Kata ya Bombambili halmashauri ya mji wa Geita Mkoani Geita wameiomba serikali kuchukua hatua za haraka…
5 December 2024, 9:48 am
Wivu wa mapenzi umeendelea kutajwa kuwa chanzo cha migogoro ya kifamilia ambayo inapelekea madhara mbalimbali ikiwemo uharibifu wa mali. Na: Edga Rwenduru – Geita Nyumba ya Michael Joseph Nzumbi mkazi wa mtaa wa Mgusu kata ya Mgusu wilayani na mkoani…
3 December 2024, 2:58 pm
Mtoto wa kiume (9) mkazi wa kijiji cha Kasota kata ya Bugulula halmashauri ya wilaya ya Geita amejeruhiwa na mama yake mzazi baada ya kumwagiwa mafuta ya petroli kisha kumchoma moto kwa madai ya kuiba shilingi 800. Na: Edga Rwenduru…
3 December 2024, 12:43 pm
Siku ya UKIMWI duniani huadhimishwa kila Disemba 01, kila mwaka ili kuhamasisha watu umuhimu wa kupima, kujikinga, na kutoa msaada kwa watu wanaoishi na maambukizi ya VVU. Na: Kale Chongela – Geita Hali ya maambukizi ya virusi vya UKIMWI mkoa…
28 November 2024, 3:10 pm
Baadhi ya maeneo mkoani Geita yamekuwa na shughuli mbalimbali za majini ikiwemo uvuvi pamoja na kusafirisha abiria kutoka sehemu moja kwenda nyingine. Na: Edga Rwenduru – Geita Wamiliki wa boti za abiria zinazofanya safari kutoka kata ya Nkome mkoani Geita…
28 November 2024, 10:30 am
Serikali na wadau mbalimbali wa mazingira wameendelea kuhamasisha jamii juu ya upandaji miti ambapo kwa mujibu wa wataalam wanaeleza kuwa miti imekuwa na faida nyingi katika kutunza mazingira. Na: Kale Chongela – Geita Uongozi wa shule ya sekondari Bugalama iliyopo kata ya…
28 November 2024, 10:15 am
Mwili wa mwanaume aliyetambulika kwa jina moja la Tumaini umekutwa mlangoni kwa jirani yake huku chanzo cha kifo chake kikiwa bado hakijafahamika. Na: Amon Mwakalobo – Geita Mwanaume mmoja anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 35 aliyejulikana kwa jina moja…
27 November 2024, 12:25 pm
Leo Novemba 27, 2024 wananchi Tanzania bara wanashiriki katika uchaguzi wa serikali za mitaa kwaajili ya kuchagua viongozi wa mitaa, vitongoji na vijiji ambao watawaongoza kwa kipindi cha miaka mitano. Na: Ester Mabula – Geita Zaidi ya wananchi milioni 1…
27 November 2024, 10:39 am
Leo Novemba 27, 2024 wananchi nchini Tanzania wanashiriki katika uchaguzi wa serikali za mitaa kwaajili ya kuchagua viongozi wa mitaa, vitongoji na vijiji ambao watawaongoza kwa kipindi cha miaka mitano. Na: Ester Mabula – Geita Baada ya mabadiliko ya kikatiba…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.