Storm FM
Storm FM
23 January 2025, 5:27 pm
Gari dogo lenye namba za usajili T 205 DSV limegonga nyumba mbili katika mtaa wa Mwabasabi kata ya Nyankumbu manispa ya Geita. Na: Kale Chongela – Geita Ajali hiyo imetokea leo Januari 23, 2025 ambapo mmiliki wa nyumba mojawapo iliyoharibiwa katika…
23 January 2025, 4:21 pm
“Tunaishukuru serikali kwa kuweza kumuua mnyama huyu maana ilikuwa ni changamoto kubwa tukiishi kwa uoga”- mwananchi Itale Na: Edga Rwenduru – Geita Mnyama Kiboko aliyekuwa anaua mifugo na kuharibu mazao ya wananchi wa kijiji cha Itale kata ya Katoma halmashauri…
23 January 2025, 12:22 pm
Licha ya serikali kukemea vitendo vya ukatili, bado matukio hayo yameendelea kujitokeza na kuacha maswali mengi kwa wananchi juu ya nini mwarobaini wa ukatili. Na: Amon Mwakalobo – Geita Kijana mmoja wa umri wa miaka 25 kutoka mtaa wa Msalala…
22 January 2025, 2:59 pm
Baadhi ya wananchi wamelalamikia hali ya umwagaji taka holela katika dampo lililopo mkabara na barabara itokayo manispaa ya Geita kuelekea Nzera mkoani Geita. Na: Kale Chongela – Geita Wananchi hao wakiwa katika eneo la dampo wamezungumza na Storm FM Januari…
21 January 2025, 11:39 am
Wananchi manispaa ya Geita wakumbushwa kuzingatia mipaka ya viwanja vyao kabla ya kuanzisha ujenzi ili kuondoa changamoto zinazoweza kupelekea migogoro. Na: Kale Chongela – Geita Baadhi ya wananchi wakazi wa eneo la Nguzombili mtaa wa Mwatulole kata ya Buhalahala wamelalamikia…
21 January 2025, 10:53 am
Wafugaji katika mtaa wa Msufini, Msalala road wahimizwa kuzingatia sheria ili kuondoa changamoto ya kupoteza mifugo yao kwenye mazingira mbalimbali. Na: Amon Mwakalobo – Geita Mwanaume mmoja kwa jina Mfaume Felix mkazi wa Msufini mtaa wa Msalala road manispaa ya…
20 January 2025, 2:15 pm
Baadhi ya mashabiki wa mpira wa miguu ambao hawajafahamika majina yao katika halmashauri ya manispaa ya Geita wameingia katika ugomvi na majibizano kwa kile kilichodaiwa ni ushabiki wa timu zao za Simba na Yanga Na: Amon Mwakalobo – Geita Chanzo…
20 January 2025, 12:41 pm
Licha ya juhudi za serikali kuhakikisha inajenga vyumba vya madarasa nchini, bado wakazi wa kijiji cha Mtakuja wanaeleza changamoto wanayopitia. Na: Nicholaus Lyankando – Geita Wanafunzi katika shule ya msingi Mtakuja kata ya Lulembela wilayani Mbogwe mkoani Geita wamelazimika kusoma…
16 January 2025, 2:27 pm
Katika kuendelea kurejesha kwa jamii, shirika la ICAP limefadhili jumla ya pikipiki 50 kwa wahudumu wa afya ngazi ya jamii mkoani Geita. Na: Edga Rwenduru – Geita Shirika la ICAP linalotoa huduma ya matibabu na matunzo kwa waathirika wa Virusi…
16 January 2025, 11:31 am
Wananchi wanakumbushwa kuzingatia suala la mikataba baina yao na wenye nyumba ili kuondoa migongano na migogoro baina yao. Na: Kale Chongela – Geita Mariasalome Stanslaus mkazi wa mtaa wa Msalala road kata ya Kalangalala halmashauri ya manispaa ya Geita amelalamikia…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.