Storm FM
Storm FM
31 January 2025, 11:01 am
Miradi ya maendeleo inayotekelezwa wilayani Nyangh’wale Mkoani Geita imewaibua CCM kutokana na utekelezaji wake kufuata taratibu zote za ujenzi. Na Mrisho Sadick: Kamati ya siasa ya Halmashauri Kuu ya CCM wilaya ya Nyang’hwale Mkoani Geita imetembelea nakukagua miradi ya Afya…
30 January 2025, 4:03 pm
Baraza la madiwani la halmashauri ya manispaa ya Geita leo Januari 30, 2025 limejadili na kupitisha rasimu ya makadirio bajeti kwa mwaka 2025/2026 kiasi cha shilingi bilioni 68,393,812,906.00. Na: Ester Mabula – Geita Bajeti hiyo ina ongezeko la 13.2% zaidi…
30 January 2025, 3:43 pm
“Ikifika muda kila mtu anajiuliza kwani nini chanzo cha haya yote, inabidi tumtumaini Mungu, kwani yeye ndiye mpangaji wa kila jambo” – Askofu Kanisa Katoliki Geita Na: Mrisho Sadick – Geita Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt Doto…
29 January 2025, 5:08 pm
“Tulipofika njia panda aliniambia anaona giza mbele yake na ghafla akalegea – Dereva” Na: Ester Mabula – Geita Mwanaume mmoja anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 35 amedaiwa kufariki dunia akiwa kwenye chombo cha usafiri aina ya pikipiki maarufu bodaboda…
29 January 2025, 1:08 pm
Mvua iliyoambatana na radi iliyonyesha Januari 27, 2025 ilipelekea athari ikiwemo vifo pamoja na majeruhi ya wanafunzi wa shule ya sekondari Businda iliyopo wilayani Bukombe mkoani Geita. Na: Mrisho Sadick – Geita Miili ya wanafunzi saba waliofariki kwa ajali ya…
29 January 2025, 12:45 pm
Wananchi katika maeneo mbalimbali mkoani Geita wameendelea kupokea msaada wa kisheria juu ya masuala mbalimbali kupitia kampeni ya msaada wa kisheria ya mama Samia Lega Aid. Na: Kale Chongela – Geita Wakazi wa kata ya Nyabulanda wilaya ya Nyang’hwale mkoani…
28 January 2025, 12:31 pm
Licha ya serikali kupitia wizara ya Afya kusisitiza juu ya umuhimu wa kila kaya kuwa na choo bora, bado utekelezaji wa agenda hii umekuwa wa kusua sua. Na: Amon Mwakalobo – Geita Wapangaji wanaoishi kwenye nyumba moja iliyopo maeneo ya…
28 January 2025, 10:15 am
Januari 27, 2025 mvua iliyoambatana na radi imenyesha katika baadhi ya maeneo mkoani Geita na kupelekea athari mbalimbali ikiwemo vifo. Na: Ester Mabula – Geita Wanafunzi saba katika shule ya sekondari Businda iliyopo kitongoji cha Shikaliguga kata ya Ushirombo wilayani…
27 January 2025, 1:30 pm
Matukio ya waendesha pikipiki kujeruhiwa na kuporwa vifaa vyao vya kazi yanaendelea kuzua sintofahamu na swali likiwa nani kutegua kitendawili hicho. Na: Edga Rwenduru – Geita Kijana anayekadiriwa kuwa na umri wa 20 hadi 25 ambaye ni dereva pikipiki maarufu…
25 January 2025, 3:26 pm
Jumla ya mashauri 282 yalifunguliwa mwaka jana 2024 tangu kuanzishwa kwa mahakama kuu ya Tanzania masjala ndogo ya Geita. Na: Kale Chongela – Geita Jumla ya mashauri 282 yalifunguliwa mwaka jana 2024 tangu kuanzishwa kwa mahakama kuu ya Tanzania masjala ndogo ya…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.