Storm FM

Recent posts

21/02/2025, 21:55

Wanafunzi 30 mbaroni kwa kuzua vurugu Geita

Jeshi la polisi latumia nguvu kuwatuliza wanafunzi waliozua vurugu katika shule ya sekondari Geita huku wengine wakitiwa mbaroni. Na Edga Rwenduru: Jeshi la Polisi mkoani Geita linawashikilia wanafunzi 30 wa Shule ya Sekondari Geita GESECO kwa tuhuza za kuwashambulia na…

19/02/2025, 12:56

Bampa la choo lapasuka na kutiririsha maji Uwanja

Inaelezwa kuwa bampa la choo cha nyumba yenye wapangaji limegongwa na gari na kupelekea kuangukia ndani ya shimo la choo. Na: Paul William – Geita Tukio hilo limetokea mtaa wa Elimu, kata ya Nyankumbu, halmashauri ya manispaa ya Geita ambapo…

19/02/2025, 10:50

Mvua yenye upepo yaezua paa la nyumba Mbugani

Kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha mkoani Geita, zimepelekea baadhi ya athari za kimiundombinu kwa baadhi ya wananchi katika manispaa ya Geita. Na: Kale Chongela – Geita Baadhi ya wakazi wa mtaa wa Mbugani, kata ya kalangalala, halmashauri ya manispaa ya Geita makazi…

17/02/2025, 17:41

Jengo la ofisi za hazina lazinduliwa mkoani Geita

Serikali imeendelea kuimarisha na kuboresha huduma za wizara ya fedha ikiwemo kusogeza huduma hizo karibu na wananchi zaidi. Na: Edga Rwenduru – Geita Wizara ya fedha imetoa onyo kwa watu na taasisi mbalimbali za fedha zinazotoa mikopo umiza kwa wananchi…

17/02/2025, 15:26

Wananchi Narusunguti washukuru kujengewa zahanati

Wananchi wa kijiji cha Narusunguti hatimaye waagana na changamoto ya kutembea umbali mrefu kufuata huduma za afya katika maeneo jirani. Na: Edga Rwenduru – Geita Wananchi wa kijiji cha Narusunguti kata ya Busonzo wilaya ya Bukombe mkoani Geita wameishukuru serikali…

17/02/2025, 14:49

Mwenyekiti akemea mabalozi kuomba wananchi fedha ya utambulisho

“Wananchi wengi wanaogopa kujitambulisha kwa balozi sababu ya kuombwa elfu tano jambo ambalo halikubaliki katika mtaa wangu” – Mwenyekiti Na: Kale Chongela – Geita Serikali ya mtaa wa Mwatulole kata ya Buhalahala halmashauri ya manispaa ya Geita imewataka mabalozi wa mashina…

15/02/2025, 16:09

UVCCM mkoa wa Geita wapewa mafunzo ya uongozi

Vijana wa UVCCM mkoa wa Geita wametakiwa kujiamini na kupambania nafasi mbalimbali za kiuongozi kwa maslahi mapana ya Taifa la Tanzania. Na: Ester Mabula – Geita Kuelekea uchaguzi mkuu mwaka huu, Vijana wa umoja wa vijana wa Chama Cha Mapinduzi…

13/02/2025, 10:37

Wafungwa chanzo cha wizi wa ng’ombe Geita

Storm FM imemtafuta Kamanda wa polisi mkoa wa Geita SACP Safia Jongo juu ya wimbi la wizi wa mifugo aina ya ng’ombe ambao umeendelea kushamiri mkoani Geita. Na: Edga Rwenduru – Geita Kamanda wa Polisi mkoa wa Geita SACP Safia…

13/02/2025, 10:03

Ajinyonga baada ya kufeli kidato cha 4 Geita

Katika hali ya kushangaza, binti ajinyonga na kufariki dunia baada kufeli katika mtihani wa Taifa wa kidato cha nne kwa kupata daraja 0. Na: Edga Rwenduru – Geita Binti  Rabia Paul (19) muhitimu wa kidato cha nne katika shule ya…

10/02/2025, 16:41

GGML yajivunia huduma za afya meli ya MV Jubilee Hope

Meli ya MV Jubilee hope imekuwa ikitoa huduma za afya kwa jamii inayozunguka visiwa mbalimbali vya Ziwa Viktoria. Na: Ester Mabula – Geita Kampuni ya Geita Gold Minning Limited (GGML) imeendelea kujivunia jukumu lao la kudhamini huduma za afya zinazotolewa…

STORM FM OVERVIEW

Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.

Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.

Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.

OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.

ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.