Storm FM
Storm FM
19 December 2024, 9:49 am
Mkuu wa kitengo cha usalama barabarani mkoa wa Geita ametoa rai kwa watumiaji wa vyombo vya moto kuzingatia sheria za usalama barabarani ili kupunguza ajali zinazotokana na ukiukwaji wa sheria hizo. Na: Evance Mlyakado – Geita Gari kubwa la mizigo…
18 December 2024, 2:28 am
Katika hali ya kushangaza watu wasiojulikana wamevamia na kufanya uharibifu wa mazao katika shamba lenye ukubwa wa ekari mbili. Na: Kale Chongela – Geita Tukio hilo limetokea katika mtaa wa Mkangala kata ya Kanyala halmashauri ya mji wa Geita ambapo kwa mujibu…
14 December 2024, 10:57 am
Uwepo wa vitendo vya wizi wa mali umeendelea kuwa mwiba kwa wakazi wa mtaa wa Shilabela kata ya Buhalahala mjini Geita ambapo wananchi wameeleza adha wanayopitia. Na: Edga Rwenduru – Geita Wananchi wa mtaa wa shilabela kata ya Buhalahala halmashauri…
13 December 2024, 1:57 pm
Kufuatia tukio la mtoto Disemba 02, 2024 la mtoto kushambuliwa na kuchomwa moto na mama yake mzazi likatika kijiji cha Kasota wilayani na mkoani Geita, CCM mkoa wa Geita yalaani tukio hilo. Na: Evance Mlyakado – Geita Jumuiya ya wazazi…
13 December 2024, 12:04 pm
Lwamgasa ni miongoni mwa kata 37 zilizopo katika halmashauri ya wilaya ya Geita ambapo shughuli kuu inayofanyika katika kata hiyo ni uchimbaji wa madini ya dhahabu. Na: Paul William – Geita Wafanyabiashara mbalimbali katika soko kuu la kata ya Lwamgasa…
9 December 2024, 3:54 pm
Licha ya kampeni ya kimataifa ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia, bado vitendo vya ukatili vimeendelea kujitokeza katika Jamii ambavyo vinasababisha athari mbalimbali kwenye Jamii. Na: Evance Mlyakado – Geita Mwanaume mmoja ambaye ni Askari wa Jeshi la…
9 December 2024, 3:40 pm
Jeshi la polisi nchini kitengo cha usalama barabarani limeendelea kujiimarisha kwa kufanya ukaguzi kwa madereva na vyombo vya moto ili kubaini makosa mbalimbali na kuyachukulia hatua. Na: Kale Chongela – Geita Jeshi la Polisi kitengo cha usalama Barabarani nchini limewaonya…
6 December 2024, 4:54 pm
Mkuu wa wilaya ya Geita ametoa mwongozo wa kiutendaji kwa wenyeviti kutoka kata 13 za halmashauri ya mji wa Geita na kata 37 za halmashauri ya wilaya ya Geita. Na: Ester Mabula – Geita Mkuu wa Wilaya ya Geita, Hashim…
6 December 2024, 9:57 am
Janeth Thomas mkazi wa mtaa wa Buchundwankende kata ya Nyankumbu halmashauri ya mji wa Geita amebaki njia panda baada ya nyumba aliyokuwa akiishi kuezuliwa paa na mwenye nyumba wake kwa madai kuwa hajalipa kodi ya kwa muda wa miezi mitano.…
5 December 2024, 12:49 pm
Matukio ya ukatili kwa watoto bado ni pasua kichwa, jamii yatakiwa kushikamana ili kukomesha kabisa vitendo hivyo. Na: Sammy Manilaho – Geita Wakazi wa halmashauri ya mji wa Geita wamelaani vikali tukio la mama kumchoma moto mtoto wake kwa kutumia…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.