Storm FM

Recent posts

08/03/2025, 11:49

Wananchi walalamika kichaka kugeuzwa dampo Geita

Licha ya jitihada zinazofanywa na uongozi wa manispaa ya Geita wa kuweka mazingira safi na salama, bado baadhi ya wananchi wameendeleza tabia ya utupaji taka kiholela katika mazingira yasio rasmi. Na: Kale Chongela – Geita Baadhi ya wakazi wa mtaa…

06/03/2025, 16:23

Wakazi wa Nyamakale wawatupia lawama viongozi wa mtaa

Kufuatia kuongezeka kwa vitendo vya uhalifu katika mtaa wa Nyamakale uliopo kata ya Nyankumbu katika halmashauri ya manispaa ya Geita, wananchi wawatupia lawama viongozi wa mtaa. Na: Kale Chongela – Geita Wakazi wa mtaa wa Nyamakale, kata ya Nyankumbu halmashauri…

06/03/2025, 12:05

Mradi wa ‘Tabasamu kwa wote’ kunufaisha wasichana

BAKWATA mkoa wa Geita kupitia mradi wa TABASAMU KWA WOTE waanzisha kituo cha ushonaji na ujasiriamali ili kusaidia vijana wa kike. Na: Edga Rwenduru – Geita Kutokana na kuwepo kwa wimbi la vijana wa kike wanaomaliza elimu ya msingi na…

05/03/2025, 12:27

COPRA yakabidhi zaidi ya tani 50 za mbegu za alizeti Geita

Hadi kufikia Desemba 2022 jumla ya wakulima 6,323 na eneo la ekari 11,896 lilikuwa limetengwa kwa ajili ya kilimo cha alizeti Geita, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuongeza uzalishaji na kujitosheleza kwa mafuta ya kula nchini. Na: Daniel Magwina…

05/03/2025, 11:20

Bibi adaiwa kumwagia chai ya moto mjukuu wake

Licha ya serikali kuendelea kutoa elimu juu ya athari za vitendo vya ukatili hususani kwa watoto, bado baadhi ya wananchi wameendelea kutenda matukio hayo. Na: Emmanuel Twimanye – Sengerema Mtoto mwenye umri wa miaka 14 katika mtaa wa Misheni wilayani Sengerema…

01/03/2025, 11:24

TRA mkoa wa Geita yawakumbuka wagonjwa na wahitaji

Mamlaka ya mapato Tanzania mkoa wa Geita imeendelea kurejesha shukrani kwa Jamii kwa kuwakumbuka watu wenye mahitaji mbalimbali kupitia misaada. Na: Edga Rwenduru – Geita Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) mkoa wa Geita imetoa msaada wa vifaa tiba katika hospitali…

25/02/2025, 15:06

Kata 8 za Geita na Chato zaneemeka na mradi wa maji

Hatimaye wananchi wa kata 8 za wilaya ya Geita na Chato wamepata neema ya kuondokana na changamoto ya muda mrefu ya ukosefu wa maji safi na salama. Na: Edga Rwenduru – Geita Wakazi zaidi ya laki mbili kutoka kata 8…

25/02/2025, 14:57

Washikiliwa kwa tuhuma za kumuua baba yao mzazi Geita

Kamanda wa Jeshi la polisi mkoa wa Geita, Kamishna mwandamizi wa polisi SACP Safia Jongo Februari 24, 2025 ametoa taarifa kwa vyombo vya habari juu ya matukio mbalimbali. Na: Ester Mabula – Geita Jeshi la polisi mkoa wa Geita linawashikilia…

22/02/2025, 11:56

Shule ya msingi Ikulwa yakabidhiwa matundu 18 ya vyoo

Mashirika mbalimbali ya kiraia yameendelea kuisaidia serikali katika uboreshaji wa miundombinu katika sekta mbalimbali ikiwemo elimu ili kurahisisha upatikanaji wa huduma. Na: Edga Rwenduru – Geita Shule ya msingi Ikulwa iliyopo kata ya Ihanamilo wilayani Geita yenye wanafunzi zaidi ya…

22/02/2025, 11:41

Adaiwa kutaka kujiua baada ya kugombana na mke wake

Migogoro ya familia hususani baina ya mke na mue imeendelea kutajwa kuwa kikwazo cha maendeleo kutokana na mifarakano ambayo wanandoa hupitia. Na: Amon Mwakalobo – Geita Mwanaume mmoja aliyefahamika kwa jina moja la Nehemia ambaye ni mkazi wa Msalala road,…

STORM FM OVERVIEW

Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.

Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.

Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.

OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.

ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.