Storm FM
Storm FM
10 February 2025, 11:53 am
Vitendo vya wizi wa mifugo aina ya ng’ombe vinaendelea kuchukua sura mpya mkoani Geita ambapo matukio hayo yameendelea kujitokeza hali inayochochea hasira za wananchi. Na: Amon Mwakalobo – Geita Mwanaume mmoja anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 45 ameuawa na…
6 February 2025, 4:00 pm
“Wezi wametuchosha tutaendelea kuwatandika viboko ili waache kutuibia mali zetu” – Mwananchi Na: Amon Mwakalobo – Geita Mwananume mmoja mwenye umri wa miaka 36 aliyejitambulisha kwa jina moja la Omary mkazi wa mtaa wa Mission halmashuri ya manispaa ya Geita…
4 February 2025, 12:42 pm
Wazazi waambulia patupu baada ya kufanya maandalizi ya shule kwa watoto wao ili hali hawajachaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza. Na Mrisho Sadick: Serikali ya mtaa wa Nyamakale Kata ya Nyankumbu Manispaa ya Geita Mkoani Geita imeahidi kushirikiana na wazazi…
4 February 2025, 12:32 pm
Februari 03, 2025 imehitimishwa wiki ya sheria nchini ambapo sambamba na hilo pia msaada wa kisheria wa Mama Samia Legal Aid umekamilika katika mkoa wa Geita. Na: Kale Chongela – Geita Migogoro ya ndoa katika kijiji cha kaseme, halmashauri ya…
4 February 2025, 11:44 am
Licha ya serikali kutoa huduma ya uchunguzi na matibabu ya kifua kikuu bure lakini bado kuna mwitikio mdogo wa wananchi kujitokeza kupatiwa huduma hiyo. Na Mrisho Sadick: Serikali Mkoani Geita imewataka wamiliki wa migodi midogo ya uchimbaji wa madini ya…
4 February 2025, 9:47 am
Matukio ya mifugo aina ya ng’ombe kuibiwa na kuchinjwa nyakati za usiku yameendelea kuacha maswali kwa wananchi katika mitaa mbalimbali ya manispaa ya Geita. Na: Edga Rwenduru – Geita Wakazi wa mtaa wa Elimu kata ya Nyankumbu halmashauri ya manispaa…
3 February 2025, 5:12 pm
Kilele cha wiki ya sheria nchini hufanyika kwa kujumuisha shughuli mbalimbali zinazohusiana na masuala ya sheria ili kuelimisha wananchi na kuhamasisha matumizi bora ya sheria katika jamii. Na: Ester Mabula – Geita Jaji mfawidhi wa mahakama kuu kanda ya Geita…
1 February 2025, 1:26 pm
Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa mkoani Geita kwa mwezi Oktoba hadi Disemba mwaka 2024 imepokea jumla malalamiko 43, makosa ya rushwa yakiwa ni 32 na yasiyohusu rushwa yakiwa 11. Na: Daniel Magwina – Geita Mkuu wa TAKUKURU mkoa…
31 January 2025, 11:56 am
Madiwani waishauri halmashauri ya Nyangh’wale kuongeza wigo wa ukusanyaji wa mapato kwa kubuni vyanzo vipya ambavyo haviwaumizi wananchi. Na Mrisho Sadick: Halmashauri ya wilaya ya Nyang’hwale Mkoani Geita imeendelea kufanya vizuri kwenye ukusanyaji wa mapato kwa miaka mitano mfululizo hali…
31 January 2025, 11:23 am
Shule hiyo ya Bukwimba imeweka rekodi ya kuwa shule ya kwanza katika wilaya hiyo kufaulisha zaidi nakundoa sifuri. Na Mrisho Sadick: Mkuu wa wilaya ya Nyang’hwale Mkoani Geita Grace Kingalame ameahidi kutoa zawadi ya Ng’ombe katika shule ya sekondari Bukwimba…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.