Storm FM
Storm FM
19 February 2025, 10:50 am
Kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha mkoani Geita, zimepelekea baadhi ya athari za kimiundombinu kwa baadhi ya wananchi katika manispaa ya Geita. Na: Kale Chongela – Geita Baadhi ya wakazi wa mtaa wa Mbugani, kata ya kalangalala, halmashauri ya manispaa ya Geita makazi…
17 February 2025, 5:41 pm
Serikali imeendelea kuimarisha na kuboresha huduma za wizara ya fedha ikiwemo kusogeza huduma hizo karibu na wananchi zaidi. Na: Edga Rwenduru – Geita Wizara ya fedha imetoa onyo kwa watu na taasisi mbalimbali za fedha zinazotoa mikopo umiza kwa wananchi…
17 February 2025, 3:26 pm
Wananchi wa kijiji cha Narusunguti hatimaye waagana na changamoto ya kutembea umbali mrefu kufuata huduma za afya katika maeneo jirani. Na: Edga Rwenduru – Geita Wananchi wa kijiji cha Narusunguti kata ya Busonzo wilaya ya Bukombe mkoani Geita wameishukuru serikali…
17 February 2025, 2:49 pm
“Wananchi wengi wanaogopa kujitambulisha kwa balozi sababu ya kuombwa elfu tano jambo ambalo halikubaliki katika mtaa wangu” – Mwenyekiti Na: Kale Chongela – Geita Serikali ya mtaa wa Mwatulole kata ya Buhalahala halmashauri ya manispaa ya Geita imewataka mabalozi wa mashina…
15 February 2025, 4:09 pm
Vijana wa UVCCM mkoa wa Geita wametakiwa kujiamini na kupambania nafasi mbalimbali za kiuongozi kwa maslahi mapana ya Taifa la Tanzania. Na: Ester Mabula – Geita Kuelekea uchaguzi mkuu mwaka huu, Vijana wa umoja wa vijana wa Chama Cha Mapinduzi…
13 February 2025, 10:37 am
Storm FM imemtafuta Kamanda wa polisi mkoa wa Geita SACP Safia Jongo juu ya wimbi la wizi wa mifugo aina ya ng’ombe ambao umeendelea kushamiri mkoani Geita. Na: Edga Rwenduru – Geita Kamanda wa Polisi mkoa wa Geita SACP Safia…
13 February 2025, 10:03 am
Katika hali ya kushangaza, binti ajinyonga na kufariki dunia baada kufeli katika mtihani wa Taifa wa kidato cha nne kwa kupata daraja 0. Na: Edga Rwenduru – Geita Binti Rabia Paul (19) muhitimu wa kidato cha nne katika shule ya…
10 February 2025, 4:41 pm
Meli ya MV Jubilee hope imekuwa ikitoa huduma za afya kwa jamii inayozunguka visiwa mbalimbali vya Ziwa Viktoria. Na: Ester Mabula – Geita Kampuni ya Geita Gold Minning Limited (GGML) imeendelea kujivunia jukumu lao la kudhamini huduma za afya zinazotolewa…
10 February 2025, 3:26 pm
Mvua iliyonyesha usiku wa kuamkia Februari 08, 2025 mkoani Geita imepelekea changamoto ya kuathiri baadhi ya makazi ya watu. Na: Kale Chongela – Geita Nyumba tano za wakazi wa mtaa wa Ibolelo maarufu kwa jina la Mwabasabi kata ya Nyankumbu…
10 February 2025, 2:36 pm
Mkutano wa baraza la madiwani umefanyika kwaajili ya uwasilishaji wa changamoto mbalimbali pamoja na mapitio ya utekelezaji miradi kwa kipindi cha kuanzia Oktoba hadi Disemba 2024. Na: Ester Mabula – Geita Baraza la madiwani la Geita mjini limepongeza Rais wa…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.